Swali la uchumi: Kwanini vikwazo vya mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi havifanyi kazi dhidi ya Urusi?

Swali la uchumi: Kwanini vikwazo vya mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi havifanyi kazi dhidi ya Urusi?

Raisi Biden alisema mwaka 2022 kabla ya uvamizi kuanza ? Alisema kwamba uchumi wa Urusi ungeanguka ndani ya wiki chache tu, sasa ni mwaka na zaidi. Mataifa ya Magharibi yamefanikiwa au tuendelee kusubiri ?
Kinachoibakiza urusi kusimamia ni appeasement policy, hii pia ilifanyika kwa Hitler kipindi anaijenga Ujerumani kuwa taifa kubwa miaka ya 1930s.

Appeasement policy ni Ile sera ambayo unamuacha adui Yako afanye Ghasia anazotaka kwa kuepuka kuanzisha naye vita kwa kuhofia akijibu mapigo basi anaweza leta madhara makubwa hata kama utamshinda vitani.

So Urusi anasurvive sababu kwanza anakiuka masharti ya vikwazo mfano Kuna nchi Bado zinachukua gesi na mafuta kwake licha ya zuio ila Sasa mtamfanyeje? Mtamshambulia kwa Kulikua vikwazo? Ndio tunarudi kule kule kwa appeasement policy?

Kingine Urusi ana population kubwa, so ukianzisha vita naye believe me hata kama watakufa million 50 Bado tu watazalisha wanajeshi Kila siku hivyo vita haitoisha na italeta madhara makubwa kwa west.

So uwezo wa kumtandika urusi wanao ila at what cost? Anaweza akapigwa sana ila trust me nusu ya ulaya inaweza kuchakazwa kwa nuclear weapons ambayo itahitaji miaka zaidi ya 7 kusafisha radiation kwenye mazingira.

So Urusi kinachomfanya asurvive ni uwepo wa nuclear na population kubwa ila combat wise haogopeki hata kidogo no wonder Ukraine tu inamtoa jasho sembuse NATO?
 
Kwa vile hii mada inahusu uchumi mim sitoweza kuchangia kwa koment bali nitadondosha laik kwa Kila mchangiaj


Kuna dogo anajiita Malcom Lumumba jamaa noma kwa mijadala ya aina hii ila tangu special operation ing'oe nanga hachangii kabisaaaaaaa mijadala ya kisiasa sasa sijui nae kaenda front kuongezea nguvu au kaamua kususa tu
Special operation ipi hiyo chief?mbona hatupean habari?
 
Kinachoibakiza urusi kusimamia ni appeasement policy, hii pia ilifanyika kwa Hitler kipindi anaijenga Ujerumani kuwa taifa kubwa miaka ya 1930s.

Appeasement policy ni Ile sera ambayo unamuacha adui Yako afanye Ghasia anazotaka kwa kuepuka kuanzisha naye vita kwa kuhofia akijibu mapigo basi anaweza leta madhara makubwa hata kama utamshinda vitani.

So Urusi anasurvive sababu kwanza anakiuka masharti ya vikwazo mfano Kuna nchi Bado zinachukua gesi na mafuta kwake licha ya zuio ila Sasa mtamfanyeje? Mtamshambulia kwa Kulikua vikwazo? Ndio tunarudi kule kule kwa appeasement policy?

Kingine Urusi ana population kubwa, so ukianzisha vita naye believe me hata kama watakufa million 50 Bado tu watazalisha wanajeshi Kila siku hivyo vita haitoisha na italeta madhara makubwa kwa west.

So uwezo wa kumtandika urusi wanao ila at what cost? Anaweza akapigwa sana ila trust me nusu ya ulaya inaweza kuchakazwa kwa nuclear weapons ambayo itahitaji miaka zaidi ya 7 kusafisha radiation kwenye mazingira.

