Swali la Wanaume Tu: Wanaume Mkifumaniwa huwa mnamalizanaje na wapenzi wenu?

Swali la Wanaume Tu: Wanaume Mkifumaniwa huwa mnamalizanaje na wapenzi wenu?

Ndio,
Maana wameona 2020 hawana Chao,

Juz wametaka kuharibu bunge la bajeti, wameshindwa.

Sasa hasira zao,
wanataka kuharibu ndoa yangu.

Wanaona wivu, Mwaka 2020 utaitwa mama mbunge.

Chadema kwa fitna hawajambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ huyu mkeo labda awe anaishi Buza! ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
 
badala ya kutumia upendo unatumia ukali kwa mwanamke
sasa ukiweka ukali kwa mwanamke utaisoma namba na kuamsha majirani na vikao vya familia! ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ
ukali upo wapi sasa hapo ๐Ÿ™„๐Ÿ™„
 
Kesi ndogo sana hiyo,kwanza najifanya siijui pili najifanya kama kuna vibaka wameniibia hela na leso then wakaniwekea hiyo chupi,najifanya nimepaniki sana kuibiwa hela
 
Kesi ndogo sana hiyo,kwanza najifanya siijui pili najifanya kama kuna vibaka wameniibia hela na leso then wakaniwekea hiyo chupi,najifanya nimepaniki sana kuibiwa hela
bora ungerudi na vidonda au ningekuja kukutoa polisi, bila vidonda hakuna mwanamke anaekuelewa
 
du! mkeo labda awe anatokea mkoa! ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ

Kwani mkoa hakuna akili au akili zipo dsm tu, hapo mi nshasema hutaki basi labda iwe ina utoko kama haina, mwenyewe sielewi wenye wivu wamenimbikia, nasingizia kisa cha fasta niliacha koti sehemu kisa joto, nampanga hata kaunta wa bar au grocery yoyote mpaka ukome na umbea wako ataomba msamaha mpaka uamini namtoa 15 au 20
 
Mimi sijui imefikaje mfukon , hata Mimi nashangaa mke wangu, na unafanya nijiulize sasa maswali mengi , niwewe umefikia hatua ya kunidhalilisha kiasi hiki?? Na lengo lako lilikua nini?. ( lugha ya Ukali yenye ustaharabu ndani yake)


Sasa nawewe unavyoniuliza ninani kaiweka unazidi kunichanganya sana, Ngoja nimpigie simu Mshana Jr anisaidie katika hili.

Huku nikuonyesha kuchanganyikiwa , na kujiuliza uliza .



Sent using Jamii Forums mobile app
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ I won't buy this crap
 
Kwani mkoa hakuna akili au akili zipo dsm tu, hapo mi nshasema hutaki basi labda iwe ina utoko kama haina, mwenyewe sielewi wenye wivu wamenimbikia, nasingizia kisa cha fasta niliacha koti sehemu kisa joto, nampanga hata kaunta wa bar au grocery yoyote mpaka ukome na umbea wako ataomba msamaha mpaka uamini namtoa 15 au 20
Kiru ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ ndoroooboe
 
Back
Top Bottom