Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele ‘Maslahi ya Taifa’?

Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele ‘Maslahi ya Taifa’?

Hii Kamata Kamata ya Kila Waompinga Magufuli, Ni Magufuli Anawatuma au Polisi Wanajipendekeza Tuu?.
My honest opinion, ingawa ni kweli rais Magufuli hapendi critics, mimi nilimsikia mwenyewe kwa masikio yangu toka kwenye kinywa chake na sio kwa kuhadithiwa, alisema anapenda challenge, ila hizo challenge ziwe ni ukosoaji wa kweli wenye nia njema, hivyo naamini hizi kamata kamata zinazoendelea za kuwakamata karibu kila wanasiasa wanaompinga rais Magufuli, siamini kama ni Magufuli anawatuma!, naamini hivyo ni kazi ya polisi wetu ambao wana jikomba komba tuu ili kuonekana wanafanya kazi.

Kwenye siasa za multipartisim duniani kote, kazi ya the opposition ni kupinga, kuopose kila kitu kinachofanywa na chama tawala hata kiwe ni kitu kizuri namna gani!, that is their right, kupinga, ndio maana wanaitwa wapinzani. Na serikali zote zinazoheshimu demokrasia ya kweli, lazima zikubali kupingwa.

Paskali nadhani unaweza kuomba kumfanyia Baba mwenye nyumba inteview ya nguvu (Honest one) najua inatafanyiwa editing lakini itakuwa na impact kubwa.
 
Pasko ni vizuri kuheshimu maoni ya Lissu..

Hivi uhuru wa maoni uko wapi,ikiwa kila utakaloeleza unaonekana ni mtu hatari..

Napata shaka sana na uandishi wako,au na wewe ulitishwa baada ya kuitwa kwenye kamati ya maadili.

Mwanasheria na Mwandishi unapaswa kutumia kalamu yako vizuri ,hawa madikteta siyo wa kuogopwa sana,vinginevyo mambo yatazidi kuharibika.
Mkuu Ngwasa, kwanza nisome hapa taratibu, sio lazima kuusema kila ukweli unaousikia.

Hata wachawi, wakikugundua umewabaini, watakumaliza, hivyo hata kama dalili zote zinaonyesha aliyemshambulia Lissu ni nani, lakini kama huna any solid evidence kudhibitisha ni fulani, don't point fingers, maana ukirejea ukaulizwa uthibitishe kauli zako usije kulia kuwa unaonewa. Wenzetu wazungu wametuzidi ustaarabu, wanashauri
Better be sure than sorry.
P
 
Nimesikiliza mahojiano ya Tundu Lissu kwenye kipindi cha Hard Talk cha BBC, kuna mambo ameyasema mule hakupaswa kuyasema, hivyo hili bandiko bado linamsadifu Mhe. Tundu Lissu, sio lazima kuusema kila ukweli unaousikia au unaoudhania.
P
 
Nimesikiliza mahojiano ya Tundu Lissu kwenye kipindi cha Hard Talk cha BBC, kuna mambo ameyasema mule hakupaswa kuyasema, hivyo hili bandiko bado linamsadifu Mhe. Tundu Lissu, sio lazima kuusema kila ukweli unaousikia au unaoudhania.
P
Ndio maana muuliza maswali alimuuliza zaidi ya Mara nne Kama Ana ushahidi was anayoyasema.Lissu hakuna sehemu ambayo alijibu kuwa Ana ushahidi,zaidi ya kusema amewahi kusema huko nyuma.
 
Actually ukweli unauma sana hasa unapogusa kunako. Jiwe ndomana anaupinga japo anajifanya kuungana nao

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
Kumbe ukikasirika, huwa unawatukana watu wapumbavu!, hata waliokuzidi umri...?.
Inawezekana ni kweli ni wapumbavu na unawaambiaga ukweli kuwa ni wapumbavu, ila ukweli mwingine sio lazima usemwe hadi sasa kila mtu anajua kuwa kumbe fulani na fulani ni wapumbavu?.

Wito kwa viongozi wetu, sio lazima tuuseme kila ukweli tunao usikia, ukweli mwingine, we let it go.
P.
 
Dah hata mimi sikupenda Dah
Kumbe ukikasirika, huwa unawatukana watu wapumbavu!, hata walikuzidi umri...?.
Inawezekana ni kweli ni wapumbavu na unawaambiaga ukweli kuwa ni wapumbavu, ila ukweli mwingine sio lazima usemwe hadi sasa kila mtu anajua kuwa kumbe fulani na fulani ni wapumbavu?.

