DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Nilikuwa namjibu aliyesema Yeremia Hana Uhusiano na Agano jipya na wala haitambui..Sasa AGANO Hilo ni ujio wa Roho mtakatifu ndani ya MIOYO ya waamini!
Lina mahusiano yapo na tarehe 25 December?
Warumi na Babeli wote walikuwa waabudu miungu na sanamu kabla ya Kristo YESHUA HAMASHIACH kuja duniani,Nilikuwa namjibu aliyesema Yeremia Hana Uhusiano na Agano jipya na wala haitambui..
Nikaweka ili kumjibu kuwa hata utambuzi wa Unabii wa agano jipya unapatikana kwake
Dini Ile kubwa imeingiza mambo ya kipagani Kanisani.Bwana yesu hakuzaliwa December
Alizaliwa kipindi cha baridi ambapo wafugaji huenda kuwanyoa kondoo manyoya yao.
Na ndipo walipotokewa na malaika kuweleza kuzaliwa kwa yesu
Alizaliwa may
Hii December ni sikukuu ya kirumi ya kupagani ambayo walikuwa wanamuabudu Mungu jua
Injili ilipowafikia wakaiendeleza wakisema ndiyo tarehe aliyozaliwa Mungu mpya.
HAKIKA Kwa 100%Una uhakika mbingu ipo kweli?
Jaribu kuelewa msingi wa mada.Msingi wa swali lako ni kukosoa tarehe ya Christmas 25 dec hakuna jingine.
Kwànza huko mbinguni aliyekwambia wataenda wanaosherehekea Christmas peke yao nani hadi washerehekee hiyo siku nani?
Yako wazi kabisa,Mambo haya yamefungwa.
Unathibitishaje ulikuwepo kabla hujazaliwa?HAKIKA Kwa 100%
Mbingu IPO, Mimi nilikuwako huko kabla ya kuja duniani Kwa special mission.
Kila Ijumaa ni Eid mapilau yanapikwa na waislam wanakula mpaka wanajaza vyoo ndivyo kuruan isemavyo halafu shetani anakuja kunyonya vyoo anaenda kumwanga kwenye moto wa wenye dhambiSalaam, Shalom!
Msingi wa SWALI LANGU upo katika Sala Aliyotufumdisha Yesu sisi wanafunzi wake kusali Kwa hiyo, kwamba;
(Mathayo 6:10)
"Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama ilivyo Mbinguni "
Swali no 1.
Kusherehekea Christmas tarehe 25 December ni mapenzi ya Mungu aliye Mbinguni?
Swali no 2:
Ni mapenzi ya Mungu kusherehekea Christmas tarehe 25 December tarehe hiyo hiyo pakiwa na sherehe hizo hizo Mbinguni?
Na msingi wa SWALI hili ujibiwe kupitia Katiba yetu Wana wa Mungu iitwayo BIBLIA.
Karibuni 🙏
Jikite kwenye mada 🙏Kila Ijumaa ni Eid mapilau yanapikwa na waislam wanakula mpaka wanajaza vyoo ndivyo kuruan isemavyo halafu shetani anakuja kunyonya vyoo anaenda kumwanga kwenye moto wa wenye dhambi
Amini kwanza Kisha nikuthibitishie.Unathibitishaje ulikuwepo kabla hujazaliwa?
Mimi Si msabato,Labda na mimi nikuulize ni kalenda ipi na iliyo vumbiliwa nyakati zipi maana hii ya sasa mnayo tumia ni gregorian ya papa gregory moaka ya 1500s, sasa ni ipi inayo wadhihirishia kuwa siku ya sabato ni jumamosi ?na ndiyo siku iliyo tambuliwa na kutajwa na biblia.!? Unapo jibu ukumbuke kuwa mzunguko wa siku 7 za wiki ulivumbuliwa na nani na umeanza kutumiwa lini na kabla ya nyakati hizo usabato uliabudu siku gani?
Kuhusu Kuzaliwa Kwa Yesu Iko wazi,Katika maandiko yako huko nyuma uliwahi kusema kuwa huwa unaenda mbinguni kiroho na unaonana na malaika,watakatifu na yeye aliye keti katika kiti cha enzi.
Ulipoenda mbinguni,ulimuuliza Mungu kuwa mbinguni huwa wanasherehekea Christmas lini ?
Kwani mbinguni wamekuambia Yesu Kristo alizaliwa tarehe ngapi ? Mwezi gani ?
Wapi nimekuambia siamini?Amini kwanza Kisha nikuthibitishie.
Wakristo 3-0 wasabatoSalaam, Shalom!
Msingi wa SWALI LANGU upo katika Sala Aliyotufumdisha Yesu sisi wanafunzi wake kusali Kwa hiyo, kwamba;
(Mathayo 6:10)
"Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama ilivyo Mbinguni "
Swali no 1.
Kusherehekea Christmas tarehe 25 December ni mapenzi ya Mungu aliye Mbinguni?
Swali no 2:
Ni mapenzi ya Mungu kusherehekea Christmas tarehe 25 December tarehe hiyo hiyo pakiwa na sherehe hizo hizo Mbinguni?
Na msingi wa SWALI hili ujibiwe kupitia Katiba yetu Wana wa Mungu iitwayo BIBLIA.
Ikiwa unapenda kuwa raia wa Mbinguni Ukiwa duniani, fuatisha Sala hii,
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMIN
Karibuni 🙏
Kasome kitabu Cha (Yeremia 1:5)Unathibitishaje ulikuwepo kabla hujazaliwa?
Unamtaka wanini na humuamini?Thibitisha Mungu yupo. Thibitisha mbingu ipo.
Acha longolongo.
Wapi nimesema namtaka?Unamtaka wanini na humuamini?
Warumi ndio wameingiza upagani wa kusherehekea Christmas tarehe 25 December,Wakristo 3-0 wasabato
Hizi mada zenu zisgapitwa na wakati
Kama unaamini Neno la Mungu, mbingu IPO,Wapi nimekuambia siamini?