So Urusi kinachomfanya asurvive ni uwepo wa nuclear na population kubwa ila combat wise haogopeki hata kidogo no wonder Ukraine tu inamtoa jasho sembuse NATO?
Umejibu kama unaadithia watu vijiweni Russia alishinda vita kubwa na France bila uwepo wa nyuklia, alipigana na Germany bila uwepo wa nyuklia alafu apa atuzungumzii vita bali swala linausu uchumii

Kingine ufahamu tu Russia nao wanaakili siyo kama nchi zetu izi naaamini Russia japo hii vitaa wengi wameona kama kashindwa ila kuendeleaa kwa vita pale ukrein imekuwa salama kwake kwa asilimia 90 hasa kupambana na vikwazo, na nchi za magharibi kuendelea kuumia kiuchumi kwamba nchi zote zinaumia ila kwa namna tofauti tu
 
Kinachoibakiza urusi kusimamia ni appeasement policy, hii pia ilifanyika kwa Hitler kipindi anaijenga Ujerumani kuwa taifa kubwa miaka ya 1930s.

Appeasement policy ni Ile sera ambayo unamuacha adui Yako afanye Ghasia anazotaka kwa kuepuka kuanzisha naye vita kwa kuhofia akijibu mapigo basi anaweza leta madhara makubwa hata kama utamshinda vitani.

So Urusi anasurvive sababu kwanza anakiuka masharti ya vikwazo mfano Kuna nchi Bado zinachukua gesi na mafuta kwake licha ya zuio ila Sasa mtamfanyeje? Mtamshambulia kwa Kulikua vikwazo? Ndio tunarudi kule kule kwa appeasement policy?

Kingine Urusi ana population kubwa, so ukianzisha vita naye believe me hata kama watakufa million 50 Bado tu watazalisha wanajeshi Kila siku hivyo vita haitoisha na italeta madhara makubwa kwa west.

So uwezo wa kumtandika urusi wanao ila at what cost? Anaweza akapigwa sana ila trust me nusu ya ulaya inaweza kuchakazwa kwa nuclear weapons ambayo itahitaji miaka zaidi ya 7 kusafisha radiation kwenye mazingira.

So Urusi kinachomfanya asurvive ni uwepo wa nuclear na population kubwa ila combat wise haogopeki hata kidogo no wonder Ukraine tu inamtoa jasho sembuse NATO?
Mkuu, umejibu vema sana, binafsi sipingani sana na wewe. Urusi siyo taifa lenye nguvu kijeshi wala kiuchumi. Uchumi wa jimbo la California ni mkubwa kuliko ule wa Urusi, lakini kama ulivyosema, hata kijeshi Urusi inahenyeshwa na Ukraine.

Ninachokiuliza hapa ni kwanini madhara ya kiuchumi yanayolikuta taifa masikini duniani, lenye asilimia 4% ya uchumi wa dunia yanayakuta pia mataifa matajiri duniani yanayomiliki asilimia 30.7% ya uchumi wa dunia, ???

Kiufupi, The G7 controls the Finance Economy (Global Capital Markets, Interest Rates and Money Printing Business), something which Russia does not have. But why are sanctions destructive to the west in a similar proportion as to Russia, ???

Please enlighten me...


==============================================================

Ukisoma historia ya dunia, kuanzia kule Misri, Mesapotamia, Ugiriki, Rumi, Rashidun hadi kufika kwa Uhispania mnamo karne ya 17, utajiri wa nchi ulipimwa kwa umilikiwa wa mali zinazoonekana kama ardhi (Land) na vito vya thamani (Gold and Silver). Kiufupi, hadi matumizi ya pesa yanaanza nyuma yake kulikuwa na dhahabu (Gold Backed Economy). Hivyo nchi yenye mali nyingi ndiyo ilikuwa na uwezekano wa kuwa tajiri zaidi.

Kuanzia karne za 19, 20 na 21 baada ya biashara kukomaa na kuzaliwa taasisi za kifedha mambo yakabadilika. Wachumi wakaanza kuangalia masoko ya mitaji bila kuwepo hata rasilimali zinazoonekana. Hivyo taifa linaweza kuwa tajiri kwa kuuza huduma, kutengeneza riba za madeni au kumiliki taasisi za kifedha bila kuwa na rasilimali. Mfano, mzuri ni mifumo iliyotengenezwa na BRETTON WOODS I na BRETTON WOODS II.

Je, wachumi wa dunia hii wanakosea kuangalia upande mmoja wa uchumi wa masoko na mitaji, Finance Economy (Currency Printing/Imaginary Wealth)bila kuzingatia uzalishaji wa bidhaa na uzalishaji, Commodity Economy (Tangible Assets/Production Control) kama kigezo cha utajiri wa nchi, tofauti na ilivyokuwa karne chache zilizopita zamani, ???

