Kuwafukuza Wamasai Ngorongoro kwa hoja kwamba tunalinda mfumo wa ikolojia na kisha kumruhusu Mfalme wa UAE aendelee kuharibu mfumo huo kwa njia ya uwindaji holela ni undumila kuwili wenye lengo la kuiweka Tanzania chini ya ukoloni mamboleo wa Kiarabu
View attachment 3078123
Paul Makonda akiwa na Rais wa UAE anayemiliki kampuni ya OBC inayofanya uwindaji wa kibiashara huko Ngorongoro. Picha hii imepigwa Arusha tarehe 30 Juni 2024 kwa kutumia kamera ya kikachero iliyofichwa katika saa ya mkononi. S
Waandishi wa habari hawakuruhusiwa na simu zote zilikatazwa katika eneo la tukio. Lakini wakasahau kuwa hata saa za mkononi siku hizi ni kamera za kazi maalum.
Tofauti na Mwanakijiji anavyofikiri, katika masuala ya state security management swali linalouliza ubini wa mtu haliepukiki, na ndio maana tunatofautisha uraia wa kuzaliwa na uraia wa kununua.
Swali hili, kwa mfano, linatusaidia kuwatambua watu wenye hulka ya kusigina ukuu wa nafsi ya kiutu, yaani personal sovereignty.
Kutokana na historia ya Waarabu ya kujihusisha na biashara ya utumwa hapa Afrika na huko Asia, ni wazi kuwa Waarabu wengi wanaanguka katika kundi hili, kama hakuna ushahidi wa kukanusha hitimisho hili.
Yaani Wengi wao wanaamini kuwa hakuna tofauti kubwa kati ya Mwafrika na "mbwa mpumbavu."
Hata Rais Samia juzi akiwa kwenye tamasha la kizimkazi ameonekana akitamka maneno yanayoashiria kwamba anaamini hivyo pia.
Historia ya aina hii peke yake ni ushahidi wa awali, and yaani necessary evidence, but not sufficient evidence. Yaani sio ushahidi unaojitosheleza.
Unaweza kutoshelezwa na kanuni ya "matunda hutambulisha jina la mti, kama ambavyo matendo hutambulisha jina la mtu."
Yaani tunautambua mti kwa kuangalia matunda yake.
Vivyo hivyo tunatambua fikra na mtazamo wa mtu kwa kuangalia matendo yake na kusikiliza maneno yake.
Yaani matendo ya mtu katika wakati wa sasa yanatueleleza yeye ni nani, maana matendo haya humbatiza majina. Mfano:
- Ukiiba unaitwa mwizi,
- Ukidanganya unaitwa mwongo,
- Ukiwaita watu wanaokukosoa "mbwa wapumbavu" unaitwa mtukanaji,
- Ukiwa mtoza ushuru unaitwa Zakaya kama Ruto wa Kenya,
- Ukifanya biashara ya utumwa unaitwa msiginaji wa ukuu wa nafsi ya kiutu, yaani the violater of personal sovereignty,
- Ukitenganisha mwili na roho ya mtu baki unaitwa muuaji,
- Ukimkamata mtu baki na kumpeleka mafichoni kinyume cha matakwa yake unaitwa mtekaji
- Ukitumia madaraka ya ofisi yako kwa ajili ya kutafuta maslahi binafsi katika namna inayopindisha haki za watu baki unaitwa mla rushwa,
- Ukivujisha siri za nchi yako kwa maadui wa nje ya nchi unaitwa mamluki yaani double agent,
- Na orodha inaendelea.
Kwa ufupi, mleta mada wetu ameshindwa kutofautisha kashfa zinazoinua foreign companies sovereignty dhidi ya domestic people's sovereignty, yaani ukuu wa nafsi ya kiutu ya watu wa Tanzania. Taifa la Tanzania ni corporate person.
Na hii Kashfa ya Loliondo ni mojawapo ya kashfa zinazosigina ukuu wa nafsi ya kiutu ya dola ya Tanzania tena tangu 1995.
Lakini kwa sasa kashfa hii imepata msukumo maalum chini ya uongozi wa RC Mkonda na Waziri Mchengerwa wanaotekeleza maagizo ya siri ya Rais Samia kwa faida ya Waarabu wa UAE.
Yaani Kasi ya kusigina ukuu wa nafsi ya kiutu ya dola ya Tanzania imeongezeka.
Sasa ombi la OBC la kumegwa rasmi pande la nchi imetekeleza kisheria kwa kufuta vijiji, and kata na tarafa kadhaa.
Hili ni kosa linalofanywa katika mazingira ambayo yanaashiria kuwa huenda tunao viongozi wakuu sita (rais, makamu rais, waziri wa sheria na katiba, mwanasheria mkuu, waziri mkuu na jaji mkuu) wasiojua wala kuheshimu kanuni ya "personal sovereingty, both natural sovereignty and corporate soveteignty. "
Na mara nyingi, kashfa ya Loliondo imekuwa ikiwahusisha marais wazanzibari, wenye nasaba ya Kiarabu.