Wito kwa viongozi wetu, sio lazima tuuseme kila ukweli tunao usikia, ukweli mwingine, we let it go.
P.
 
Kumbe ukikasirika, huwa unawatukana watu wapumbavu!, hata walikuzidi umri...?.
Inawezekana ni kweli ni wapumbavu na unawaambiaga ukweli kuwa ni wapumbavu, ila ukweli mwingine sio lazima usemwe hadi sasa kila mtu anajua kuwa kumbe fulani na fulani ni wapumbavu?.

Wito kwa viongozi wetu, sio lazima tuuseme kila ukweli tunao usikia, ukweli mwingine, we let it go.
P.
Hivi huwa huyu kaka yako ana ona ni fahari kufanya unyanyasaji wa aina hiyo?
Au ndio asili ya kabila lake?
 
Wanabodi.

Huu ni uzi kuhusu Swali la Morality: Jee ni Lazima Kuusema Kila Ukweli Unaousikia?. Kwenye Medani za Siasa, Kabla ya Kuusema Ukweli Tunaousikia, Jee Tutangulize Mbele Maslahi ya Taifa Kwa Kujiuliza Kwanza, na Kuupima Kwanza Ukweli Huo Una Matokeo Gani, kwa Taifa Ndipo Tuuseme, au Tendelee na Hii Tabia ya Ukisikia Jambo Lolote, Wewe Liseme Tuu Bila Kujali Linamatokeo Gani as Long as Jambo Hilo ni la Ukweli?.

Ili Kupata Manufaa ya Kisiasa, Jee ni Lazima Wanasiasa Wetu, Tupoliticise Kila Kitu?, Kila Jambo, Kila Tukio?.

Declaration of interest.
Mimi Paskali ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, na kanuni kuu ya mwana habari, (cardinal rule ni " tell the truth, no matter what!", hivyo mimi ni mtu mkweli daima, na ni muumini wa ile ahadi ya mwana TANU " Nitasema kweli daima, fitna kwangu mwiko", ila katika kuusema ukweli au kuandika ukweli, nasema na kuandika kwa kutumia responsible journalism kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa kwa kujiuliza jee ukweli huu ukisemwa, utajenga, au utabomoa?.

Ukiona jambo, japo ni ukweli lakini ukweli huo, utabomoa, then ukweli huo, siusemi, kama ukweli niliousema kwenye bandiko hili
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...



Hii Kamata Kamata ya Kila Waompinga Magufuli, Ni Magufuli Anawatuma au Polisi Wanajipendekeza Tuu?.
My honest opinion, ingawa ni kweli rais Magufuli hapendi critics, mimi nilimsikia mwenyewe kwa masikio yangu toka kwenye kinywa chake na sio kwa kuhadithiwa, alisema anapenda challenge, ila hizo challenge ziwe ni ukosoaji wa kweli wenye nia njema, hivyo naamini hizi kamata kamata zinazoendelea za kuwakamata karibu kila wanasiasa wanaompinga rais Magufuli, siamini kama ni Magufuli anawatuma!, naamini hivyo ni kazi ya polisi wetu ambao wana jikomba komba tuu ili kuonekana wanafanya kazi.

Kwenye siasa za multipartisim duniani kote, kazi ya the opposition ni kupinga, kuopose kila kitu kinachofanywa na chama tawala hata kiwe ni kitu kizuri namna gani!, that is their right, kupinga, ndio maana wanaitwa wapinzani. Na serikali zote zinazoheshimu demokrasia ya kweli, lazima zikubali kupingwa.

Nimeishi kidogo UK, US, na Uswiss. Uingereza pale Times Squire karibu kila siku ni maandamano. US ule mtaa jirani na Capitol Hill kuna uwanja unakuwa huru kupinga chochote, Uswiss uwanja huru wa kupinga, ni pale uwanja wa wazi nje ya ukumbi wa Bunge, the The Bundes House. Hivyo sioni mantiki ya sababu zozote wanaompinga rais kubughudhiwa!, this is not democracy, Tanzania sio nchi ya kidikiteta!, tena kiukweli, kama katiba yetu imeruhusu mikutano na maandamano, hakuna any justified reasons at all za rais Magufuli kupiga marufuku, ni ukiukwaji wa wazi wa katiba ya JMT, but to be honest, yeye kama rais wa JMT kwa mujibu wa katiba yetu, hana mamlaka ya kuzuia jambo lililoruhusiwa na katiba, and he gas nothing to loose akiruhusu mikutano na maandamano.

