Swali la Uzalendo: What is The Magic of The Same Route? Precision Air Full Flight, ATCL Half Empty

Swali la Uzalendo: What is The Magic of The Same Route? Precision Air Full Flight, ATCL Half Empty

The most important thing is leveraging the best from private sector without compromising the private sector.
 
Lengo la ndege sidhani kama ni kujaza tu abiria chukulia ATCL mepakia abiria 50 kwa laki nne nauli hapo ni milioni 20

PRESSISION AIR akapakia kwa nauli ya elfu sitini abiria 100 atapata milioni sita nani zaidi hapo?

ATCL kamzidi kwa milioni 14 nzima
Ila Umeongea ushubwada[emoji23][emoji23]..
 
Wanabodi,

Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.

Naomba nianze na declaration ya uzalendo, mimi ni mdau mkubwa wa Shirika letu la Ndege, ATCL, hivyo ukiozungumzia tatizo lolote la ATCL, unaweza kuonekana sio Mzalendo.

Sasa wakati we are talking off now, naomba nikuache na huu uthibitisho wa uzalendo wangu kwa ATCL



Paskali
Update
Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel.

Nikaamua kumjoin, kitu cha kwanza ni usafiri hivyo nikatembelea bookings za ATCL na Precision Air ku book a return ticket.

Nikakuta Precision Air wana offer fulani, nika book my return ticket with Precision Air, flight ya saa 9:00, kufika saa 10:00, shughuli ni saa 12:00 jioni. Reporting time ni saa 7.

Kwa vile ni Jumamosi, sio siku ya kazi, nikajua hakuna foleni, hivyo nikaamsha saa 6:00. Huwezi amini nikakutana na foleni ya ajabu njiani. Reporting time ikanikutia njiani.

Kufika Airport ni saa 8:30, check in window inafungwa 40 min before take off!, bembeleza, bembeleza na wewe!, no way!.

Wakaniambia their next flight ni saa 19:30hrs usiku kufika saa 21:hrs, nitakuta shughuli imekwisha. Hivyo nikaamua kucheki ATCL, nikakuta, wana flight saa 18:00,hrs kufika 19:00hrs. Hivyo nikaamua ku board ATCL kwenda lakini nitarudi na ile booking yangu ya Precision Air.

Kweli saa 18:00hrs tukaruka na ATCL, ndege ya Bombardier Q400, ndege ilikuwa half full or half empty!. Bei zao ni nzuri, na sasa wanatoa bites na drinks. Kitendo cha our national flag carrier, kidenge chenyewe ni Bombardier to fly half empty, kwa route ya JRO kwa watu wenye pesa!, ile midege ya Airbus na Dreamliner itajaa kweli au zinaozea kwenye parking?. What is wrong hadi ndege zetu hazijai?!.

Sasa leo narudi na Precision Air, ndege yake ya ATR from JRO to Dar, it's full!. Flight time ya ATCL na Precision is almost the same, kwanini ndege yetu ya umma iruke half empty, halafu a private flight, Precision Air, ijae!. What is the Magic behind?. Hili la kurusha ndege mbili za mashirika mawili shindani on the same direction at the same times, sio kuleta hasara kwa both of them?. Kitakacho kuja kutokea in a near future, ni ATCL itabebwa, ita survive, Precision Air will just die a natural death na leaves behind ATCL kutawala a domestic market, na with no competition, hapa sasa ndipo mapembe yatachomoza na kitakacho fuata ni kilio na kusaga meno kwa Wasafiri wa Ndege wa Tanzania on domestic routes.
Ili mashirika yote mawili yajiendeshe kwa faida, kuwepo a standardized fares, kama ATC is half empty, abiria hao wakajaze Precision na abiria wa Precision Air wafaulishwe kwenye ATCL, hivyo kurusha ndege moja full na kugawana mapato kuliko nsidege mbili half empty wote wawili mnakula hasara!.
Paskali

Rejea





f

Mimi Kama abiria napenda huduma ya Precision Air,kwa sababu linapozungumzwa neno MUDA"wanaelewa maana yake lakini, ATCL bado hawaelewi maana ya neno MUDA,Hata kama kuna breakdown PRECISION AIR wanatoa notification na apology on time,,ATCL Mambo yanaenda kibabe nauli iliyoandikwa sio hiyo utakayo ilipa Halafu kuna postipone za kushtukiza utaambiwa safari imehamishiwa kesho ☹️☹️🙁🙁wakati mambo yako inabidi uyamalize leo.

