Swali: Kwenye vita ya Kagera maafisa wanajeshi wa kike hawakushiriki? Mbona huwa hawatajwi?

Swali: Kwenye vita ya Kagera maafisa wanajeshi wa kike hawakushiriki? Mbona huwa hawatajwi?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Wakuu kuna swali Moja la Msingi sana, kila inaposemwa Vita ya Kagera utasikia. Mayunga, Msuguli,Tumainiel Kihwelu ,Nyilenda, hata kwa wale ambao walikuwa na kazi za kuratibu Kama Makamba, Kikwete, Kinana, Makongoro Nyerere,

Sijasikia Mwanamke akitajwa popote! Ni kwamba hawakushiriki au historia imewaweka kando?

Britanicca
 
Wakuu kuna swali Moja la Msingi sana, kila inaposemwa Vita ya Kagera utasikia. Mayunga, Msuguli,Tumainiel Kihwelu ,Nyilenda, hata kwa wale ambao walikuwa na kazi za kuratibu Kama Makamba, Kikwete, Kinana, Makongoro Nyerere,

Sijasikia Mwanamke akitajwa popote! Ni kwamba hawakushiriki au historia imewaweka kando?

Britanicca
Walishiriki kutuombea
 
Wanajeshi wa kike zamani walikuwa hawashiriki vita kutokana na mazingira y kivita kuwa magumu zaidi na ufinyu wa teknolojia na pia walikuwa wachache sana. Haikuwa rahisi mwanamke kuwa na cheo cha juu kama uliowataja hapo.

Siku hizi tuna marubani pia wa kike jeshini. Askari wa kike hawastahimili milipuko mizito ya makombora, mizinga na vifaru kutokana na bailojia ya kimaumbile.

They are there as cheerleaders!!
 
Huenda uchache wao nyakati hizo Nature ya jukumu lenyewe huenda halikuwa linaruhusu wao kuwa frontal line

Lakini wanatumika ktk majukumu mengine
 
Wanajeshi wa kike zamani walikuwa hawashiriki vita kutokana na mazingira y kivita kuwa magumu zaidi na ufinyu wa teknolojia na pia walikuwa wachache sana. Haikuwa rahisi mwanamke kuwa na cheo cha juu kama uliowataja hapo.

Siku hizi tuna marubani pia wa kike jeshini. Askari wa kike hawastahimili milipuko mizito ya makombora, mizinga na vifaru kutokana na bailojia ya kimaumbile.

They are there as cheerleaders!!
Correct..
 
Wakuu kuna swali Moja la Msingi sana, kila inaposemwa Vita ya Kagera utasikia. Mayunga, Msuguli,Tumainiel Kihwelu ,Nyilenda, hata kwa wale ambao walikuwa na kazi za kuratibu Kama Makamba, Kikwete, Kinana, Makongoro Nyerere,

Sijasikia Mwanamke akitajwa popote! Ni kwamba hawakushiriki au historia imewaweka kando?

Britanicca
enzi hizo shetani alikuwa hajaibuka na ajenda ya "haki sawa kwa wote"
 
Wakuu kuna swali Moja la Msingi sana, kila inaposemwa Vita ya Kagera utasikia. Mayunga, Msuguli,Tumainiel Kihwelu ,Nyilenda, hata kwa wale ambao walikuwa na kazi za kuratibu Kama Makamba, Kikwete, Kinana, Makongoro Nyerere,

Sijasikia Mwanamke akitajwa popote! Ni kwamba hawakushiriki au historia imewaweka kando?

Britanicca
Walishiriki kwa namna nyingine hasa ya Kibaiolojia kwa Wanajeshi wa Kiume ili wawe Wepesi, wawe na Furaha katika Uwanja wa Vita, Morali yao iongezeke na wawe Stress Free hali ambayo ilichangia kwa 99% Wao Kushinda Vita na hatimaye Despot Idi Amin Dada kutoka Baru / Kukimbia.
 
Popom
Walishiriki kwa namna nyingine hasa ya Kibaiolojia kwa Wanajeshi wa Kiume ili wawe Wepesi, wawe na Furaha katika Uwanja wa Vita, Morali yao iongezeke na wawe Stress Free hali ambayo ilichangia kwa 99% Wao Kushinda Vita na hatimaye Despot Idi Amin Dada kutoka Baru / Kukimbia.
Popoma unawaza ngono tu,hivi unaijua Vita kweli,huo muda wa kuwaza kunyanduana wataitoa wapi ,mida yote mnakaa ,mnawazia kifo kipo muda wote,harufu za damu za watu tu,mkuyange utasimama kweli
 
Popom
Popoma unawaza ngono tu,hivi unaijua Vita kweli,huo muda wa kuwaza kunyanduana wataitoa wapi ,mida yote mnakaa ,mnawazia kifo kipo muda wote,harufu za damu za watu tu,mkuyange utasimama kweli
Wataalam wa Saikolojia ya Mapenzi wanasema mkiwa Mnatiana / Mnabanduana mkiwa katika Tension Mtiano / Mbanduano ndiyo hunoga na huwa mtamu hakuna mfano.
 
