Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Robert Heriel Mtibeli Natafuta AjiraNikweli kabisa ni % chache sana ya wanaume wanao ongozana na wake zao hata kama wanaenda kanisani. Utakuta mwanaume anajifanya anajua kutembea haraka haraka na Kwa hatua Ili mradi tu amuache mke wake mbali Kwa kisingizio unatembea pole pole.View attachment 3132672
MsibaniTuongozane kwenda wapi
Hivi wanawake wa hivi hua mnawaokotea wapi...βΉοΈWanawake wengi wao wanaweza kukuuliza swali la kukudhalilisha popote pale hawaangalii aina ya swali, mazingira, na waliopo, na ukijifanya mbishi zinapigwa hapohapo
Siyo kweli mbona Mimi Huwa naongozana naeMichepuko
Uwe unakuja vicoba huwa tunafundishana haya, sis tumekuwa wazembe, hatuogi, hatuvai vizuri, hatutumii unyunyu na wanaume wanashindwa kutumudu wakati mashangazi na singo maza wao wapo vizuri kila idara.Nikweli kabisa ni % chache sana ya wanaume wanao ongozana na wake zao hata kama wanaenda kanisani. Utakuta mwanaume anajifanya anajua kutembea haraka haraka na Kwa hatua Ili mradi tu amuache mke wake mbali Kwa kisingizio unatembea pole pole.View attachment 3132672
Wanabadilikia kwenye ndoa kutokana na majirani wanaowakuta kitaaHivi wanawake wa hivi hua mnawaokotea wapi...βΉοΈ
Nafikiri hii hutokana na tabia pia malezi aliyo kulia mwenza wako...πWanabadilikia kwenye ndoa kutokana na majirani wanaowakuta kitaa
Sio wanawake wote wapo hivi mkuu, sisi hua tunahimizana sana kufanya mazoezi.Matumbo mbele....zoezi hatutaki kufanya....nani anataka aibu hizo
Hata hivyo ni baadhi...na ndo maana nimejimentionSio wanawake wote wapo hivi mkuu, sisi hua tunahimizana sana kufanya mazoezi.
Hakuna kati yetu mwenye kitambi, na tumekua watuwazima lakini bado hatuja zeeka...π
Minafikiri mwanamke anapaswa afaham aina na tabia za mume wake.Aisee wako wanaume wenzetu wa hivyo na mimi sijui ni kwanini,au wanakwepa vile vi maswali mbona yule mdada kakutizama sana mwanamke wako nini,au utasikia tununue kabisa na maharage ya wiki na nazi na mchicha na mkaa wakati anajua kabisa mnaenda kwenye harusi...
Mi mwenyew Huwa na escape akijisahau kidogo Niko mita100 mbele. Kwanza akipenda kitu anaweza kukuboa aseeWanawake wengi wao wanaweza kukuuliza swali la kukudhalilisha popote pale hawaangalii aina ya swali, mazingira, na waliopo, na ukijifanya mbishi zinapigwa hapohapo
Hongera sana. Namimi pia Huwa natembea ila inategemea na safari au mtoko ulio tutoa Hadi niende nae.Nikiwepo alipo sisi hua tunaongozana kila mahali wakati mwingi.