Mara kadhaa raisi amesema... MSEMAKWELI NI MPENZI WA MUNGU.....
Na moja ya ahadi za TANU (CCM baadaye) ni kusema kweli daima, fitina ni mwiko...
KWENYE HAYO HAPO JUU... the only condition ya kusema kweli ni
1. Ukweli uwe kweli
2. The fact kwamba ni ukweli, hakuna lingine la kuangalia... USEMWE TU
3. Ukweli usemwe wakati wote.... hata mahakamani, ukidanganya, na ikathibitika, WOTE TUNAFAHAMU MATOKEO YAKE
4. Ukweli hauna muda, mahali, wala anayeambiwa ukweli huo ni nani... UKWELI DAIMA
HIVYO TUSEME UKWELI, NA SIKU ZOTE UKWELI UNAUMA....
Mbona issue ya change ya radar ilijadiliwa kwa uwazi sana bila watu kukamatwa? Je haikuwa ya maslahi ya Taifa? je kuna tofauti gani baina ya deni inalodaiwa serikali na ile change ya radar ambayo serikali ilidai? tumekuwaje watanzania? mbona ugonjwa wa unafiki unashika kasi sana jamani?