Swali la Uchokozi: Jeshi la Polisi Halina Wanawake Wenye Uwezo?

Swali la Uchokozi: Jeshi la Polisi Halina Wanawake Wenye Uwezo?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Labda hili swali tungeliuliza hata kuhusiana na Jeshi la Wananchi. Hasa baada ya hizi teuzi. Najiuliza inawezekana kwenye majeshi yetu hakuna wanawake wenye uwezo na ufahamu wa mambo ya kazi, operesheni na mikakati ya kijeshi kuweza kushika nafasi za juu kwenye majeshi hayo?

Labda Rais yeye kwa vile anajua mengi inawezekana baada ya kuangalia akagundua kuwa bado hakuna wanawake wanauwezo wa kushika nafasi ya juu... si kwa sababu ni wanawake bali kwa sababu hawana uwezo.

Ila kama wapo wenye uwezo JWTZ au Polisi au Magereza (labda huku atateuliwa mwanamke - sijui Katherine Mwipopo anacheo gani sasa). Rais atawapa nafasi au mpaka wajioneshe vipi kuwa wanaweza kushika nafasi hizo.

Labda Jaji Mkuu Mwanamke wa kwanza.
 
CCM ina laana,badala ya kuteua watu wenye weledi kama hawa, unateua Mapaka!🐒🐒🐒
 
Hii ni dalili ya kutoridhishwa na teuzi za jana, sasa mnapanua wigo wa vigezo.
 
wewe mbuzi tayari ushaanza kumgeuka bibi yako[emoji23][emoji23][emoji23].

ulidhani kaganda ndiye IGP ajaye[emoji1787][emoji1787]hopeless.
Mke wangu toka umesikia nina mchepuko unatukana ovyo. Tatizo hilo bwanga lako nimelichoka jaribu kutumia shabu ibane kidogo
 
Jamani kwani mapungufu ya kiuongozi tuliyonayo hapa nchini dawa yake ni kuwapa madaraka wanawake??
 
Labda hili swali tungeliuliza hata kuhusiana na Jeshi la Wananchi. Hasa baada ya hizi teuzi. Najiuliza inawezekana kwenye majeshi yetu hakuna wanawake wenye uwezo na ufahamu wa mambo ya kazi, operesheni na mikakati ya kijeshi kuweza kushika nafasi za juu kwenye majeshi hayo?

Labda Rais yeye kwa vile anajua mengi inawezekana baada ya kuangalia akagundua kuwa bado hakuna wanawake wanauwezo wa kushika nafasi ya juu... si kwa sababu ni wanawake bali kwa sababu hawana uwezo.

Ila kama wapo wenye uwezo JWTZ au Polisi au Magereza (labda huku atateuliwa mwanamke - sijui Katherine Mwipopo anacheo gani sasa). Rais atawapa nafasi au mpaka wajioneshe vipi kuwa wanaweza kushika nafasi hizo.

Labda Jaji Mkuu Mwanamke wa kwanza.
Mfumo dume tu unawasumbua! wapo wengi sana! Hasa wenye sifa za ujaji.
Kwenye majeshi vile vile wapo!
Polisi wanawake wapo wengi sana waadilifu na weledi kuliko wanaume.
 
Una nongwa wewe tangu yule fyatu afyatuliwe na mungu hujui uanzie wapi.
Mwacheni mama wa watu afanye kazi.
Akiteua waislamu kelele.
Akiteua wanaume kelele
Kamfufue uzikwe wewe
 
Back
Top Bottom