Popom
Popoma unawaza ngono tu,hivi unaijua Vita kweli,huo muda wa kuwaza kunyanduana wataitoa wapi ,mida yote mnakaa ,mnawazia kifo kipo muda wote,harufu za damu za watu tu,mkuyange utasimama kweli
Syria kusingekuwa na watoto wadogo wa miaka 10 kwenda chini, the same to Somalia

maeneo yenye ndio kuna ngono zaid


Vita za Mashariki ya Kati zimezalisha ushoga zaid kwny troops za NATO kwa kuwa ilifikia hatua wakapandana wao kwa wao
 
Syria kusingekuwa na watoto wadogo wa miaka 10 kwenda chini, the same to Somalia

maeneo yenye ndio kuna ngono zaid
Mfano wako ni tofauti na ninachosema,kwani wanaziliana wakiwa msituni kwenye mapigano ?au raia ,
 
Mfano wako ni tofauti na ninachosema,kwani wanaziliana wakiwa msituni kwenye mapigano ?au raia ,
Kwani unadhani Askari wetu walioenda Uganda na Mozambique kupigana na hatimae kupata watoto na wanawake wa kule waliwapata baada ya vita kuisha?

katikati ya Vita kuna mambo mengine yanaendelea na ndio sababu utakuta pombe na wanawake wanakusanywa na kupelekwa kwny maeneo ya mapambano kuburudisha wapiganaji

kule M23 moja ya vivutio kwa vijana kujiunga nao ni uhakika wa kula nyapu kwa urahisi zaid.
 
Wataalam wa Saikolojia ya Mapenzi wanasema mkiwa Mnatiana / Mnabanduana mkiwa katika Tension Mtiano / Mbanduano ndiyo hunoga na huwa mtamu hakuna mfano.
True, wenyezimungu katuletea raha ya jimai pamoja na mambo mengine ni kutuburudisha, kutuondolea msongo n.k

ndio sababu hata kichaa, mlemavu, kipofu, kiziwi wote wana feel taste ile ile hata kama hana ulimi
 
Wakuu kuna swali Moja la Msingi sana, kila inaposemwa Vita ya Kagera utasikia. Mayunga, Msuguli,Tumainiel Kihwelu ,Nyilenda, hata kwa wale ambao walikuwa na kazi za kuratibu Kama Makamba, Kikwete, Kinana, Makongoro Nyerere,

Sijasikia Mwanamke akitajwa popote! Ni kwamba hawakushiriki au historia imewaweka kando?

Britanicca
Mnauliza haya mambo kwa sababu dunia hii imetulia.Hata kwenye Biblia ni wapi ulisoma wanawake wameenda kupigana vita?Leo hii ni mshahara watu wanapata na ikitokea bahati mbaya(hatuombei iwe hivyo) vita vikitokea ni wanaume wengi watakaopotea au kufa wakati wanawake wakiendelea kula raha.Shetani wa dunia hii anamthamini mwanamke kuliko mwanamume na matokeo yake tutayaona miaka ijayo.
 
Mnauliza haya mambo kwa sababu dunia hii imetulia.Hata kwenye Biblia ni wapi ulisoma wanawake wameenda kupigana vita?Leo hii ni mshahara watu wanapata na ikitokea bahati mbaya(hatuombei iwe hivyo) vita vikitokea ni wanaume wengi watakaopotea au kufa wakati wanawake wakiendelea kula raha.Shetani wa dunia hii anamthamini mwanamke kuliko mwanamume na matokeo yake tutayaona miaka ijayo.
Sikupingi mkuu nina experience fulani kuna mambo ni ya kuyasikia tu.
 
Mnauliza haya mambo kwa sababu dunia hii imetulia.Hata kwenye Biblia ni wapi ulisoma wanawake wameenda kupigana vita?Leo hii ni mshahara watu wanapata na ikitokea bahati mbaya(hatuombei iwe hivyo) vita vikitokea ni wanaume wengi watakaopotea au kufa wakati wanawake wakiendelea kula raha.Shetani wa dunia hii anamthamini mwanamke kuliko mwanamume na matokeo yake tutayaona miaka ijayo.
Shetani na mwanamke walifanya maridhiano pale bustanini Eden, ndio maana shetani uwa anamtumia mwanamke katika kufanikisha mission mbalimbali.
 
Back
Top Bottom