Hebu tufikirie kwa pamoja kuhusu hili....


 
Kinachoibakiza urusi kusimamia ni appeasement policy, hii pia ilifanyika kwa Hitler kipindi anaijenga Ujerumani kuwa taifa kubwa miaka ya 1930s.

Appeasement policy ni Ile sera ambayo unamuacha adui Yako afanye Ghasia anazotaka kwa kuepuka kuanzisha naye vita kwa kuhofia akijibu mapigo basi anaweza leta madhara makubwa hata kama utamshinda vitani.

So Urusi anasurvive sababu kwanza anakiuka masharti ya vikwazo mfano Kuna nchi Bado zinachukua gesi na mafuta kwake licha ya zuio ila Sasa mtamfanyeje? Mtamshambulia kwa Kulikua vikwazo? Ndio tunarudi kule kule kwa appeasement policy?

Kingine Urusi ana population kubwa, so ukianzisha vita naye believe me hata kama watakufa million 50 Bado tu watazalisha wanajeshi Kila siku hivyo vita haitoisha na italeta madhara makubwa kwa west.

So uwezo wa kumtandika urusi wanao ila at what cost? Anaweza akapigwa sana ila trust me nusu ya ulaya inaweza kuchakazwa kwa nuclear weapons ambayo itahitaji miaka zaidi ya 7 kusafisha radiation kwenye mazingira.

So Urusi kinachomfanya asurvive ni uwepo wa nuclear na population kubwa ila combat wise haogopeki hata kidogo no wonder Ukraine tu inamtoa jasho sembuse NATO?
Cc Galip Vrl
 
Kinachoibakiza urusi kusimamia ni appeasement policy, hii pia ilifanyika kwa Hitler kipindi anaijenga Ujerumani kuwa taifa kubwa miaka ya 1930s.

Appeasement policy ni Ile sera ambayo unamuacha adui Yako afanye Ghasia anazotaka kwa kuepuka kuanzisha naye vita kwa kuhofia akijibu mapigo basi anaweza leta madhara makubwa hata kama utamshinda vitani.

So Urusi anasurvive sababu kwanza anakiuka masharti ya vikwazo mfano Kuna nchi Bado zinachukua gesi na mafuta kwake licha ya zuio ila Sasa mtamfanyeje? Mtamshambulia kwa Kulikua vikwazo? Ndio tunarudi kule kule kwa appeasement policy?

Kingine Urusi ana population kubwa, so ukianzisha vita naye believe me hata kama watakufa million 50 Bado tu watazalisha wanajeshi Kila siku hivyo vita haitoisha na italeta madhara makubwa kwa west.

So uwezo wa kumtandika urusi wanao ila at what cost? Anaweza akapigwa sana ila trust me nusu ya ulaya inaweza kuchakazwa kwa nuclear weapons ambayo itahitaji miaka zaidi ya 7 kusafisha radiation kwenye mazingira.

So Urusi kinachomfanya asurvive ni uwepo wa nuclear na population kubwa ila combat wise haogopeki hata kidogo no wonder Ukraine tu inamtoa jasho sembuse NATO?
Hapa umeongea blabla.
 
kama unaadithia watu vijiweni Russia alishinda vita kubwa na France bila uwepo wa nyuklia, alipigana na Germany bila uwepo wa nyuklia alafu apa atuzungumzii vita bali swala linausu uchumii
Russia alipigwa sana na Ufaransa ya Napoleon kilichomuokoa ni baridi na magonjwa in fact Napoleon alipoteza wanajeshi wengi Urusi kwa magonjwa sio combat.

Hitler pia alimtandika Russia sana tu akabakia 8 KM kutoka Moscow ndio baridi ikaingia ila Urusi ilipoteza askari wengi kuliko Ujerumani. Na ndio maana kwenye hoja yangu nimesema population factor inawasaidia warusi kuogopwa.

Yes hoja mmesema kiuchumi ndio nmejibu kwamba Wana survive sababu masharti ya vikwazo yamekiukwa. So kama NATO au US wangeamua ku enforce vikwazo kwa mabavu Wana uwezo wa kumtandika urusi ila wanahofia madhara ya vita kuwa kubwa.

