leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,583
- 3,182
Mwenyekiti yupo kifungoni au mahabusu?Kwani sheria inasemaje mwenyekiti akiwa kifungoni tuchague mwingine maisha ya chama yaendelee tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti yupo kifungoni au mahabusu?Kwani sheria inasemaje mwenyekiti akiwa kifungoni tuchague mwingine maisha ya chama yaendelee tu
ni kweli kiingeeeza sijui.Wewe MHA unajulia wapi kiingeeeza?
Pathetic excuse. Lafudhi ya kichaga haiharibu matamshi hata siku moja.Shida ya Mallya anatamka neno terrorism kichaga, linasikika tourism...
Na ndio maana katika re-examination, shahidi alifafanua alivyosikia.
No don't take it seriously kaka.Pathetic excuse. Lafudhi ya kichaga haiharibu matamshi hata siku moja.
Ulihitimishaje?Huwa najiuliza maswali kwa nini ikitokea kiongozi wa upizani ameshitakiwa anaonekana anaonewa hata kabla ya tuhuma yenyewe kufahamika?ni mind set,ushabaki,ujinga au kitu gani...
Naamini wanajua wanachofanya, maana ni taalamu yaoHapo vip!!
Binafsi maswali kama haya natafsiri kama maswali ya kitoto yasiyoweza kusaidia upande wa utetezi.
Hata kama lengo nikumchanyanya shaidi ila me naona haisadie sana kwa jinsi kesi na ushaidi wa jamuhuri ulivyokaa wazi.
Cha ajabu baadhi ya vyomba vya habari vinasema shahidi ashindwa kujibu maswali kwa kuangali swali kama hili ambalo haliwezi kusaidi katika kesi hii.
Naona kuna ushabiki wa baadhi ya mitandao na vyombo vya habari kwa lengo la kutaka kutengeneza image ya kesi hii kwa wananchi pasipo kuonyesha upande mwingine wa shilingi.
Narudi hii kesi imemkalia bwana yulevibaya tuache ushabaki.
CCM ni waovu zaidi kuliko wapinzani. Huo ndio ukweli.Huwa najiuliza maswali kwa nini ikitokea kiongozi wa upizani ameshitakiwa anaonekana anaonewa hata kabla ya tuhuma yenyewe kufahamika?ni mind set,ushabaki,ujinga au kitu gani...