Katika zama zao tunashangawa na matukio yanayoonekana bayana kutendwa na "drifting agents" na wao wapo wanatazama tu kiasi wkamba wao wanageuka "drifting principals."
Wateule wa Rais wanaonekana wazi kuwa katika michezo ya "agent slack" na "agent shirking" na Rais anaunga mkono kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake, na hivyo kuthibitisha wazi wazi kwamba Ikulu kuna tatizo la "principal slack" na "principal shirking."
Kwa ujumla Uongozi wa Marais hawa kutoka Visiwani unakuwa unasifika zaidi kwa "mission creep," jambo ambalo mara nyingi huonekana kutokana na tatizo linaloitwa "cogntive hazard."
Wamekuwa na tatizo na elimu shallow na ya kuunga unga, na kwa kweli hili ndilo chimbuko la madudu yote haya.
Lakini tatizo kubwa zaidi ni kwamba marais wanaotoka upande wa Zanzibar wanafanya kazi kama "double agents" kwa faida ya ulimwengu wa Kiarabu. Wanamega nchi na kuwagawia wajomba na wapwa wao wa huko Uarabuni kwa kutumia kisingizio cha foreign direct investment.
Halafu bado kuna watu wanaendela kuongelea habari ya Rais akitoka bara makamu atoke Zanzibar!
Bado wanaongelea fomu moja kwa ajili ya mgombea Urais kupitia CCM yenye watu makini kuliko huyu Rais wa sasa Samia.
Na hofu hii inao uzito mkubwa katika ulimwengu wa leo ambapo kuna wimbi kubwa la arab settler neo-colonialism.
Lakini Hakuna tishio kama hilo kutoka kwa wabantu kama vile Wangoni, Waha wala Wakurya.
So, we should not downplay those who are pointing a finger from this angle of state security management.
They are genuinely trying to remind our state security management organs about the claim that there is a clear, present and imminent danger of turning Tanzania into an Arab satellite state.
Pale Ngorongoro kuna jambo la aibu kubwa linatokea.
Halmashauri za vijiji vinne zimeungana kuishitaki serikali kuu.
Kesi imeanzia mahakama za chini hadi mahakama ya rufaa ya Afrika Mashariki.
Mahakama ya Rufaa inasema kuna kila dalili kwamba seriki kuu inakandamiza serikali za vijiji.
Badala ya kuukubali ukweli huu serikali kuu inaamua "kuhamisha Magoli" kwa kufuta vijiji, kata na tarafa ili kuzizuia mahakama kutekeleza kazi zake za utoaji haki.
Serikali ya kijiji ni corporate person, kama ilivyo serikali kuu.
Kila mperisona anao ukuu wa nafsi unaopaswa kuheshimiwa na waperisona baki. Lakini inashangaza kwamba Rais wetu na wasaidizi wake woooote wanaonekana kama hawana habari na ukakasi wa jambo hili.
Mpaka napata mashaka kuhusu elimu, weledi na umakini wa baadhi ya wakubwa hawa. Ni aibu tupu.
Tuendelee kukusanya ushahidi, na mwisho wa siku utaelewa a tu.
Lakini kwa sasa nashauri jambo moja muhimu: Tuboreshe vigezo vya kikatiba vya kuwapata viongozi wakuu wa nchi.
Hasa rais, makamu wa rais, waziri mkuu, jaji mkuu, mwanasheria mkuu na waziri wa katiba na sheria.
Nafasi hizi lazima zijazwe na watu walio tayari kuheshimu kanuni ya ukuu wa nafsi ya kila mtu, au tuseme kila mperisona, bila kujali kama ni mperisona asilia au mperisona shirika.
- Rais msiginaji wa ukuu wa nafsi ya kiutu hapana
- Makamu wa Rais msiginaji wa ukuu wa nafsi ya kiutu hapana
- Waziri Mkuu msiginaji wa ukuu wa nafsi ya kiutu hapana
- Jaji mkuu msiginaji wa ukuu wa nafsi ya kiutu hapana
- Mwanasheria mkuu msiginaji wa ukuu wa nafsi ya kiutu hapana.
- Waziri wa Sheria na katiba msiginaji wa ukuu wa nafsi ya kiutu hapana.
_ Viongozi wakuu wasiginaji wa ukuu wa nafsi ya kiutu hapana.
- Serikali ya wasiginaji wa ukuu wa nafsi ya kiutu hapana.
- Viongozi wakuu wasiginaji wa personal sovereignty hapana!
- Viongozi wakuu wasiginaji wa natural personal sovereignty hapana!
- Viongozi wakuu wasiginaji wa corporate personal sovereignty hapana!
View attachment 3078126
Picha ya ndege iliyopigwa tarehe 30 Juni 2024 siku Makonda alipokutana na Mfalme wa UAE. Mashuhuda wanasema ndege hii ilibeba wanyama wa Tanzania na kuondoka nao.