Mambo yangu mengi yameharibika kwa ajili ya ATCL na uzalendo nikaweka chini na kugeukia upande wa pili kwenye huduma ya uhakika, Inshort mkakati wa kibiashara haupo wanaliendesha shirika kisiasa na kwa sifa,.ukiangalia utendaji wake na jinsi linavyo sifiwa ni vitu viwili tofauti.
 
Wanabodi,

Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.

Naomba nianze na declaration ya uzalendo, mimi ni mdau mkubwa wa Shirika letu la Ndege, ATCL, hivyo ukiozungumzia tatizo lolote la ATCL, unaweza kuonekana sio Mzalendo.

Sasa wakati we are talking off now, naomba nikuache na huu uthibitisho wa uzalendo wangu kwa ATCL



Paskali
Update
Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel.

Nikaamua kumjoin, kitu cha kwanza ni usafiri hivyo nikatembelea bookings za ATCL na Precision Air ku book a return ticket.

Nikakuta Precision Air wana offer fulani, nika book my return ticket with Precision Air, flight ya saa 9:00, kufika saa 10:00, shughuli ni saa 12:00 jioni. Reporting time ni saa 7.

Kwa vile ni Jumamosi, sio siku ya kazi, nikajua hakuna foleni, hivyo nikaamsha saa 6:00. Huwezi amini nikakutana na foleni ya ajabu njiani. Reporting time ikanikutia njiani.

Kufika Airport ni saa 8:30, check in window inafungwa 40 min before take off!, bembeleza, bembeleza na wewe!, no way!.

Wakaniambia their next flight ni saa 19:30hrs usiku kufika saa 21:hrs, nitakuta shughuli imekwisha. Hivyo nikaamua kucheki ATCL, nikakuta, wana flight saa 18:00,hrs kufika 19:00hrs. Hivyo nikaamua ku board ATCL kwenda lakini nitarudi na ile booking yangu ya Precision Air.

Kweli saa 18:00hrs tukaruka na ATCL, ndege ya Bombardier Q400, ndege ilikuwa half full or half empty!. Bei zao ni nzuri, na sasa wanatoa bites na drinks. Kitendo cha our national flag carrier, kidenge chenyewe ni Bombardier to fly half empty, kwa route ya JRO kwa watu wenye pesa!, ile midege ya Airbus na Dreamliner itajaa kweli au zinaozea kwenye parking?. What is wrong hadi ndege zetu hazijai?!.

Sasa leo narudi na Precision Air, ndege yake ya ATR from JRO to Dar, it's full!. Flight time ya ATCL na Precision is almost the same, kwanini ndege yetu ya umma iruke half empty, halafu a private flight, Precision Air, ijae!. What is the Magic behind?. Hili la kurusha ndege mbili za mashirika mawili shindani on the same direction at the same times, sio kuleta hasara kwa both of them?. Kitakacho kuja kutokea in a near future, ni ATCL itabebwa, ita survive, Precision Air will just die a natural death na leaves behind ATCL kutawala a domestic market, na with no competition, hapa sasa ndipo mapembe yatachomoza na kitakacho fuata ni kilio na kusaga meno kwa Wasafiri wa Ndege wa Tanzania on domestic routes.
Ili mashirika yote mawili yajiendeshe kwa faida, kuwepo a standardized fares, kama ATC is half empty, abiria hao wakajaze Precision na abiria wa Precision Air wafaulishwe kwenye ATCL, hivyo kurusha ndege moja full na kugawana mapato kuliko ndege mbili half empty wote wawili mnakula hasara!.
Paskali

