Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km kwel vile!!!
Kwa maana IMF nao wameingizwa kwenye propaganda za warusi?Russia hajawahi kutoa takwimu za ukweli za uchumi wake toka vita ianze. Kama sikosei mwaka jana waliingia bungeni wakiwa na hesabu za mapato tu ya nchi ila matumizi hakuna, taarifa ya bank kuu yao ilificha ripot ya fedha kwa miezi kadhaa.
Mimi Nimekaa kimya kwasababu sio eneo langu wewe kama sio Waziri wetu basi itakua bahati sana...na wewe ongezea minyama nyama unayoijua mbona itakuwa fresh tu
Russia ni taifa teuleNitajibu swali lako kama ifuatavyo:
Uchumi wa Russia haujateteleka kwa sababu zifuatazo
1. Russia ni Superpower Halisi: unavyodeal na nchi kubwa kama Russia inakupasa uwe na Plan B au C. West walishindwa kutambua Stage alokuwa amefikia Russia ilikua ni stage kubwa sana. Sababu Russia alizifanya nchi za ulaya kuwa dependent kwake kwenye suala la Nishati na ili kuwakamata zaidi alijenga pipes “strems” za kusuply gas na mafuta kwa cheap price.
2. Nature of economic system: Russia ni socialist state hivo major means of production ziko under the government. Zile sector zinazobeba uchumi wa nchi bhasi kuna mkono wa Serikali. Ndomana unaona hizi Gazprom na Rosatam bado ziliendelea kufanya vizuri licha ya vikwazo.
3. Strong leadership
4. Russia ni moja ya nchi ambazo zinajitegemea kiuchumi hawa jamaa karibu 90% wanajitegemea ni asilimia ndogo sana ambazo wana import.
5. Russia wana intelejensia hatari sana ambayo inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa (FSB).
6. Russia is Rich in natural resource ($75 trillion approximately)
Dah!... uchambuzi mzuri sana..... hongera mchumi.Probably you aren’t paying much attention on economic trends ya russia and, there are changes on russia economy post sanctions.
The fact economy haija crash abruptly instead it’s declining slowly it’s difficult kwa non-economists ku notice the stumbling situation.
Qn1.
G7 waneweka vikwazo (kwa baadhi ya commodity tu na sio zote. Due to diversified economy ya russia (gas, petrol, mbolea, rare earth metals, etc) inanfanya awe na uwanja mpana wa wateja na sio west tu. So demands ya commodities bado ipo kutoka mataifa mengine. Also domestic consumer ya watu 145mil ni market tosha kuweza kustabilize uchumi. Pia kuna issue ya interest rate kwenye forex kuboost local currency isishuke zaidi.
Kuhusu makampuni ya russia kuongoza mauzo mbona hilo niswala rahisi sana
Qn2.
Business inategemea na control variables ili uwin market. So amid sanctions Russia alinusa kuanguka wa ruble alichofanya ni ku play na price ya petrol na gas. Unaposhusha price ya bidhaa una attract large market. Lowering commodity price psychologically triggers market flocking. Hii inapelekea bulk sells for fear that yanaweza kupanda bei. So majumuzi ni makubwa. Kutoka India na China, Africa.
Mfano: unapoizuia Mbeya isiuze mchele DSM kwa wateja 8milion. Mbeya inashusha bei ya mchele, mikoa mingine inaenda mbeya kujumua mchele kwa bei ya chini lakini kilo nyingi sababu wajumizi watafikiri mbeleni bei itapanda. Population ya mikoa mingine ni zaidi ya 50 milion by simple mathematics mbeya itapata faida kuliko ingeuza DSM.
Qn3.
Uchumi wa Russia utakua ngumu kuanguka labda kushuka hasa Unapokua na disposal ya natural resources (petrol, gas, metals, mbolea) you’re safe. Russia currently yuko scarce na technologies especially electronics chips. Hii itapelekea kukosa technology advancement kwenye mashine muhimu za uzalishaji hasa tractors, farm drones, ndege, magari, industries na automation kwa ujumla na itakua expensive kwelikweli maana soko lao kuu la electronics lilikua west .
Pia west wakiendelea na kutafuta alternative ya kupata nishati (gas au renewable) basi itakua shida kwa Russia maana competition ya market itakua hot. Especially US aki rump up production, Venezuela, canada, Norway, and other places
Ruble against $ currently .
View attachment 2693924
Urusi wenyewe wanaomba warudidhwe kwenye mfumo wa swift ndo warudi kwenye grain deal kama vikwazo havifanyi kazi kwann atake kurudi?
Mkuu vita ni biashara nzito sana hapa ulimwengu inayofanywa zaidi na mataifa kama US, China na Russia.
