Swali: Mbinguni Kuna sikukuu ya Christmas 25 December?

Swali: Mbinguni Kuna sikukuu ya Christmas 25 December?

Sasa AGANO Hilo ni ujio wa Roho mtakatifu ndani ya MIOYO ya waamini!

Lina mahusiano yapo na tarehe 25 December?
Nilikuwa namjibu aliyesema Yeremia Hana Uhusiano na Agano jipya na wala haitambui..
Nikaweka ili kumjibu kuwa hata utambuzi wa Unabii wa agano jipya unapatikana kwake
 
Nilikuwa namjibu aliyesema Yeremia Hana Uhusiano na Agano jipya na wala haitambui..
Nikaweka ili kumjibu kuwa hata utambuzi wa Unabii wa agano jipya unapatikana kwake
Warumi na Babeli wote walikuwa waabudu miungu na sanamu kabla ya Kristo YESHUA HAMASHIACH kuja duniani,

Sasa waliposhindwa kufuta wafuasi wa KRISTO duniani, wakaamua kuanzisha dini Yao ya mchongo na kuingiza Ibada za sanamu na Ibada za miungu Yao inayosherehekewa 25 December Ili wakristo wawe aabudu miungu indirect.

Mimi nlistuka mapema, sisherehekei Kwa namna hiyo siku na mwezi huo.
 
Bwana yesu hakuzaliwa December
Alizaliwa kipindi cha baridi ambapo wafugaji huenda kuwanyoa kondoo manyoya yao.
Na ndipo walipotokewa na malaika kuweleza kuzaliwa kwa yesu
Alizaliwa may
Hii December ni sikukuu ya kirumi ya kupagani ambayo walikuwa wanamuabudu Mungu jua
Injili ilipowafikia wakaiendeleza wakisema ndiyo tarehe aliyozaliwa Mungu mpya.
Dini Ile kubwa imeingiza mambo ya kipagani Kanisani.

Tujitenge nayo.
 
Msingi wa swali lako ni kukosoa tarehe ya Christmas 25 dec hakuna jingine.
Kwànza huko mbinguni aliyekwambia wataenda wanaosherehekea Christmas peke yao nani hadi washerehekee hiyo siku nani?
Jaribu kuelewa msingi wa mada.
 
Salaam, Shalom!

Msingi wa SWALI LANGU upo katika Sala Aliyotufumdisha Yesu sisi wanafunzi wake kusali Kwa hiyo, kwamba;

(Mathayo 6:10)
"Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama ilivyo Mbinguni "

Swali no 1.
Kusherehekea Christmas tarehe 25 December ni mapenzi ya Mungu aliye Mbinguni?

Swali no 2:
Ni mapenzi ya Mungu kusherehekea Christmas tarehe 25 December tarehe hiyo hiyo pakiwa na sherehe hizo hizo Mbinguni?

Na msingi wa SWALI hili ujibiwe kupitia Katiba yetu Wana wa Mungu iitwayo BIBLIA.

Karibuni 🙏
Kila Ijumaa ni Eid mapilau yanapikwa na waislam wanakula mpaka wanajaza vyoo ndivyo kuruan isemavyo halafu shetani anakuja kunyonya vyoo anaenda kumwanga kwenye moto wa wenye dhambi
 
Kila Ijumaa ni Eid mapilau yanapikwa na waislam wanakula mpaka wanajaza vyoo ndivyo kuruan isemavyo halafu shetani anakuja kunyonya vyoo anaenda kumwanga kwenye moto wa wenye dhambi
Jikite kwenye mada 🙏

Rabbon Si Islam Wala Adventist, ni Mwenzio katika Imani ya KRISTO Yesu ikiwa u mwamini.
 
Labda na mimi nikuulize ni kalenda ipi na iliyo vumbiliwa nyakati zipi maana hii ya sasa mnayo tumia ni gregorian ya papa gregory moaka ya 1500s, sasa ni ipi inayo wadhihirishia kuwa siku ya sabato ni jumamosi ?na ndiyo siku iliyo tambuliwa na kutajwa na biblia.!? Unapo jibu ukumbuke kuwa mzunguko wa siku 7 za wiki ulivumbuliwa na nani na umeanza kutumiwa lini na kabla ya nyakati hizo usabato uliabudu siku gani?
Mimi Si msabato,

Ila Nenda hapo Israel Kwa Wayahudi wapo Hadi Leo uone ikiwa sabato Yao ni tofauti na Jumamosi.
 
Katika maandiko yako huko nyuma uliwahi kusema kuwa huwa unaenda mbinguni kiroho na unaonana na malaika,watakatifu na yeye aliye keti katika kiti cha enzi.

Ulipoenda mbinguni,ulimuuliza Mungu kuwa mbinguni huwa wanasherehekea Christmas lini ?

Kwani mbinguni wamekuambia Yesu Kristo alizaliwa tarehe ngapi ? Mwezi gani ?
Kuhusu Kuzaliwa Kwa Yesu Iko wazi,

Ni mwezi wa SITA Maria alikwenda kumtembelea Elisabeth mama aliyemzaa Yohana mbatizaji.

Sasa ikiwa Mariam akiwa na mimba ya mwezi mmoja Mwezi wa SITA, sasa hesabu miezi Tisa itatimia mwezi upi!!

Siku ya kuzaliwa na kufufuka Kwa Yesu inakuwa pamoja,

Hilo ni fumbo kuu,

Karibu thread itakayoongelea jambo Hilo.
 
Salaam, Shalom!

Msingi wa SWALI LANGU upo katika Sala Aliyotufumdisha Yesu sisi wanafunzi wake kusali Kwa hiyo, kwamba;

(Mathayo 6:10)
"Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama ilivyo Mbinguni "

Swali no 1.
Kusherehekea Christmas tarehe 25 December ni mapenzi ya Mungu aliye Mbinguni?

Swali no 2:
Ni mapenzi ya Mungu kusherehekea Christmas tarehe 25 December tarehe hiyo hiyo pakiwa na sherehe hizo hizo Mbinguni?

Na msingi wa SWALI hili ujibiwe kupitia Katiba yetu Wana wa Mungu iitwayo BIBLIA.

Ikiwa unapenda kuwa raia wa Mbinguni Ukiwa duniani, fuatisha Sala hii,

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMIN

Karibuni 🙏
Wakristo 3-0 wasabato


Hizi mada zenu zisgapitwa na wakati
 
Unathibitishaje ulikuwepo kabla hujazaliwa?
Kasome kitabu Cha (Yeremia 1:5)

Nalikujua kabla sijakuweka katika tumbo, na nilikuteua kuwa nabii wa mataifa asema BWANA Mungu.
 
Unamtaka wanini na humuamini?
Wapi nimesema namtaka?

Thibitisha Mungu yupo. Thibitisha mbingu ipo.

Abstract thinking. Do not personalize this with ad hominem fallacy.
 
Wakristo 3-0 wasabato


Hizi mada zenu zisgapitwa na wakati
Warumi ndio wameingiza upagani wa kusherehekea Christmas tarehe 25 December,

Rudi usome wakristo Kanisa la kwanza kama waliofanya sherehe hiyo ya kipagani tarehe 25 December,

Wasabato Hawa ni WA juzi tu, Rudi Kwa Wayahudi na ujue historia ya wakristo.
 
Back
Top Bottom