Rejea






Paskal you need to think twice unaposema ATCL itabebwa na serikali, mara kwa mara mashirika ya ndege huwa mzigo mkubwa sana kwa serikali. Yale mashirika makubwa kama vile EMIRATES, Turkish airlines huwa yanapata msaada toka serikalini, Unafikiri serikali ya TZ itaibeba ATCL siku zote, Angalia South african airways inavyobebwa na serikali yao. Itafika kipindi ATCL nayo itakuwa mzigo mkubwa sana wa serikali hata kuubeba itashindwa matokeo yake ni kuubwaga chini
 
Wanabodi,

Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.

Naomba nianze na declaration ya uzalendo, mimi ni mdau mkubwa wa Shirika letu la Ndege, ATCL, hivyo ukiozungumzia tatizo lolote la ATCL, unaweza kuonekana sio Mzalendo.

Sasa wakati we are talking off now, naomba nikuache na huu uthibitisho wa uzalendo wangu kwa ATCL



Paskali
Update
Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel.

Nikaamua kumjoin, kitu cha kwanza ni usafiri hivyo nikatembelea bookings za ATCL na Precision Air ku book a return ticket.

Nikakuta Precision Air wana offer fulani, nika book my return ticket with Precision Air, flight ya saa 9:00, kufika saa 10:00, shughuli ni saa 12:00 jioni. Reporting time ni saa 7.

Kwa vile ni Jumamosi, sio siku ya kazi, nikajua hakuna foleni, hivyo nikaamsha saa 6:00. Huwezi amini nikakutana na foleni ya ajabu njiani. Reporting time ikanikutia njiani.

Kufika Airport ni saa 8:30, check in window inafungwa 40 min before take off!, bembeleza, bembeleza na wewe!, no way!.

Wakaniambia their next flight ni saa 19:30hrs usiku kufika saa 21:hrs, nitakuta shughuli imekwisha. Hivyo nikaamua kucheki ATCL, nikakuta, wana flight saa 18:00,hrs kufika 19:00hrs. Hivyo nikaamua ku board ATCL kwenda lakini nitarudi na ile booking yangu ya Precision Air.

Kweli saa 18:00hrs tukaruka na ATCL, ndege ya Bombardier Q400, ndege ilikuwa half full or half empty!. Bei zao ni nzuri, na sasa wanatoa bites na drinks. Kitendo cha our national flag carrier, kidenge chenyewe ni Bombardier to fly half empty, kwa route ya JRO kwa watu wenye pesa!, ile midege ya Airbus na Dreamliner itajaa kweli au zinaozea kwenye parking?. What is wrong hadi ndege zetu hazijai?!.

Sasa leo narudi na Precision Air, ndege yake ya ATR from JRO to Dar, it's full!. Flight time ya ATCL na Precision is almost the same, kwanini ndege yetu ya umma iruke half empty, halafu a private flight, Precision Air, ijae!. What is the Magic behind?. Hili la kurusha ndege mbili za mashirika mawili shindani on the same direction at the same times, sio kuleta hasara kwa both of them?. Kitakacho kuja kutokea in a near future, ni ATCL itabebwa, ita survive, Precision Air will just die a natural death na leaves behind ATCL kutawala a domestic market, na with no competition, hapa sasa ndipo mapembe yatachomoza na kitakacho fuata ni kilio na kusaga meno kwa Wasafiri wa Ndege wa Tanzania on domestic routes.
Ili mashirika yote mawili yajiendeshe kwa faida, kuwepo a standardized fares, kama ATC is half empty, abiria hao wakajaze Precision na abiria wa Precision Air wafaulishwe kwenye ATCL, hivyo kurusha ndege moja full na kugawana mapato kuliko ndege mbili half empty wote wawili mnakula hasara!.
Paskali

