Swali la tafsiri ya terrorism linasaidia nini kesi dhidi ya Mbowe?

Naamini wanajua wanachofanya, maana ni taalamu yao
 
Huwa najiuliza maswali kwa nini ikitokea kiongozi wa upizani ameshitakiwa anaonekana anaonewa hata kabla ya tuhuma yenyewe kufahamika?ni mind set,ushabaki,ujinga au kitu gani...
CCM ni waovu zaidi kuliko wapinzani. Huo ndio ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…