Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani Kama walishiriki maana kwa kipindi hicho ule u 50 kwa 50 na mkutano wa Beijing ilikuwa badoWakuu kuna swali Moja la Msingi sana, kila inaposemwa Vita ya Kagera utasikia. Mayunga, Msuguli,Tumainiel Kihwelu ,Nyilenda, hata kwa wale ambao walikuwa na kazi za kuratibu Kama Makamba, Kikwete, Kinana, Makongoro Nyerere,
Sijasikia Mwanamke akitajwa popote! Ni kwamba hawakushiriki au historia imewaweka kando?
Britanicca
Hasa vita mkuu sio kitu cha kuombaSikupingi mkuu nina experience fulani kuna mambo ni ya kuyasikia tu.
Duuh!Nyapu zinaliwa sana, Kuna mwamba kamla mrembo kwenye mkesha wa mazishi ya baba wa mrembo
OkayWengine walishiriki ,kwenye kueneza propaganda,na kucheza ngoma,na kuimba na kina Nauye ,baba wa nape nauye
Sijui hii mada ilinipitaje! Kwamba maumbile ya kike mlipuko ukitokea yanakuwaje! Fafanua!Wanajeshi wa kike zamani walikuwa hawashiriki vita kutokana na mazingira y kivita kuwa magumu zaidi na ufinyu wa teknolojia na pia walikuwa wachache sana. Haikuwa rahisi mwanamke kuwa na cheo cha juu kama uliowataja hapo.
Siku hizi tuna marubani pia wa kike jeshini. Askari wa kike hawastahimili milipuko mizito ya makombora, mizinga na vifaru kutokana na bailojia ya kimaumbile.
They are there as cheerleaders!!