Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.
Naomba nianze na declaration ya uzalendo, mimi ni mdau mkubwa wa Shirika letu la Ndege, ATCL, hivyo ukiozungumzia tatizo lolote la ATCL, unaweza kuonekana sio Mzalendo.
Sasa wakati we are talking off now, naomba nikuache na huu uthibitisho wa uzalendo wangu kwa ATCL
Paskali
Update
Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel.
Nikaamua kumjoin, kitu cha kwanza ni usafiri hivyo nikatembelea bookings za ATCL na Precision Air ku book a return ticket.
Nikakuta Precision Air wana offer fulani, nika book my return ticket with Precision Air, flight ya saa 9:00, kufika saa 10:00, shughuli ni saa 12:00 jioni. Reporting time ni saa 7.
Kwa vile ni Jumamosi, sio siku ya kazi, nikajua hakuna foleni, hivyo nikaamsha saa 6:00. Huwezi amini nikakutana na foleni ya ajabu njiani. Reporting time ikanikutia njiani.
Kufika Airport ni saa 8:30, check in window inafungwa 40 min before take off!, bembeleza, bembeleza na wewe!, no way!.
Wakaniambia their next flight ni saa 19:30hrs usiku kufika saa 21:hrs, nitakuta shughuli imekwisha. Hivyo nikaamua kucheki ATCL, nikakuta, wana flight saa 18:00,hrs kufika 19:00hrs. Hivyo nikaamua ku board ATCL kwenda lakini nitarudi na ile booking yangu ya Precision Air.
Kweli saa 18:00hrs tukaruka na ATCL, ndege ya Bombardier Q400, ndege ilikuwa half full or half empty!. Bei zao ni nzuri, na sasa wanatoa bites na drinks. Kitendo cha our national flag carrier, kidenge chenyewe ni Bombardier to fly half empty, kwa route ya JRO kwa watu wenye pesa!, ile midege ya Airbus na Dreamliner itajaa kweli au zinaozea kwenye parking?. What is wrong hadi ndege zetu hazijai?!.
Sasa leo narudi na Precision Air, ndege yake ya ATR from JRO to Dar, it's full!. Flight time ya ATCL na Precision is almost the same, kwanini ndege yetu ya umma iruke half empty, halafu a private flight, Precision Air, ijae!. What is the Magic behind?. Hili la kurusha ndege mbili za mashirika mawili shindani on the same direction at the same times, sio kuleta hasara kwa both of them?. Kitakacho kuja kutokea in a near future, ni ATCL itabebwa, ita survive, Precision Air will just die a natural death na leaves behind ATCL kutawala a domestic market, na with no competition, hapa sasa ndipo mapembe yatachomoza na kitakacho fuata ni kilio na kusaga meno kwa Wasafiri wa Ndege wa Tanzania on domestic routes.
Ili mashirika yote mawili yajiendeshe kwa faida, kuwepo a standardized fares, kama ATC is half empty, abiria hao wakajaze Precision na abiria wa Precision Air wafaulishwe kwenye ATCL, hivyo kurusha ndege moja full na kugawana mapato kuliko ndege mbili half empty wote wawili mnakula hasara!.
Paskali
Rejea
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.
Naomba nianze na declaration ya uzalendo, mimi ni mdau mkubwa wa Shirika letu la Ndege, ATCL, hivyo ukiozungumzia tatizo lolote la ATCL, unaweza kuonekana sio Mzalendo.
Sasa wakati we are talking off now, naomba nikuache na huu uthibitisho wa uzalendo wangu kwa ATCL
Paskali
Update
Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel.
Nikaamua kumjoin, kitu cha kwanza ni usafiri hivyo nikatembelea bookings za ATCL na Precision Air ku book a return ticket.
Nikakuta Precision Air wana offer fulani, nika book my return ticket with Precision Air, flight ya saa 9:00, kufika saa 10:00, shughuli ni saa 12:00 jioni. Reporting time ni saa 7.
Kwa vile ni Jumamosi, sio siku ya kazi, nikajua hakuna foleni, hivyo nikaamsha saa 6:00. Huwezi amini nikakutana na foleni ya ajabu njiani. Reporting time ikanikutia njiani.
Kufika Airport ni saa 8:30, check in window inafungwa 40 min before take off!, bembeleza, bembeleza na wewe!, no way!.
Wakaniambia their next flight ni saa 19:30hrs usiku kufika saa 21:hrs, nitakuta shughuli imekwisha. Hivyo nikaamua kucheki ATCL, nikakuta, wana flight saa 18:00,hrs kufika 19:00hrs. Hivyo nikaamua ku board ATCL kwenda lakini nitarudi na ile booking yangu ya Precision Air.