Mambo yanayoendelea huko Russia na Ukraine mengi ni Propaganda.
Russia hajawahi kutoa takwimu za ukweli za uchumi wake toka vita ianze. Kama sikosei mwaka jana waliingia bungeni wakiwa na hesabu za mapato tu ya nchi ila matumizi hakuna, taarifa ya bank kuu yao ilificha ripot ya fedha kwa miezi kadhaa.
Asikwambie mtu, Russia anahenyeka saaana tu kwa vikwazo.
USA na West hawajawahi tarajia uchumi wa Urusi uanguke. Lengo lao kwenye sanctions ni kuilazimisha Urusi iwe na options kwenye harakati zake za expansionism. Ijue wakati inaendelea kufanya uvamizi itaendelea kupoteza mazingira ya kiuchumi na hao wanaoweka vikwazo, isiwe na uhuru wa kuvamia ikijisikia.T14 Armata Kwanini urusi uchumi wake haujaanguka kama ilivyotarajiwa na USA na WEST?.
Shida yako unatoa mawazo yako kishabiki sna na kimahaba kwa nchi za magharibi ila kiuhalisia west waliweka vikwazo ili kuuwa uchumi wa Russia rejea kauli ya Biden baada ya uvamizi wa Russia ukreinUSA na West hawajawahi tarajia uchumi wa Urusi uanguke. Lengo lao kwenye sanctions ni kuilazimisha Urusi iwe na options kwenye harakati zake za expansionism. Ijue wakati inaendelea kufanya uvamizi itaendelea kupoteza mazingira ya kiuchumi na hao wanaoweka vikwazo, isiwe na uhuru wa kuvamia ikijisikia.
Kama West na US zingetaka kuiua kiuchumi Urusi basi zingeanzia kwenye machine tools na precision machinery ambako Urusi haijiweziView attachment 2698026View attachment 2698027
Importation ya mitambo muhimu ya uzalishaji ingesitishwa yote na Urusi wangeishia kutegemea black market au kutegemea machine tools za China ambazo huwa haizipendelei.
Kwanza Marekani inahusika kwenye kuisaidia Soviet Union kukua kiviwanda mwanzoni mwa utawala wao, Volgograd tractor plant ilijengwa na Wamarekani pale Soviet Union iko busy kukua kwenye kilimo. Walikuja kupishana na Marekani walivyoanza kujitutumua na kujishindanisha na Marekani. Na technology transfer wakawa wanaitumia kutengeneza silaha, mfano hiyo Volgograd plant ilitengeneza vifaru, infantry fighting vehicles na artillery.
Sasa nchi gani itakubali ikupe teknolojia uunde silaha alafu uitunishie misuli, wakaachana nayo.
Hata China wanamfanyia hivi Warusi na Wamarekani, unamuuzia licence ya helicopter kutoka Sikosrky ya Marekani yeye anatumia kutengeneza attack helicopter. Sasa unaamua kumpa teknolojia chache zisizo na dual use na sometimes unagoma kumuuzia baadhi ya vitu asiige.
Marekani iliwahi kuwashawishi Germany na Japan baada ya WW2 kustaariba na kuishi kama waungwana duniani wakati kwenye vita walipigana. Leo hizo ni nchi za tatu ya nne kiuchumi duniani, South Korea waliopambaniwa na Marekani ni nchi inazidi Urusi kiuchumi. Hizo nchi tatu ni almost hazina kitu kwenye rasilimali wala ukubwa wa ardhi kama Urusi. Kama Urusi wangekuwa serious na vitu vya msingi hizo nchi tatu hazikutakiwa ziikaribie kiuchumi.
Una rasilimali za kutosha madini mengi kuanzia aluminium, gold, bauxite, iron ore, copper, diamond hadi rare earth metals, gesi ni wa kwanza duniani, mafuta ya kutosha mpaka unaitwa OPEC wakati sio mwanachama, unalima ngano, una mbao, una ardhi kubwa sana wakati idadi ya watu milioni 144 ukitaka kutenga eneo kubwa la kilimo unaweza, una uvuvi. Bado unazidiwa na Italy kwa GDP. Sasa wewe upewe nini hapa duniani?
Urusi sio kwamba hawaipendi, ni yenyewe inalazimisha kujipanbanisha na kuishi kama karne ya 20. Marekani haina haja ya kupambana na Urusi, na inachofanya ni kilekile tena pungufu ya ambacho superpower yeyote kwa timeline yoyote hapa duniani huwa anafanya.
