Swali la Wanaume Tu: Wanaume Mkifumaniwa huwa mnamalizanaje na wapenzi wenu?

Swali la Wanaume Tu: Wanaume Mkifumaniwa huwa mnamalizanaje na wapenzi wenu?

Nilikununuliaga siku nyingi nikasahau kukupatia. Hata hivyo baadae nilikuja kugundua ni (kubwa/ ndogo) kwako nikaishiwa hamu nakupelekea kusahau kabisa....nadhani jamaa alinichomekea pale dukani

(Kama ni ndogo au kubwa kwake basi ndio vzr zaidi...ni kwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa wewe unatokea Mkoa au hapa kwetu Dar!?😂😂😂
 
Mbona kitu kidogo sana hicho.Namwambia jiwe kaniambia nikaipime kama ina corona.
 
Sipeleki tena nguo zangu kufuliwa "Changanyikeni Dry Cleaners" hawako makini ona sasa wanataka kunivunjia ndoa.

Juzi nimekuta barakoa kwenye mfuko wa jeans

Jana nimekuta soksi kwenye uniform ya kazini.

Leo na wewe umekuta chupi ya kike.

Hawa jamaa hawako serious. Nilikuambia tukafulie kule Oysterbay ukabisha ukasema mbali, ona sasa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siulizi hapo hapo namtia mibao alafu namuuliza kwanini aliweka chupi yake kwenye koti langu na anajifanya kaisahau kwamba ni chupi yake... Iyoo mibao ntakayomtia mpaka atakubali kwamba ni chupi yake
 
Swali ndo Hilo jamaa:

Jaman kama sio mwanaume, usikuje, tuwaache wanaume marijali Tu wajibu hili swali
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

View attachment 1449461
Mimi sijui imefikaje mfukon , hata Mimi nashangaa mke wangu, na unafanya nijiulize sasa maswali mengi , niwewe umefikia hatua ya kunidhalilisha kiasi hiki?? Na lengo lako lilikua nini?. ( lugha ya Ukali yenye ustaharabu ndani yake)


Sasa nawewe unavyoniuliza ninani kaiweka unazidi kunichanganya sana, Ngoja nimpigie simu Mshana Jr anisaidie katika hili.

Huku nikuonyesha kuchanganyikiwa , na kujiuliza uliza .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipeleki tena nguo zangu kufuliwa "Changanyikeni Dry Cleaners" hawako makini ona sasa wanataka kunivunjia ndoa.

Juzi nimekuta barakoa kwenye mfuko wa jeans

Jana nimekuta soksi kwenye uniform ya kazini.

Leo na wewe umekuta chupi ya kike.

Hawa jamaa hawako serious. Nilikuambia tukafulie kule Oysterbay ukabisha ukasema mbali, ona sasa!

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀😀😀😀
 
Siulizi hapo hapo namtia mibao alafu namuuliza kwanini aliweka chupi yake kwenye koti langu na anajifanya kaisahau kwamba ni chupi yake... Iyoo mibao ntakayomtia mpaka atakubali kwamba ni chupi yake
unyanyasaji wa kijinsia, hapa BEIJIN itakuhusu!
 
Mimi sijui imefikaje mfukon , hata Mimi nashangaa mke wangu, na unafanya nijiulize sasa maswali mengi , niwewe umefikia hatua ya kunidhalilisha kiasi hiki?? Na lengo lako lilikua nini?. ( lugha ya Ukali yenye ustaharabu ndani yake)


Sasa nawewe unavyoniuliza ninani kaiweka unazidi kunichanganya sana, Ngoja nimpigie simu Mshana Jr anisaidie katika hili.

Huku nikuonyesha kuchanganyikiwa , na kujiuliza uliza .



Sent using Jamii Forums mobile app
huyo mkeo labda awe amekulia Buza!🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️ ila kamani mdada wa bandarini umeisha!
 
Mwanaume hafumaniwi, anakuwa na nyumba ndogo ambayo ukinikuta nayo nahalalisha
kiru!
we utakuwa msukuma wewee 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Back
Top Bottom