So kinachomuokoa ndio hiyo HOFU ya escalation hivyo kupelekea Appeasement policy au tunaita non-aggression pact!! Kama Ile ya Molotov-Ribentrop pact waliosaini Germany na Russia Ili kumuacha Hitler atandike Ulaya bila Urusi kuingilia vurugu.
 
Kingine ufahamu tu Russia nao wanaakili siyo kama nchi zetu izi naaamini Russia japo hii vitaa wengi wameona kama kashindwa
Russia kashindwa vita kabisa, hivi kuiteka Kiev imemshinda ndio sembuse apambane na USA? Russia kapoteza wanajeshi wengi na vifaa vingi kuliko Ukraine Sasa kivipi mnadai hajashindwa vita?

Russia is weak kilichombakiza ni huruma tu ya US kuepusha Shari kuwa kúbwa ila wakiamua ku enforce vikwazo Moscow haiwezi survive masaa 24
 
Je, wachumi wa dunia hii wanakosea kuangalia upande mmoja wa uchumi wa masoko na mitaji, Finance Economy (Currency Printing/Imaginary Wealth)bila kuzingatia uzalishaji wa bidhaa na uzalishaji, Commodity Economy (Tangible Assets/Production Control) kama kigezo cha utajiri wa nchi, tofauti na ilivyokuwa karne chache zilizopita zamani, ???
HAWAJAKOSEA
1. Hakuna imaginary wealth, kumbuka Hela inapima thamani ya bidhaa zilizopo na sio kwamba pesa zenyewe Zina thamani zikisimama zenyewe. Mfano South Sudan pesa yake ilikua na thamani almost 30 times kuliko yetu ila kama hakuna uzalishaji thamani ikaporomoka kwa spidi ya juu. So hata hizo currency printing na stock markets ziko backed na actual value ya kampuni ambazo zinauza hisa.

2. Dunia imebadilika tunahama kutoka kuwa Labor intensive tumekua capital intensive so nchi zenye mitaji ndio tajiri kuliko zenye rasilimali watu au rasilimali ghafi. Mfano bandari inaweza kuwa operated na mtu mmoja akiwa nyuma ya computer so hapo you only need capital. Same to kuzalisha mafuta au gesi watu Sasa Wana renewable energy kama umeme wa upepo au joto ardhi tofauti na zamani kwamba kama hauna mabwawa au mafuta huwezi zalisha umeme n.k. so rasilimali haziwezi kuwa kipimo Cha uchumi imara however uwepo wa mitaji, ubunifu, teknolojia vinaweza chochea uchumi zaidi na kuongeza thamani hata kama nchi Haina rasilimali husika.

3. Tangible assets say Tanzania tuna dhahabu au mafuta. Ni muhimu tufahamu commodity markets are highly volatile, yaani price shocks kidogo tu uchumi unaporomoka kama wa Venezuela. So ukitegemea extractive industries ni hatari maana uchumi unapaa na kushuka based on soko la mazao duniani. However money stores value kuliko mazao maana hata ikishuka thamani Bado unaweza stabilize kwa macro economic policies kama Open Market operations, currency pegging, denomination, interest rates, Broad money reforms n.k

So hoja yangu hapa ni kwamba, uchumi wa makaratasi (hard currency, exchange rates, interest rates, bonds, stock markets) una reflect uhalisia wa uchumi kuliko kuwa na bidhaa tu za kushikika.

Cc Proved mtu chake RUSTEM PASHA
 
Ninachokiuliza hapa ni kwanini madhara ya kiuchumi yanayolikuta taifa masikini duniani, lenye asilimia 4% ya uchumi wa dunia yanayakuta pia mataifa matajiri duniani yanayomiliki asilimia 30.7% ya uchumi wa dunia, ???
Matatizo ya kiuchumi yameikumba Dunia tokea COVID 19 na recession zilizofuata. So obvious whether Ukraine na Russia zingepigana or not Bado matatizo ya uchumi yangekuwepo G7.

Kingine Russia ana survive madhara ya kiuchumi sababu amekiuka vikwazo mfano Bado anauzia mataifa mengine mafuta, gesi na chuma n.k. Kuna nchi kama China Bado inafanya trade ya wazi na Russia so hiko ndio kina sustain ila kama angesusiwa na mataifa yote sidhani angeweza sustain hata mwezi tu.