Wito kwa IGP, Kamanda Sirro, controll vijana wako watekeleze majukumu yao kwa sheria taratibu na kanuni na sio kwa kutaka kujipendekeza au kujikomba komba!.
Rais Magufuli, somo la managing diversity kwa Serikali yako ...
Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti ...


Jee Wapinzani Kazi yao ni Kupinga Tuu Kila Kitu au Kukosoa Tuu Hakuna Kupongeza Hata kwa Mazuri?.
Japo kazi ya upinzani ni kupinga na kukosoa, lakini tunapokuja kwenye issues muhimu kwa maslahi ya taifa, maslahi yataifa ndio yanatangulizwa mbele, sisi sote kama Watanzania, we stand as one, tunakuwa kitu kimoja, tunakuwa watu wamoja, tunaweka mbembeni tofauti zetu za kisiasa, hakuna tena siasa za vyama, wala siasa za watu, tunaweka pembeni siasa, tunaitanguliza mbele Tanzania, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, we stand as one, na kila kitu kinafuatia baadae.

Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A ...
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni ...Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...
Kwenye Haki za Wanyonge, Magufuli ni Kama Khalifa Mkuu Harun El ...


Conclusion
Namalizia kwa haya maswali ya msingi, kuhusu ni hoja za morality kusema kweli daima, lakini Jee ni Lazima Kuusema Kila Ukweli Unaousikia?. Kwenye Medani za Siasa, Kabla ya Kuusema Ukweli Tunaousikia, Jee Tutangulize Kwanza Mbele Maslahi ya Taifa Kwa Kuupima Kwanza, Ukweli Huo Una Matokeo Gani, Ndipo Tuuseme, au Tuendeleze Kila Ukisikia Lolote, Lisema Tuu kwa Sababu ni la Ukweli?. Jee Ili Kupata Manufaa ya Kisiasa, Jee ni Lazima Wanasiasa Wetu, Tupoliticise Kila Kitu?.
Wito Wangu ni Sio lazima kusema kila unachosikia hata kama ni ni kweli!.

Wasalaam.

Paskali

Rejea.
Jee Aachwe Aseme Tuu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or ...
Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public ...
Je, wajua amri za Rais sio final and conclusive?. Zinaweza kupigwa ...
Tusimlaumu Rais Magufuli Kwa Kila Kosa, Rais Yeye Hana Kosa Bali ...
Pongezi Rais Wetu Magufuli Kwa Kuwa Mkweli Daima, Tuanzishwa The ...
Rais Kusitisha Uzazi wa Mpango Kwa"Fyatueni Watoto wa Kutosha",Ni ...
Kitendo cha kuita nchi majirani zako kuwa ni "vinchi" ni uungwana ...
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hoja ya Udikiteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi ...
Mkuu Mzee Mwanakijiji, Rais Magufuli Sio Alfa na Omega. Rais Sio ...


Labda tukiwa specific itasaidia mambo gani tukisema uongo yatasadia nchi?
 
Yes yupo, vipi ulitaka awe Nairobi au India?. PM kaeleza Mzee yuko fit na bukheri wa afya, yuko Ikulu yetu na akiendelea kuchapa kazi zake kama kawaida
P

P, hapa ndio umeangusha mada yako ya mwanzo. Kama unadhani kuwa walio na ruhusa au uhalali wa kusema chochote kuhusu afya ya mgonjwa, unaweza kuthibitisha kuwa PM alipata ruhusa hiyo na tukijua sio mwana familia? Nini kinakuambia kuwa PM hawezi kusema uongo?? Mamlaka yake??

Formula ya ukweli ni moja tu - haihitaji uongo kuitetea kweli. Kama kweli ni kuwa mgonjwa ana hiari yake - sema “atajibu mgonjwa”. Kama habari hii ni restricted, haiwezi kuwa sawa ikawa unrestricted kwa sababu kuna nia njema!!

Katika yote uliyosema, si yote yana ukweli. Ukweli una tabia ya kujitenga. Ukweli upo lakini huenda sio huu tunaousikia au unaodaiwa ni ukweli. Ukweli haumilikiwi - hujimiliki kwa sababu husimama peke yake na hauhitaji utetezi wa kimaadili wala kisheria.
 
