kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Hiyo ni kweli tupu. Hata Mzee Ali Hassan Mwinyi Rais mstaafu alikiri mwenyewe kuwa vyama vya upinzani viliwekewa mizengwe na CCM tangu wakati wa uwanzisjwaji wa vyama vingi nchini. Hivyo kila awamu inakuja na mizengwe yake.Kwa sababu Upinzani hautakiwi Nchi hii Watawala wanatafuta kila Njia ya kuufuta ikiwa ni pamoja na Kuwabambikizia Kesi
Mfano Kesi ya Mdude ile ya Mbeya n.k