Lakini it's worth noting nchi za ulaya zimepunguza dependence na gesi ya Urusi so obviously Mapato yanaanza shuka taratibu so vita ikiendelea miaka 5 mingine watafikia break-point. Huwezi sustain uchumi wakati nchi Yako ni closed economy so Kuna limits atafika mind you vita ya Ukraine pia inammaliza pesa na watu na nguvu za kidiplomasia.

Only time will determine the fate of Russia
 
Russia kapoteza wanajeshi wengi na vifaa vingi kuliko Ukraine Sasa kivipi mnadai hajashindwa vita?

Russia is weak kilichombakiza ni huruma tu ya US kuepusha Shari kuwa kúbwa ila wakiamua ku enforce vikwazo Moscow haiwezi survive masaa 24
Mkuu data zipi zinaonyesha Russia kapoteza vifaa vingi na wanajeshi wengi kuliko Ukrein?.

Mkuu The Boy Wonder suali lake lamsingi ni je wakiinforce hivyo vikawazo bila huruma Kwa Moscow wao uchumi wao utabaki salama?.
cc Max II Jr kp kipanya44
 
HAWAJAKOSEA
1. Hakuna imaginary wealth, kumbuka Hela inapima thamani ya bidhaa zilizopo na sio kwamba pesa zenyewe Zina thamani zikisimama zenyewe. Mfano South Sudan pesa yake ilikua na thamani almost 30 times kuliko yetu ila kama hakuna uzalishaji thamani ikaporomoka kwa spidi ya juu. So hata hizo currency printing na stock markets ziko backed na actual value ya kampuni ambazo zinauza hisa.
Nakupata mkuu, lakini naomba niulize tu. Fiat Currency kama dola ya Marekani inapima thamani gani ya ya bidhaa zilizopo ilhali leo hii inaweza ikachapishwa na kushushwa thamani na benki kuu ya Marekani wanapotaka wao kutimiza malengo fulani ya kiuchumi au kisiasa (Currency Debasement), mfano kuhimili deni la taifa (Avoiding default) na kuchangia bejeti hafifu (To cover deficit), ???

Hivi ndugu yangu, nchi yenye Budget Deficit na Large Debt surpasing the 70% GDP threshold, fedha zake na masoko ya mitaji yanaweza kweli kuakisi uhalisia wa uchumi wa nchi hiyo, ???
2. Dunia imebadilika tunahama kutoka kuwa Labor intensive tumekua capital intensive so nchi zenye mitaji ndio tajiri kuliko zenye rasilimali watu au rasilimali ghafi. Mfano bandari inaweza kuwa operated na mtu mmoja akiwa nyuma ya computer so hapo you only need capital. Same to kuzalisha mafuta au gesi watu Sasa Wana renewable energy kama umeme wa upepo au joto ardhi tofauti na zamani kwamba kama hauna mabwawa au mafuta huwezi zalisha umeme n.k. so rasilimali haziwezi kuwa kipimo Cha uchumi imara however uwepo wa mitaji, ubunifu, teknolojia vinaweza chochea uchumi zaidi na kuongeza thamani hata kama nchi Haina rasilimali husika.
Mitaji, Ubunifu na Teknolojia haviwezi kulifanya taifa likawa tajiri bila kuwa na bidhaa muhimu kama dhahabu, nishati na chakula. Hizi ndizo bidhaa muhimu zinazoufanya uchumi wa nchi uhimili mfumuko wa bei usio na mpangilio. Masoko ya huduma, mitaji na bidhaa nyingine ni muhimu, lakini hayawezi kuzudi umuhimu wa nishati, chakula na dhahabu kwenye uchumi wa nchi.