Huyu mzee yupo kweli?
Yes yupo, vipi ulitaka awe Nairobi au India?. PM kaeleza Mzee yuko fit na bukheri wa afya, yuko Ikulu yetu na akiendelea kuchapa kazi zake kama kawaida
P
P, hapa ndio umeangusha mada yako ya mwanzo. Kama unadhani kuwa walio na ruhusa au uhalali wa kusema chochote kuhusu afya ya mgonjwa, unaweza kuthibitisha kuwa PM alipata ruhusa hiyo na tukijua sio mwana familia? Nini kinakuambia kuwa PM hawezi kusema uongo?? Mamlaka yake??

Formula ya ukweli ni moja tu - haihitaji uongo kuitetea kweli. Kama kweli ni kuwa mgonjwa ana hiari yake - sema “atajibu mgonjwa”. Kama habari hii ni restricted, haiwezi kuwa sawa ikawa unrestricted kwa sababu kuna nia njema!!

Katika yote uliyosema, si yote yana ukweli. Ukweli una tabia ya kujitenga. Ukweli upo lakini huenda sio huu tunaousikia au unaodaiwa ni ukweli. Ukweli haumilikiwi - hujimiliki kwa sababu husimama peke yake na hauhitaji utetezi wa kimaadili wala kisheria.
Mkuu NewOrder , first thing first, tusiendelee kuzungumzia uvumi na uzushi, kama hakuna taarifa yoyote rasmi ya mgonjwa, na taarifa rasmi ni mtu yuko fit anapiga kazi, tuzungumzie taarifa rasmi tuu, tuachane na uvumi na uzushi.
P
 
Wanabodi.

Huu ni uzi kuhusu Swali la Morality: Jee ni Lazima Kuusema Kila Ukweli Unaousikia?. Kwenye Medani za Siasa, Kabla ya Kuusema Ukweli Tunaousikia, Jee Tutangulize Mbele Maslahi ya Taifa Kwa Kujiuliza Kwanza, na Kuupima Kwanza Ukweli Huo Una Matokeo Gani, kwa Taifa Ndipo Tuuseme, au Tendelee na Hii Tabia ya Ukisikia Jambo Lolote, Wewe Liseme Tuu Bila Kujali Linamatokeo Gani as Long as Jambo Hilo ni la Ukweli?.

Ili Kupata Manufaa ya Kisiasa, Jee ni Lazima Wanasiasa Wetu, Tupoliticise Kila Kitu?, Kila Jambo, Kila Tukio?.

Declaration of interest.
Mimi Paskali ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, na kanuni kuu ya mwana habari, (cardinal rule ni " tell the truth, no matter what!", hivyo mimi ni mtu mkweli daima, na ni muumini wa ile ahadi ya mwana TANU " Nitasema kweli daima, fitna kwangu mwiko", ila katika kuusema ukweli au kuandika ukweli, nasema na kuandika kwa kutumia responsible journalism kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa kwa kujiuliza jee ukweli huu ukisemwa, utajenga, au utabomoa?.

Ukiona jambo, japo ni ukweli lakini ukweli huo, utabomoa, then ukweli huo, siusemi, kama ukweli niliousema kwenye bandiko hili
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...



Hii Kamata Kamata ya Kila Waompinga Magufuli, Ni Magufuli Anawatuma au Polisi Wanajipendekeza Tuu?.
My honest opinion, ingawa ni kweli rais Magufuli hapendi critics, mimi nilimsikia mwenyewe kwa masikio yangu toka kwenye kinywa chake na sio kwa kuhadithiwa, alisema anapenda challenge, ila hizo challenge ziwe ni ukosoaji wa kweli wenye nia njema, hivyo naamini hizi kamata kamata zinazoendelea za kuwakamata karibu kila wanasiasa wanaompinga rais Magufuli, siamini kama ni Magufuli anawatuma!, naamini hivyo ni kazi ya polisi wetu ambao wana jikomba komba tuu ili kuonekana wanafanya kazi.

Kwenye siasa za multipartisim duniani kote, kazi ya the opposition ni kupinga, kuopose kila kitu kinachofanywa na chama tawala hata kiwe ni kitu kizuri namna gani!, that is their right, kupinga, ndio maana wanaitwa wapinzani. Na serikali zote zinazoheshimu demokrasia ya kweli, lazima zikubali kupingwa.

