Swali la kizushi: Unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi? Kwa english yako hiyo

dakika moja tu inatosha!, hapo inabidi niwe naongea kabla yake 🤣
 
Mi kwanza hua na pigo la kucheka+ kigugumizi naona kabisa 20 sekunde sitamaliza
 

Akigonga ngeli nagonga kilugaa mbwai mbwai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…