Kweli saa 18:00hrs tukaruka na ATCL, ndege ya Bombardier Q400, ndege ilikuwa half full or half empty!. Bei zao ni nzuri, na sasa wanatoa bites na drinks. Kitendo cha our national flag carrier, kidenge chenyewe ni Bombardier to fly half empty, kwa route ya JRO kwa watu wenye pesa!, ile midege ya Airbus na Dreamliner itajaa kweli au zinaozea kwenye parking?. What is wrong hadi ndege zetu hazijai?!.
Sasa leo narudi na Precision Air, ndege yake ya ATR from JRO to Dar, it's full!. Flight time ya ATCL na Precision is almost the same, kwanini ndege yetu ya umma iruke half empty, halafu a private flight, Precision Air, ijae!. What is the Magic behind?. Hili la kurusha ndege mbili za mashirika mawili shindani on the same direction at the same times, sio kuleta hasara kwa both of them?. Kitakacho kuja kutokea in a near future, ni ATCL itabebwa, ita survive, Precision Air will just die a natural death na leaves behind ATCL kutawala a domestic market, na with no competition, hapa sasa ndipo mapembe yatachomoza na kitakacho fuata ni kilio na kusaga meno kwa Wasafiri wa Ndege wa Tanzania on domestic routes.
Ili mashirika yote mawili yajiendeshe kwa faida, kuwepo a standardized fares, kama ATC is half empty, abiria hao wakajaze Precision na abiria wa Precision Air wafaulishwe kwenye ATCL, hivyo kurusha ndege moja full na kugawana mapato kuliko ndege mbili half empty wote wawili mnakula hasara!.
Paskali
Rejea
Uchumi wa Magufuli: Precision Air Yapumulia Machine. Yapunguza Wafanyakazi 136!
Wanabodi, Makali ya Uchumi wa Magufuli, yanazidi kukaza, leo shirika la ndege la Precision Air, limepunguza wafanyakazi 136 wakiwemo cabin crew 10!. Najua wengi humu mtasema hali hii imechangiwa na kufufuka kwa ATCL na ushindani toka Fastjet, lakini this is not the case, nimepanda zote, ATCL...
ATCL kufufuka kisasa zaidi, kwa nguvu zaidi -- na kutawala tena soko!
Wanabodi, Lile Shirika letu la Ndege, ATCL, lililokuwa mkao wa kifo, baada ya kuwa hoi bin taaban huku jeneza la kuizika rasmi likiwa limeishaandaliwa, hatimaye sasa litafufuka, kwa kuibuka kisasa zaidi, kwa nguvu zaidi na kurejea katika utawala wa soko la biashara ya ndege nchini (regain the...
Usafiri wa Anga: Jee Tunaibiwa Au...?!.
Wanabodi, Kuna hili nimelishuhudia kwenye usafiri wetu wa anga wa kimataifa, ndio maana nauliza ni tunaibiwa, au tunasaidiwa kwa sababu wenyewe hatuwezi?. Kwenye usafiri huu wa kimataifa, kila nchi inapewa haki ya international routes na protection ya local routes ili kulinda mashirika ya nchi...
Je, ATCL inahujumiwa kibiashara? Tutumie a political will kuinusuru au tuiache iangamizwe na ushindani?
Wanabodi, Declaration of Interest Kuhusu Uzalendo. Naomba ku declare interest yangu kuhusu uzalendo wangu kwa nchi yangu, kwa sababu, ukiibua hoja yoyote humu, kuhusu utendaji usioridhisha wa mashirika yetu ya umma ya kizalendo, utanyooshewa vidole kwa kutuhumiwa wewe sio mzalendo. Ile siku...
ATC Sasa Yaanza Kuleta Heshima ya Nchi, Yapunguza Tanzania Kufanywa Shamba la Bibi, FastJet Yapumulia Mashine, Soon Itafungasha Virago!.
Wanabodi, Japo mimi ni miongoni mwa wale tuliopinga ununuzi wa ndege kwa cash money, na serikali yetu kufanya matumizi makubwa kama haya ya manunuzi makubwa kwa kutumia fedha za umma bila idhini ya Bunge, kwa sababu fedha za umma zinaongozwa na sheria, taratibu na kanuni, mtu hata ukiwa nani...
Ndege ya ATCL yachelewa kuondoka ndani ya muda; watoa ufafanuzi!
Wanabodi, Leo nikiwa abiria wa ndege yetu kwenda Bukoba, ndege imecheleweshwa for 45 good minutes kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa ATCL, ikiwemo baadhi ya abiria, ambao walifika on time, akiwemo waziri mmoja, lakini wakajikuta wakicheleweshwa kucheck in, kulikopelekea ndege kuchelewa kidogo...