Nimeishi kidogo UK, US, na Uswiss. Uingereza pale Times Squire karibu kila siku ni maandamano. US ule mtaa jirani na Capitol Hill kuna uwanja unakuwa huru kupinga chochote, Uswiss uwanja huru wa kupinga, ni pale uwanja wa wazi nje ya ukumbi wa Bunge, the The Bundes House. Hivyo sioni mantiki ya sababu zozote wanaompinga rais kubughudhiwa!, this is not democracy, Tanzania sio nchi ya kidikiteta!, tena kiukweli, kama katiba yetu imeruhusu mikutano na maandamano, hakuna any justified reasons at all za rais Magufuli kupiga marufuku, ni ukiukwaji wa wazi wa katiba ya JMT, but to be honest, yeye kama rais wa JMT kwa mujibu wa katiba yetu, hana mamlaka ya kuzuia jambo lililoruhusiwa na katiba, and he gas nothing to loose akiruhusu mikutano na maandamano.

Wito kwa IGP, Kamanda Sirro, controll vijana wako watekeleze majukumu yao kwa sheria taratibu na kanuni na sio kwa kutaka kujipendekeza au kujikomba komba!.
Rais Magufuli, somo la managing diversity kwa Serikali yako ...
Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti ...


Jee Wapinzani Kazi yao ni Kupinga Tuu Kila Kitu au Kukosoa Tuu Hakuna Kupongeza Hata kwa Mazuri?.
Japo kazi ya upinzani ni kupinga na kukosoa, lakini tunapokuja kwenye issues muhimu kwa maslahi ya taifa, maslahi yataifa ndio yanatangulizwa mbele, sisi sote kama Watanzania, we stand as one, tunakuwa kitu kimoja, tunakuwa watu wamoja, tunaweka mbembeni tofauti zetu za kisiasa, hakuna tena siasa za vyama, wala siasa za watu, tunaweka pembeni siasa, tunaitanguliza mbele Tanzania, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, we stand as one, na kila kitu kinafuatia baadae.

Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A ...
Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni ...Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...
Kwenye Haki za Wanyonge, Magufuli ni Kama Khalifa Mkuu Harun El ...


Conclusion
Namalizia kwa haya maswali ya msingi, kuhusu ni hoja za morality kusema kweli daima, lakini Jee ni Lazima Kuusema Kila Ukweli Unaousikia?. Kwenye Medani za Siasa, Kabla ya Kuusema Ukweli Tunaousikia, Jee Tutangulize Kwanza Mbele Maslahi ya Taifa Kwa Kuupima Kwanza, Ukweli Huo Una Matokeo Gani, Ndipo Tuuseme, au Tuendeleze Kila Ukisikia Lolote, Lisema Tuu kwa Sababu ni la Ukweli?. Jee Ili Kupata Manufaa ya Kisiasa, Jee ni Lazima Wanasiasa Wetu, Tupoliticise Kila Kitu?.
Wito Wangu ni Sio lazima kusema kila unachosikia hata kama ni ni kweli!.

Wasalaam.

Paskali

Rejea.
Jee Aachwe Aseme Tuu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or ...
Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public ...
Je, wajua amri za Rais sio final and conclusive?. Zinaweza kupigwa ...
Tusimlaumu Rais Magufuli Kwa Kila Kosa, Rais Yeye Hana Kosa Bali ...
Pongezi Rais Wetu Magufuli Kwa Kuwa Mkweli Daima, Tuanzishwa The ...
Rais Kusitisha Uzazi wa Mpango Kwa"Fyatueni Watoto wa Kutosha",Ni ...
Kitendo cha kuita nchi majirani zako kuwa ni "vinchi" ni uungwana ...
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hoja ya Udikiteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi ...
Mkuu Mzee Mwanakijiji, Rais Magufuli Sio Alfa na Omega. Rais Sio ...


Tatizo la muongo hauna kipimo. Ni kama mlevi huwezi kupima kama unavyosema. Ukweli kwa upande mwingine hauhitaji kipimo chochote. Vilevile watu kuongea bila uhakika wa habari kunaonyesha kuwa watu wanataka kujua.
 
Yes yupo, vipi ulitaka awe Nairobi au India?. PM kaeleza Mzee yuko fit na bukheri wa afya, yuko Ikulu yetu na akiendelea kuchapa kazi zake kama kawaida
P

Mkuu NewOrder , first thing first, tusiendelee kuzungumzia uvumi na uzushi, kama hakuna taarifa yoyote rasmi ya mgonjwa, na taarifa rasmi ni mtu yuko fit anapiga kazi, tuzungumzie taarifa rasmi tuu, tuachane na uvumi na uzushi.
P
Paschal rudia tena na leo majibu yako?
 
Back
Top Bottom