City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Mkileta siasa ktk hili, mwishowe ni kuleta figisu kwa sekta binafsi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ATCL ijitenge kabisa na kauli za kisiasa za kuandika HAPA KAZI TU. Waandike TU hata majina ya mashujaa wetu kina Mtemi Isike, Ng'wanamalundi, Mkwawa etc.Wanabodi,
Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.
We are talking off now itaendelea!
Paskali
Hawachelewi kuua sekta binafsiMkileta siasa ktk hili, mwishowe ni kuleta figisu kwa sekta binafsi.
Bro Mayalla umeniwahi tu nilikuwa na mpango wa kuanzisha uzi.Wanabodi,
Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.
We are talking off now itaendelea!
Paskali
Kuipenda Ccm na serikali yakeUzalendo ni nn?
Kaka Paskali salama?Wanabodi,
Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.
We are talking off now itaendelea!
Paskali
ATCL inaongozwa kisiasa wakati precion inaongozwa kitaalamu.Wanabodi,
Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.
We are talking off now itaendelea!
Paskali
Serikali ina lack on thing kwenye business. Creativity.Bei zao ndio inawaponza. Mwanza kipindi cha Fastjet ilikuwa hadi 60K. Ila sasa hivi inafika hadi laki 4 one way. Kwenda tu...
Jibu ni kwamba aerikali haitakiwi kufanya biashara.Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel...
Mkuu wameshakujibu juu kwamba Precisionair wanafanya biashara na wako makini na biashara yao maana ndiyo survival yao.Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel...
Kuchelewa ndege kisa foleni na huna mizigo ni ujinga mkuu, bodaboda zimejaa unaona aibu?Wewe si ndiyo upo CCM unatuliza tena badala ya kumuuliza Bashiru au Mwenyekiti wako!
Precision sio private tenaContinuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel...
Watu wa Kaskazini tunamkomesha Jiwe! Ila na wewe kwa fitina hujambo, unataka Jiwe atoe maagizo kwamba Precision air wafungiwe kuruka? Hata kwa Kabendera ulianzaga hivi hivi kuhoji mpaka kijana wa watu akabambikiziwa kesi ya utakatishaji fedha! Ipo siku na wewe utajichanganya tu utajuta siku hiyo!Sasa leo narudi na Precision Air, ndege yake ya ATR from JRO to Dar, it's full!. Flight time ya ATCL na Precision is almost the same, kwanini ndege yetu ya umma iruke half empty, halafu a private flight, Precision Air, ijae!. What is the Magic behind?.
Paskali
Pikipiki sidhani kama atakuja kurudia kuzipanda! Israel alimkosakosa!Kuchelewa ndege kisa foleni na huna mizigo ni ujinga mkuu, bodaboda zimejaa unaona aibu?
ATcl ni mradi wa kisiasa wa mshamba mmoja wa ndege, precision air ni ya watu wa kaskaziniWanabodi,
Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.
We are talking off now itaendelea!
Paskali
Update
Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel.
Nikaamua kumjoin, kitu cha kwanza ni usafiri hivyo nikatembelea bookings za ATCL na Precision Air ku book a return ticket.
Nikakuta Precision Air wana offer fulani, nika book my return ticket with Precision Air, flight ya saa 9:00, kufika saa 10:00, shughuli ni saa 12:00 jioni. Reporting time ni saa 7.
Kwa vile ni Jumamosi, sio siku ya kazi, nikajua hakuna foleni, hivyo nikaamsha saa 6:00. Huwezi amini nikakutana na foleni ya ajabu njiani. Reporting time ikanikutia njiani.
Kufika Airport ni saa 8:30, check in window inafungwa 40 min before take off!, bembeleza, bembeleza na wewe!, no way!.
Wakaniambia their next flight ni saa 19:30hrs usiku kufika saa 21:hrs, nitakuta shughuli imekwisha. Hivyo nikaamua kucheki ATCL, nikakuta, wana flight saa 18:00,hrs kufika 19:00hrs. Hivyo nikaamua ku board ATCL kwenda lakini nitarudi na ile booking yangu ya Precision Air.