Kiufupi, hata Marekani na Uingereza waliweza kuwa mataifa tajiri zaidi duniani kwasababu yalikuwa yanamiliki rasilimali nyingi zaidi duniani kama nishati, chakula na dhahabu kuliko mataifa mengine. Uingereza baada ya kupoteza makoloni yake mitaji, teknolojia na ubunifu, wake haujamsaidia sana kwasababu hana rasilimali muhimu kama ilivyokuwa hapo mwanzo. Huu ndiyo ukweli mchungu ambao wengi hampendi kuusikia.
3. Tangible assets say Tanzania tuna dhahabu au mafuta. Ni muhimu tufahamu commodity markets are highly volatile, yaani price shocks kidogo tu uchumi unaporomoka kama wa Venezuela. So ukitegemea extractive industries ni hatari maana uchumi unapaa na kushuka based on soko la mazao duniani. However money stores value kuliko mazao maana hata ikishuka thamani Bado unaweza stabilize kwa macro economic policies kama Open Market operations, currency pegging, denomination, interest rates, Broad money reforms n.k
Supply Chain Shock ni tatizo zaidi kwa nchi ambazo zinategemea uchumi wa masoko ya mitaji peke yake bila kuwa na rasilimali (Tangible Assets) kama dhahabu, chakula na nishati. Mwaka jana mchumi Prof Joseph Stiglitz alisema kauli ambayo ilikera wengi nchini Marekani. Kwamba kupandisha riba juu au kutumia mbinu mbalimbali za kiuchumi bila kuingiza bidhaa muhimu hakuwezi saidia uchumi wa nchi kama inavyotarajiwa.

Lakini unasahau kwamba, riba zikipandishwa juu, thamani za hati-fungani (Bonds) huwa zinashuka jambo ambalo hupelekea taasisi mbalimbali za kifedha kushindwa kutoa huduma ipasavyo. Mfano halisi, wachumi wa Marekani walikuja na mbinu ha kupunguza riba hadi kufika 0.5%, hivyo kufanya watu wakope sana kwasababu mikopo ni bei nafuu.

Watu wakichukua mikopo kwa gharama ndogo hawaendi kujenge nyumba, ila wanazichukua na kwenda kuwekeza kwenye masoko ya mitaji tena. Hivyo mara nyingi hawa watu wanatajirika kupitia masoko ya mitaji tu, bila kuwa na vitu (Tangible Assets). Aidha sasa, unapotokea mkwamo fulani kwenye uchumi na kupelekea mfumuko wa bei kuwa mkubwa, benki kuu inapopandisha riba juu basi fahamu kabisa kuna watu wanaumia.

Marekani imepandisha riba hadi kufika 6%, jambo ambalo siyo la kawaida. Madhara ya hizi sera za kiuchumi zimeyakuta mabenki ambayo yamewekeza sana kwenye soko la hati-fungani. Riba zikiwa juu, thamani ya hati fungani hushuka chini hivyo mabenki hayawezi kupata fedha za kuweza kuwapa wateja wake. Mwishowe yanaanguka.

Mkuu, kubwa zaidi ni kwamba riba zikipanda juu, akiba za watu (Savings) hushuka thamani na kufanya maisha ya watu kuwa magumu. Majanga yote haya yanaweza kusababishwa na jambo dogo tu kama SPECULATION OF PRICES hasahasa kwenye masoko ya teknolojia (Start-Ups) au ardhi (Real-Estate).

Ndiyo maana wachumi wengi hushauri kwamba watu wawekeze zaidi kwenye vito vya thamani (Gold Bars, Bullions and Coins) kuliko kuweka hela kule benki ambako mtu mmoja anaweza kuamua tu kuvuruga uchumi, hela zikashuka thamani ukaishia kuwa masikini. Hili lipo hata kwenye mataifa makubwa.

Umesema Money Stores Value kuliko rasilimali kama chakula. lla ukweli wa hii kauli kwenye vitendo ni upi ? Kwamba, fedha inaweza kukaa na thamani kupita rasilimali kama dhahabu, hebu tuelezane mwamba.

Mwisho kabisa, nimesoma kidogo kuhusu historia ya mitikisiko mikubwa ya uchumi duniani. Nikiri na kusema kwamba Open Markets Operations, Currency Pegging, Broad Money Reforms na Interest Rates siyo njia pekee na sahihi za kudhibiti uchumi. Kuna njia zimetumiwa na mataifa kudhibiti uchumi moja kwa moja kwa kushughulika na bidhaa na matokeo yalikuwa ni chanya. Hii ilitumika Marekani mwaka 1971 (The Nixon Shock) na mfumuko wa bei uliisha ndani ya mwezi mmoja tu.