Italy inayohema kiuchumi hapo Ulaya inaizidi Russia kwa GDP, HDI, GDP per capita na vipimo vingi kiuchumi. Wakati Italy haina upendeleo wa natural resources kama Russia.Shida yako unatoa mawazo yako kishabiki sna na kimahaba kwa nchi za magharibi ila kiuhalisia west waliweka vikwazo ili kuuwa uchumi wa Russia rejea kauli ya Biden baada ya uvamizi wa Russia ukrein
West ni kweli wanateknolojia kubwa sana na siyo kwamba wanampa Russia kwa mapenzi mema ila ni sababu ya soko la uhakika, nchi nyingi zinanunua bidha za bei powa kutoka China japo ni nzuri ila haziwezi fikia za west lakin za China ni gharama nafuu zaidi kuliko za west sasa wapi watapata soko la uwakika kama la Russia ambaye yeye ana pesa
Nakukumbusha tu hakuna nchi yoyote ulaya au Asia aambaayo ingepigwa sanction kama za Russia ingesaavive ata mwaka mmoja uchhumi wa Russia ni halisi na ndyo nchi yenye madeni madogo kuliko awo uliwo wataja, japana deni lake linaanza kuwa mzigo kwa nchi, italy ni nchi inayoemea mipiraa kiuchumi ata pale umoja wa ulaya hana sauti tena kama France au Germany
yani wewe unajiona unaelewa mahitaji ya warusi kuliko warusi wenyewe?USA na West hawajawahi tarajia uchumi wa Urusi uanguke. Lengo lao kwenye sanctions ni kuilazimisha Urusi iwe na options kwenye harakati zake za expansionism. Ijue wakati inaendelea kufanya uvamizi itaendelea kupoteza mazingira ya kiuchumi na hao wanaoweka vikwazo, isiwe na uhuru wa kuvamia ikijisikia.
Kama West na US zingetaka kuiua kiuchumi Urusi basi zingeanzia kwenye machine tools na precision machinery ambako Urusi haijiweziView attachment 2698026View attachment 2698027
Importation ya mitambo muhimu ya uzalishaji ingesitishwa yote na Urusi wangeishia kutegemea black market au kutegemea machine tools za China ambazo huwa haizipendelei.
Kwanza Marekani inahusika kwenye kuisaidia Soviet Union kukua kiviwanda mwanzoni mwa utawala wao, Volgograd tractor plant ilijengwa na Wamarekani pale Soviet Union iko busy kukua kwenye kilimo. Walikuja kupishana na Marekani walivyoanza kujitutumua na kujishindanisha na Marekani. Na technology transfer wakawa wanaitumia kutengeneza silaha, mfano hiyo Volgograd plant ilitengeneza vifaru, infantry fighting vehicles na artillery.
Sasa nchi gani itakubali ikupe teknolojia uunde silaha alafu uitunishie misuli, wakaachana nayo.
Hata China wanamfanyia hivi Warusi na Wamarekani, unamuuzia licence ya helicopter kutoka Sikosrky ya Marekani yeye anatumia kutengeneza attack helicopter. Sasa unaamua kumpa teknolojia chache zisizo na dual use na sometimes unagoma kumuuzia baadhi ya vitu asiige.
Marekani iliwahi kuwashawishi Germany na Japan baada ya WW2 kustaariba na kuishi kama waungwana duniani wakati kwenye vita walipigana. Leo hizo ni nchi za tatu ya nne kiuchumi duniani, South Korea waliopambaniwa na Marekani ni nchi inazidi Urusi kiuchumi. Hizo nchi tatu ni almost hazina kitu kwenye rasilimali wala ukubwa wa ardhi kama Urusi. Kama Urusi wangekuwa serious na vitu vya msingi hizo nchi tatu hazikutakiwa ziikaribie kiuchumi.
Una rasilimali za kutosha madini mengi kuanzia aluminium, gold, bauxite, iron ore, copper, diamond hadi rare earth metals, gesi ni wa kwanza duniani, mafuta ya kutosha mpaka unaitwa OPEC wakati sio mwanachama, unalima ngano, una mbao, una ardhi kubwa sana wakati idadi ya watu milioni 144 ukitaka kutenga eneo kubwa la kilimo unaweza, una uvuvi. Bado unazidiwa na Italy kwa GDP. Sasa wewe upewe nini hapa duniani?
Urusi sio kwamba hawaipendi, ni yenyewe inalazimisha kujipanbanisha na kuishi kama karne ya 20. Marekani haina haja ya kupambana na Urusi, na inachofanya ni kilekile tena pungufu ya ambacho superpower yeyote kwa timeline yoyote hapa duniani huwa anafanya.
tatizo jingine unapima uchumi wa nchi kwa kuangalia utajiri unaoelea, usio na mizizi...... na hiki ndio kipimo west wanakipenda, kwa sababu kinawafariji kwamba nchi zao ni tajiri.....Italy inayohema kiuchumi hapo Ulaya inaizidi Russia kwa GDP, HDI, GDP per capita na vipimo vingi kiuchumi. Wakati Italy haina upendeleo wa natural resources kama Russia.
