Swali: Kwenye vita ya Kagera maafisa wanajeshi wa kike hawakushiriki? Mbona huwa hawatajwi?

Sidhani Kama walishiriki maana kwa kipindi hicho ule u 50 kwa 50 na mkutano wa Beijing ilikuwa bado
 
Nyapu zinaliwa sana, Kuna mwamba kamla mrembo kwenye mkesha wa mazishi ya baba wa mrembo
 
Sijui hii mada ilinipitaje! Kwamba maumbile ya kike mlipuko ukitokea yanakuwaje! Fafanua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…