Rejea






Mayala Pascal, Bila aibu naomba Precision ife! Nasema ife! Wakati ATCL haiko hewani, Precision walitumia vibaya sana monopoly ya kibiashara. Waliopandisha bei utadhani tunakwenda nje ya nchi. Walijiona wako safi sana wakati wana ndege kukuu sana. Kama ulikuwa mwangalifu kama mimi, ulikalia kiti chenye cushion cover ya plastic! Repaired several times! Kwangu mimi hata bila mashindano ya bei na bhla! bhla! za kunivutia kwa siku moja, Precision ni uamuzi wangu wa mwisho, ninapokosa ATCL. Siwezi kuacha ndege mpya nipande ndege iliyonunuliwa kwa mtu wa pili na wa tatu.

Route kubwa ya ndege kwa TZ ni Dar - MZ. Kilimanjaro -DAR ni ndogo na ndiko Precision walikoengemea. Ukitaka sababu ya Precision kuegemea huko tutajadili lakini Mwanza wanavizia masaa fulani tu! Let them die.
 
Watakujibu, Ila ninachokijua kila kampuni ina market strategy yake. Precision kwa sisi ambao hatufanyi serikalini huwa wanatuletea through travel agency package za kuridhisha including rewarding program ambako ATCL sijaona labda wanapeleka kwa mashirika yao ya umma. Kingine ni hiyo unaweza ukakuta ndege inapeleka viongozi wa serikali nyie mnawekwa Pembeni.

Mi kuna siku naenda Dodoma niko viti vya mbele kutokana na ticket yangu wakati wa ku board tukabadilishiwa siti zetu na kuwekwa nyuma bila apologies yaani I was so disappointed mpaka one of my colleague akampigia simu one of ATCL manager wanafuatia hicho kitu ndio aka apologise. So ATCL isijiendeshe kama hawana business plan na market strategy.
Heee,hiyo ya kubadirisiwa siti imeniboaaa! Mbona gani hayo,duh!
 
Wanabodi,

Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.

Naomba nianze na declaration ya uzalendo, mimi ni mdau mkubwa wa Shirika letu la Ndege, ATCL, hivyo ukiozungumzia tatizo lolote la ATCL, unaweza kuonekana sio Mzalendo.

Sasa wakati we are talking off now, naomba nikuache na huu uthibitisho wa uzalendo wangu kwa ATCL



Paskali
Update
Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel.

Nikaamua kumjoin, kitu cha kwanza ni usafiri hivyo nikatembelea bookings za ATCL na Precision Air ku book a return ticket.

Nikakuta Precision Air wana offer fulani, nika book my return ticket with Precision Air, flight ya saa 9:00, kufika saa 10:00, shughuli ni saa 12:00 jioni. Reporting time ni saa 7.

Kwa vile ni Jumamosi, sio siku ya kazi, nikajua hakuna foleni, hivyo nikaamsha saa 6:00. Huwezi amini nikakutana na foleni ya ajabu njiani. Reporting time ikanikutia njiani.

Kufika Airport ni saa 8:30, check in window inafungwa 40 min before take off!, bembeleza, bembeleza na wewe!, no way!.

Wakaniambia their next flight ni saa 19:30hrs usiku kufika saa 21:hrs, nitakuta shughuli imekwisha. Hivyo nikaamua kucheki ATCL, nikakuta, wana flight saa 18:00,hrs kufika 19:00hrs. Hivyo nikaamua ku board ATCL kwenda lakini nitarudi na ile booking yangu ya Precision Air.

Kweli saa 18:00hrs tukaruka na ATCL, ndege ya Bombardier Q400, ndege ilikuwa half full or half empty!. Bei zao ni nzuri, na sasa wanatoa bites na drinks. Kitendo cha our national flag carrier, kidenge chenyewe ni Bombardier to fly half empty, kwa route ya JRO kwa watu wenye pesa!, ile midege ya Airbus na Dreamliner itajaa kweli au zinaozea kwenye parking?. What is wrong hadi ndege zetu hazijai?!.