Japan wana deni kubwa sana ukilinganisha na nchi nyingine duniani, ila wana uchumi mkubwa unauzidi wa Russia mbali. Na almost hawana rasilimali yoyote.
China na India zina watu wengi zinapambana kulisha, kujenga shule na hospitali, kuajiri na usumbufu mwingine unaotokana na kuwa na population kubwa ila bado zinapiga hatua nzuri wakati Russia ina watu wachache na rasilimali nyingi sana kiasi kwamba matumizi ya kawaida kwa population ni madogo ila inashindwa weka concentration kwenye vitu vya maana kiuchumi.
Hivi hushangai kuona mabilionea wa Russia karibia wote ni oligarchies? Hushangai almost kila bilionea wa Russia anatokana na kubinafsishwa kwa rasilimali, hakuna bilionea wa kampuni ya simu au kampuni ya magari au aliyegundua mifumo ya usafirishaji au teknolojia?
Hapo kwa Biden na vikwazo umesema vizuri "baada ya uvamizi wa Russia Ukraine". Sasa uvamizi ni wa 2022, kilichoishinda Russia kuwa kati ya nchi 10 kubwa kiuchumi kwa GDP kabla ya 2022 ni nini?
Basi turudi nyuma, kabla ya Russia kuivamia Crimea mwaka 2014 ilikuwa wapi kiuchumi duniani?
Bila hata sanctions Russia ni ya kawaida.
Ndyo maana nakwambia uchumi halisi haudanganyi iyoo GDP, na mengine yote haijafika robo ya kile Russia anacho, Leo hii Italy ingekulaaa sanction mabenk, masoko ya hisa vyote vingesambaratika ila vipi Russia na mtoa mada ameleta mada nzuri tu kwanini pamoja na vikwazo vyote bado Russia ameonekana ngangariItaly inayohema kiuchumi hapo Ulaya inaizidi Russia kwa GDP, HDI, GDP per capita na vipimo vingi kiuchumi. Wakati Italy haina upendeleo wa natural resources kama Russia.
Japan wana deni kubwa sana ukilinganisha na nchi nyingine duniani, ila wana uchumi mkubwa unauzidi wa Russia mbali. Na almost hawana rasilimali yoyote.
China na India zina watu wengi zinapambana kulisha, kujenga shule na hospitali, kuajiri na usumbufu mwingine unaotokana na kuwa na population kubwa ila bado zinapiga hatua nzuri wakati Russia ina watu wachache na rasilimali nyingi sana kiasi kwamba matumizi ya kawaida kwa population ni madogo ila inashindwa weka concentration kwenye vitu vya maana kiuchumi.
Hivi hushangai kuona mabilionea wa Russia karibia wote ni oligarchies? Hushangai almost kila bilionea wa Russia anatokana na kubinafsishwa kwa rasilimali, hakuna bilionea wa kampuni ya simu au kampuni ya magari au aliyegundua mifumo ya usafirishaji au teknolojia?
Hapo kwa Biden na vikwazo umesema vizuri "baada ya uvamizi wa Russia Ukraine". Sasa uvamizi ni wa 2022, kilichoishinda Russia kuwa kati ya nchi 10 kubwa kiuchumi kwa GDP kabla ya 2022 ni nini?
Basi turudi nyuma, kabla ya Russia kuivamia Crimea mwaka 2014 ilikuwa wapi kiuchumi duniani?
Bila hata sanctions Russia ni ya kawaida.
Nimetaja vipimo vitatu. Kama hutaki taja vya kwako unavyotumia mwenyewe vinavyosema Urusi ana uchumi mkubwa. Na ututajie ni ya ngapi kiuchumi dunianitatizo jingine unapima uchumi wa nchi kwa kuangalia utajiri unaoelea, usio na mizizi...... na hiki ndio kipimo west wanakipenda, kwa sababu kinawafariji kwamba nchi zao ni tajiri.....
uchumi wa Urusi haujaanguka kwa sababu haupo kama uchumi wa ulaya na marekani (uchumi fake), unajisifu kwa utajiri wa makaratasi? masoko ya hisa hewa? mabenki?....
huu ndio uchumi unaosema afrika ni bara maskini zaidi duniani, lkn tukisema kila mtu aishi kwa kujitegemea ulaya sijui kama wataweza!