Kweli saa 18:00hrs tukaruka na ATCL, ndege ya Bombardier Q400, ndege ilikuwa half full or half empty!. Bei zao ni nzuri, na sasa wanatoa bites na drinks. Kitendo cha our national flag carrier, kidenge chenyewe ni Bombardier to fly half empty, kwa route ya JRO kwa watu wenye pesa!, ile midege ya Airbus na Dreamliner itajaa kweli au zinaozea kwenye parking?. What is wrong hadi ndege zetu hazijai?!.
Sasa leo narudi na Precision Air, ndege yake ya ATR from JRO to Dar, it's full!. Flight time ya ATCL na Precision is almost the same, kwanini ndege yetu ya umma iruke half empty, halafu a private flight, Precision Air, ijae!. What is the Magic behind?.
Paskali
Muendelezo
Swali la Uzalendo: What is The Magic of The Same Route? Precision Air Full Flight, ATCL Half Empty
Mkileta siasa ktk hili, mwishowe ni kuleta figisu kwa sekta binafsi.www.jamiiforums.com
Mkuu watu hawahitaji bites wala drinks kwa safari hizo fupi bali wanahitaji huduma bora. ATCL bado hawajawa tayari kwa ushindani wa kibiashara. Hakuna jipya la kushangaza maana "Air ticket AGENTS" wanaenda na wanakopata faida... labda kilichofanywa kwa fastjet kihusike...Wanabodi,
Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.
We are talking off now itaendelea!
Paskali
Update
Continuation...
The Story Behind.
Siku ya Ijumaa niliongea na mdau wangu muhimu aitwae Abdul Malik Mollel mwenye Global Education Link GEL, wakala Mkuu wa vyuo vya nje Tanzania. Alikuwa na shughuli yake ya kifamilia itakayo fanyika Jumamosi, Mt. Meru Hotel.
Nikaamua kumjoin, kitu cha kwanza ni usafiri hivyo nikatembelea bookings za ATCL na Precision Air ku book a return ticket.
Nikakuta Precision Air wana offer fulani, nika book my return ticket with Precision Air, flight ya saa 9:00, kufika saa 10:00, shughuli ni saa 12:00 jioni. Reporting time ni saa 7.
Kwa vile ni Jumamosi, sio siku ya kazi, nikajua hakuna foleni, hivyo nikaamsha saa 6:00. Huwezi amini nikakutana na foleni ya ajabu njiani. Reporting time ikanikutia njiani.
Kufika Airport ni saa 8:30, check in window inafungwa 40 min before take off!, bembeleza, bembeleza na wewe!, no way!.
Wakaniambia their next flight ni saa 19:30hrs usiku kufika saa 21:hrs, nitakuta shughuli imekwisha. Hivyo nikaamua kucheki ATCL, nikakuta, wana flight saa 18:00,hrs kufika 19:00hrs. Hivyo nikaamua ku board ATCL kwenda lakini nitarudi na ile booking yangu ya Precision Air.
Kweli saa 18:00hrs tukaruka na ATCL, ndege ya Bombardier Q400, ndege ilikuwa half full or half empty!. Bei zao ni nzuri, na sasa wanatoa bites na drinks. Kitendo cha our national flag carrier, kidenge chenyewe ni Bombardier to fly half empty, kwa route ya JRO kwa watu wenye pesa!, ile midege ya Airbus na Dreamliner itajaa kweli au zinaozea kwenye parking?. What is wrong hadi ndege zetu hazijai?!.
Sasa leo narudi na Precision Air, ndege yake ya ATR from JRO to Dar, it's full!. Flight time ya ATCL na Precision is almost the same, kwanini ndege yetu ya umma iruke half empty, halafu a private flight, Precision Air, ijae!. What is the Magic behind?.
Paskali
Muendelezo
Swali la Uzalendo: What is The Magic of The Same Route? Precision Air Full Flight, ATCL Half Empty
Mkileta siasa ktk hili, mwishowe ni kuleta figisu kwa sekta binafsi.www.jamiiforums.com