Sasa leo narudi na Precision Air, ndege yake ya ATR from JRO to Dar, it's full!. Flight time ya ATCL na Precision is almost the same, kwanini ndege yetu ya umma iruke half empty, halafu a private flight, Precision Air, ijae!. What is the Magic behind?. Hili la kurusha ndege mbili za mashirika mawili shindani on the same direction at the same times, sio kuleta hasara kwa both of them?. Kitakacho kuja kutokea in a near future, ni ATCL itabebwa, ita survive, Precision Air will just die a natural death na leaves behind ATCL kutawala a domestic market, na with no competition, hapa sasa ndipo mapembe yatachomoza na kitakacho fuata ni kilio na kusaga meno kwa Wasafiri wa Ndege wa Tanzania on domestic routes.
Ili mashirika yote mawili yajiendeshe kwa faida, kuwepo a standardized fares, kama ATC is half empty, abiria hao wakajaze Precision na abiria wa Precision Air wafaulishwe kwenye ATCL, hivyo kurusha ndege moja full na kugawana mapato kuliko ndege mbili half empty wote wawili mnakula hasara!.
Paskali

Rejea






Wafanyieni kama mlivyomfanya Masha na FastJet yake
 
Lengo la ndege sidhani kama ni kujaza tu abiria chukulia ATCL mepakia abiria 50 kwa laki nne nauli hapo ni milioni 20

PRESSISION AIR akapakia kwa nauli ya elfu sitini abiria 100 atapata milioni sita nani zaidi hapo?

ATCL kamzidi kwa milioni 14 nzima
waache wanaoijua hii busness wajadili,wewe upakie abilia wachache uende sawa na alie jaza na route ni moja?that is magic.the law of large number will put ATCL out of busness.Ukiwa na wateja wengi hata ukapunguza gharama itakulipa tu ukiwa na wateja wachahche itakulazimu upandishe gharama ili kumit running costs.Unless uwe funded by other sources.
 
waache wanaoijua hii busness wajadili,wewe upakie abilia wachache uende sawa naIo alie jaza na route ni moja?that is magic.the law of large number will put ATCL out of busness.Ukiwa na wateja wengi hata ukapunguza gharama itakulipa tu ukiwa na wateja wachahche itakulazimu upandishe gharama ili kumit running costs.Unless uwe funded by other sources.
Sio kila business ni ya class ya watu wa aina moja mfano soda mitaani ni shilingi 500 hoteli ya kitalii shilingi elfu tatu
Anataka customer wachache material

Huwezi kwenda kujitia ohh Mimi ni business advisor nakushauri wewe mwenye hotel ya kitalii shusha bei yako ya soda uuze sana

Mfano uliotoa hauna mantiki
 
Wanabodi,

Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.

Naomba nianze na declaration ya uzalendo, mimi ni mdau mkubwa wa Shirika letu la Ndege, ATCL, hivyo ukiozungumzia tatizo lolote la ATCL, unaweza kuonekana sio Mzalendo.

Sasa wakati we are talking off now, naomba nikuache na huu uthibitisho wa uzalendo wangu kwa ATCL



Paskali
Update
Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel.

Nikaamua kumjoin, kitu cha kwanza ni usafiri hivyo nikatembelea bookings za ATCL na Precision Air ku book a return ticket.

Nikakuta Precision Air wana offer fulani, nika book my return ticket with Precision Air, flight ya saa 9:00, kufika saa 10:00, shughuli ni saa 12:00 jioni. Reporting time ni saa 7.

Kwa vile ni Jumamosi, sio siku ya kazi, nikajua hakuna foleni, hivyo nikaamsha saa 6:00. Huwezi amini nikakutana na foleni ya ajabu njiani. Reporting time ikanikutia njiani.

Kufika Airport ni saa 8:30, check in window inafungwa 40 min before take off!, bembeleza, bembeleza na wewe!, no way!.