Mbinu hii wachumi wengi duniani haswa wale waliberali wanaichukia, lakini wachumi wakihafidhina kama Prof Richard Wolff wanasema ndiyo sahihi zaidi kuliko kutumia Fiscal & Monetary Policies ambazo tumezoea kuzitumia.
So hoja yangu hapa ni kwamba, uchumi wa makaratasi (hard currency, exchange rates, interest rates, bonds, stock markets) una reflect uhalisia wa uchumi kuliko kuwa na bidhaa tu za kushikika.
Wewe kama mchumi ulitakiwa utoe takwimu kuthibitisha hii kauli. Unachokisema mimi sikubaliani nacho kwasababu za kiuchumi kabisa. Hebu nikupe mfano halisi tu. Marekani anatumia FIAT CURRENCY (Currency not pegged to the price of Gold).

Tukisema mbinu kama Currency Pegging inafanya kazi nadhani tutakuwa waongo kabisa. BENKI KUU YA MAREKANI inasema kwamba serikali ya Marekani inamiliki dhahabu nyingi zaidi duniani kule Fort-Knox kiasi cha tani 1833, kiasi ambacho hata uunanishe dhahabu ya Ujerumani, Urusi na Ufarasa hawawezi kukifikia.

Kasheshe la kiuchumi linakuja hapa: Mpaka kufika mwezi February 2023, takwimu zinasema MONEY-BASE (Phyasical Money in Circulation) ya Marekani ni Dola Trilioni 5.3 ilhali dhahabu ambayo inategemewa ishikilie dola ya Kimarekani thamani yake ni milioni 261 OZ (Troy Ounce).


Sasa tukifanya mahesabu rahisi ya Currency Pegging (5.3 Trillion / 261 Million Troy Ounce = $ 20,306 Per Ounce). Hapo inamaanisha kwamba OZ moja inanunuliwa kwa dola za kimarekani 20,306. Zamani Ounce moja ya dhahabu iliuzwa dola za kimarekani 2000 tu.

Hapa inamaanisha kwamba kama ulikuwa na fedha za kimarekani dola 400,000 ili kununua nyumba yenye hiyo thamani halafu ukafanya Currency Pegging inakula kwako. Kumbuka dola 400,000 ni sawa na Ounce 200 za dhahabu. Ukifanya Currency Pegging through Gold, kwa kanuni ya hapo juu basi utakuta dhahabu imepanda bei huku dola ikishuka thamani.

Hizo Ounce 200 za dhahabu zitapanda bei na kutoka dola 400,000 hadi dola 4,000,000 za kimarekani. Kumbuka katika yake mahesabu dola itanunua dhahabu kwa gharama ya $ 20,306 kwa Ounce. Sasa Money Base (MO) ni trillioni 5.3, hilo la kusema kwamba utajiri wa makaratasi unaakisi uhalisia wa uchumi linatoka wapi ndugu yangu, ???

Hela zimekuwa nyingi kwenye mzunguko kwasababu Marekani anachapisha fedha hovyo ili kuhimili deni lake kubwa ambalo haliwezi kulipika, lakini pia kwasababu Marekani ana BUDGET-DEFICIT. Hivyo anatumia nguvu za fedha yake kuzifanya nchi za dunia nzima ziupe ruzuku uchumi wa Marekani (The Entire world is subsidizing American Economy through the dollar and capital markets)

Huoni hapa kuna tatizo, kama nakosea hebu nipe mahesabu sahihi! Nasubiri mkuu...


 
Matatizo ya kiuchumi yameikumba Dunia tokea COVID 19 na recession zilizofuata. So obvious whether Ukraine na Russia zingepigana or not Bado matatizo ya uchumi yangekuwepo G7.
Hapa umenijibu kitaalamu sana hadi nimefurahi. Hili swali ndugu yetu bwana Armata alilikwepa kujibu. Jambo moja tu nauliza: Je, matatizo ya kiuchumi ambayo yanawakumbuka G7 leo ni sawa na yale ambaye yaliwakumba kipindi cha UVIKO, ??

AU niulize hivi: Je, bila vita vya ukraine na vikwazo vya kuichumi vinavyoendelea duniani, unadhani kungekuwa na changamoto kama za mfumuko wa bei, mdororo wa kiuchumi, kupungua kwa manunuzi ya dola na kuanguka kwa mabenki makubwa duniani, ???

