Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #101
Woyoooooooo π₯π₯π₯am trying to be romance baby ni yako hii new surprise honey
Hao watoto mliozaa na Huyo unaemwita mchawi utawalea wewe??Nampiga biti hili
"pumbavuu hivi we mwanamke nimekukosea nn...yaani mpaka unafikia hatua ya kuniendea kwa waganga!!! sasa kwa taarifa yako chupi yako hiyo na mabegi yako yote sepa nayo..kawaroge hao hao..."
(Kisha naingia zangu chimbani kujifukiza)
Mwambie surpriseeeeeee!! umenikumbusha niliwahi pata mchepuko bana tukaingia chemba ikabdibid tufunge madrisha ya mbao yale so ndani kukawa km kagiza hivi!! tukaaanza weeeee!! mpaka tukamaliza wakati wakuondoka sasa tuka vaa nguo zetu1Swali ndo Hilo jamaa:
Jamani kama sio mwanaume, usikuje, tuwaache wanaume marijali tu wajibu hili swali
πΆπΆπΆπΆπΆπΆπΆπΆ
View attachment 1449461
weeeeeeMwambie surpriseeeeeee!! umenikumbusha niliwahi pata mchepuko bana tukaingia chemba ikabdibid tufunge madrisha ya mbao yale so ndani kukawa km kagiza hivi!! tukaaanza weeeee!! mpaka tukamaliza wakati wakuondoka sasa tuka vaa nguo zetu1
Kuuumbe yeye kavaa yangu na mimi nika vaa yake na kagiza kakawa kameanz kuingia but bado mapema ''' sasa yaliyo nipata huko sijwahi msimulia mtu yeyote leo ndo nimeyaweka hapa;;;;;
kiru!Nampa kofi la nguvu afu namwambia hio chupi hutakiwi kuishika nilipewa na mganga niweke kwenye koti kwa ajili ya kubetia[emoji28]
weeeNampiga na dera/dira
Nampiga na kitenge
Baadaye nampiga na 50000/=USONI.
Ishatoka hiyooo tunakuwa kama tunaanza upya kutongozana.
kha