Wakaniambia their next flight ni saa 19:30hrs usiku kufika saa 21:hrs, nitakuta shughuli imekwisha. Hivyo nikaamua kucheki ATCL, nikakuta, wana flight saa 18:00,hrs kufika 19:00hrs. Hivyo nikaamua ku board ATCL kwenda lakini nitarudi na ile booking yangu ya Precision Air.

Kweli saa 18:00hrs tukaruka na ATCL, ndege ya Bombardier Q400, ndege ilikuwa half full or half empty!. Bei zao ni nzuri, na sasa wanatoa bites na drinks. Kitendo cha our national flag carrier, kidenge chenyewe ni Bombardier to fly half empty, kwa route ya JRO kwa watu wenye pesa!, ile midege ya Airbus na Dreamliner itajaa kweli au zinaozea kwenye parking?. What is wrong hadi ndege zetu hazijai?!.

Sasa leo narudi na Precision Air, ndege yake ya ATR from JRO to Dar, it's full!. Flight time ya ATCL na Precision is almost the same, kwanini ndege yetu ya umma iruke half empty, halafu a private flight, Precision Air, ijae!. What is the Magic behind?. Hili la kurusha ndege mbili za mashirika mawili shindani on the same direction at the same times, sio kuleta hasara kwa both of them?. Kitakacho kuja kutokea in a near future, ni ATCL itabebwa, ita survive, Precision Air will just die a natural death na leaves behind ATCL kutawala a domestic market, na with no competition, hapa sasa ndipo mapembe yatachomoza na kitakacho fuata ni kilio na kusaga meno kwa Wasafiri wa Ndege wa Tanzania on domestic routes.
Ili mashirika yote mawili yajiendeshe kwa faida, kuwepo a standardized fares, kama ATC is half empty, abiria hao wakajaze Precision na abiria wa Precision Air wafaulishwe kwenye ATCL, hivyo kurusha ndege moja full na kugawana mapato kuliko ndege mbili half empty wote wawili mnakula hasara!.
Paskali

Rejea






ATCL wamemkuta Precision Air kwenye route zake. Kuomba muda wa kuruka sawa sawa na Precision Air ni kuihujumu Precision Air. Na kama kuna jambo litakuja kuiua kabisa ATCL ni pale serikali itakapoamua kuibeba. ATCL wajiulize wanakwama wapi?
 
Jiulize kwa nini mtaani kwako hakuna wakala wa T-Pesa;serikali ya huyu mchunga ng'ombe mwenzako sijui lini itajua kuwa biashara haiendi hivyo wanavyotaka tuende
Meneja wa TTCL naye atasoma hii comment yako na atachekelea kwa sababu ya kipande cha mwisho cha sentensi yako!
 
Wareport precision air nao wafukuzwe kama fastjet. Kinachoangaliwa si zero competition?!
Hapo umemgusa Paskali,na ndio lengo lake kutoa taarifa na ushauri kuona namna ya kuwadhibiti Precision Air.Ni rahisi sana kuzisoma hisia za Paskali,ukisoma tu heading ya bandiko lake.
Nchi ya wazandiki
 
Sio kila business ni ya class ya watu wa aina moja mfano soda mitaani ni shilingi 500 hoteli ya kitalii shilingi elfu tatu
Anataka customer wachache material

Huwezi kwenda kujitia ohh Mimi ni business advisor nakushauri wewe mwenye hotel ya kitalii shusha bei yako ya soda uuze sana

Mfano uliotoa hauna mantiki
so you mean ATCL ni shirika la kifahari linataka wateja pontential tu? Ni lini wametangaza kupata faida na ikathibitika wapeta faida.Piga hesabu ndogo tu wewe unauza hiyo soda 1000 unauza kwa watu kumi na mwingine anauza 500 akauza kwa watu nani anapata faida?Hakuja wahi kuwepo business inayotamani kuwa wateja wachache.Labda mimi ni mshamaba sana
 
Back
Top Bottom