Kingine Russia ana survive madhara ya kiuchumi sababu amekiuka vikwazo mfano Bado anauzia mataifa mengine mafuta, gesi na chuma n.k. Kuna nchi kama China Bado inafanya trade ya wazi na Russia so hiko ndio kina sustain ila kama angesusiwa na mataifa yote sidhani angeweza sustain hata mwezi tu.
Hapa ndipo swali langu lilipo bwana Zitto. Hivi huoni kwamba uchumi wa bidhaa (Commodity Economy) una sehemu muhimu mno ndani ya uchumi wa nchi na dunia kiujumla tofauti na tulivyofundishwa vyuoni kwamba uchumi wa mitaji (Finance Economy) ndiyo muhimu zaidi, bila hata ya nchi kuwa na rasilimali, ???

Binafsi, nadhanipia unakosea unaposema Uchina ndiyo anayeubeba uchumi wa Urusi, ilhali wanunuzi wakubwa wa rasilimali za Urusi ni ULAYA na MAREKANI pia. Lakini kubwa zaidi makampuni mengi ya Marekani na Ulaya bado yamewekeza sana nchini Urusi na yanachangia mapato mengi ya kodi kwenye uchumi wa Urusi.

Mwisho kabisa, Uchina kama Ulaya na Marekani, hafanya biashara na Urusi kwasababu za kisiasa (Convinience) bali kwasababu za kiuchumi (Necessity). Ni lazima washirikiane naye ili mambo yaende, hata kama hawataki kufanya hivyo. Uchumi haina maadili kama wanavyohuburi, (Economy has no morality, it's just arithmetic).

Lakini it's worth noting nchi za ulaya zimepunguza dependence na gesi ya Urusi so obviously Mapato yanaanza shuka taratibu so vita ikiendelea miaka 5 mingine watafikia break-point. Huwezi sustain uchumi wakati nchi Yako ni closed economy so Kuna limits atafika mind you vita ya Ukraine pia inammaliza pesa na watu na nguvu za kidiplomasia.
Utabiri wa International Energy Agency (IEA) unasema kwamba kufika mwaka 2030 Uchina na India ndiyo mataifa yatakayokuwa yanaongoza kwa matumizi ya nishati ya mafuta na gesi hapa duniani ili kuendesha chumi zao. Bahati mbaya sana Uchina na India wana udhaifu uleule wa Ulaya, ENERGY SECURITY. Wanategemea nishati kutoka Ghuba ya Uajemi (The Persian Gulf) na Urusi.

Economically, Oil and Gas have the multiplier effect. Prof Daniel Yergin says, oil has many uses other than powering machines and automobiles. A large chunk of hydro-carbons is spent on petro-chemicals that produce essential commodities like plastic, fertilizer and pharmaceuticals. Huwezi kukwepa kutegemea mafuta na gesi, ilhali idadi ya watu duniani inaongezeka.

Kwamba ndani ya miaka mitano, yaani 2028 Ulaya watakuwa wamepata mbadala wa nishati ya Urusi ??? Hebu tusubiri tuone. Angela Merkel alipohojiwa alisema utegemezi wa nishati ya Urusi ni maamuzi sahihi ya kiuchumi kwasababu kufuata nishati sehemu nyingine ilikuwa ni gharama kubwa mno. Narudia kutoa takwimu: Uchumi wa viwanda wa Ujerumani, wenye thamani ya dola za kimarekani Trilioni 1 na zaidi, unaendeshwa kupitia gesi ya rahisi ya Urusi yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 60 tu.

Only time will determine the fate of Russia
Umenena vyema, muda ni hakimu na mwalimu mzuri sana. Tuendelee kuomba uzima ili tuje kushuhudia na kujifunza katika hili.
 
Mimi sio mchumi na mambo ya uchumi kwangu yamenishinda, lakini napenda kujua kiasi kuhusu masuala ya uchumi kutokana na mijadala kama hii. Umuhimu wa GOLD kwenye uchumi wa dunia ni upi hasa? Thamani yake halisi huwa inakuwa reflected wakati gani kama ambavyo tunaongelea zama za chumvi,n.k?

Binafsi naamini dunia inaweza kusurvive bila uwepo wa dhahabu lakini kwa nini imepewa umuhimu mkubwa hivyo hadi inashikilia thamani ya chumi za mataifa duniani?
 
Back
Top Bottom