Swali Muflisi: Kwani Hawa Walitoka Wapi?

Swali Muflisi: Kwani Hawa Walitoka Wapi?

Na. M. M. Mwanakijiji

Tanzania imewahi kukumbwa na kashfa kubwa tu zilizokuwa zinahusisha mali ya asili au mali ya umma (Hakuna mali ya serikali). Kashfa kubwa zaidi ambazo zilizizima katika taifa letu zilianza miaka mingi nyuma lakini hakuna ambayo iligusa akili na fikra za Watanzania kama ujio wa kashfa ya kuuzwa kwa eneo la mbuga ya Ngorongoro kwa wawindaji kutoka Dubai. Ngorongoro imekuwa ni mtego mkubwa kwa watawala wetu; mtego ambao ni jaribu ambalo hawawezi kulishinda. Hili nitakuja kulizungumzia baadaye inshallah.

Hayo yalifanyika wakati wa Mwinyi. Lakini baadaye yake akaja Mkapa na Kikwete. Hawa ni watu kutoka bara. Ukisikiliza watu wanavyozungumza leo utadhani kuwa wakati wa Mkapa na Kikwete hakukuwahi kutokea kashfa kubwa zilizohusisha mali za umma na mali asili. Na inawezekana tuna vijana wanaoingia mitandaoni siku hizi na kukuta kuna kashfa na wanadhani zimeanza leo. Niwakumbushe tu kashfa kadhaa nyingine:

  • Kashfa ya Sukari
  • Kashfa ya Meremeta
  • Kashfa ya Deep Green Finance
  • Kashfa ya Richmond
  • Kashfa ya Dowans
  • Kashfa ya EPA (escrow account) (humu kulikuwa na mambo ya Daud Balali - tushamsahau)
  • Kashfa ya CIS
  • Kashfa ya Kuuzwa Mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira
-Kashfa ya Ununuzi wa Rada
- Kashfa ya Ununuzi wa Airbus 320


Hizi ni chache tu; na zimetokea wakati wa "marais wa bara". Ufisadi ni ufisadi tu; haujalizi anayeufanya anatokea wapi. Tusimpinge au kupinga sera za Rais Samia sababu ya Uzanzibari wake. Hatukumpinga Mkapa sababu ya kabila lake au sehemu anayotoka; alijiuzia Kiwira!!! Kikwete hakupingwa sababu ya kuwa anatoka Msoga au mtu wa pwani! Kuna watu walimpinga Magufuli kwa sababu hawakukubaliana naye na of course hakuna aliyesema wanampinga kwa sababu ni Msukuma (sic) au kwa sababu anatoka Chato! Hakupingwa kwa sababu ya asili yake.

Ndugu zangu, kila Mzanzibari ni Mtanzania japo si kila Mtanzania ni Mzanzibari. Kila Mngoni (raia wa Tanzania) ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mngoni. Tukielewa hili tutaweza kujenga hoja za kupinga bila kuonekana ni wakabila mambo leo!
Wenye akili wamekuelewa mzee wasio elewa watauliza maswali!
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Tanzania imewahi kukumbwa na kashfa kubwa tu zilizokuwa zinahusisha mali ya asili au mali ya umma (Hakuna mali ya serikali). Kashfa kubwa zaidi ambazo zilizizima katika taifa letu zilianza miaka mingi nyuma lakini hakuna ambayo iligusa akili na fikra za Watanzania kama ujio wa kashfa ya kuuzwa kwa eneo la mbuga ya Ngorongoro kwa wawindaji kutoka Dubai. Ngorongoro imekuwa ni mtego mkubwa kwa watawala wetu; mtego ambao ni jaribu ambalo hawawezi kulishinda. Hili nitakuja kulizungumzia baadaye inshallah.

Hayo yalifanyika wakati wa Mwinyi. Lakini baadaye yake akaja Mkapa na Kikwete. Hawa ni watu kutoka bara. Ukisikiliza watu wanavyozungumza leo utadhani kuwa wakati wa Mkapa na Kikwete hakukuwahi kutokea kashfa kubwa zilizohusisha mali za umma na mali asili. Na inawezekana tuna vijana wanaoingia mitandaoni siku hizi na kukuta kuna kashfa na wanadhani zimeanza leo. Niwakumbushe tu kashfa kadhaa nyingine:

  • Kashfa ya Sukari
  • Kashfa ya Meremeta
  • Kashfa ya Deep Green Finance
  • Kashfa ya Richmond
  • Kashfa ya Dowans
  • Kashfa ya EPA (escrow account) (humu kulikuwa na mambo ya Daud Balali - tushamsahau)
  • Kashfa ya CIS
  • Kashfa ya Kuuzwa Mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira
-Kashfa ya Ununuzi wa Rada
- Kashfa ya Ununuzi wa Airbus 320


Hizi ni chache tu; na zimetokea wakati wa "marais wa bara". Ufisadi ni ufisadi tu; haujalizi anayeufanya anatokea wapi. Tusimpinge au kupinga sera za Rais Samia sababu ya Uzanzibari wake. Hatukumpinga Mkapa sababu ya kabila lake au sehemu anayotoka; alijiuzia Kiwira!!! Kikwete hakupingwa sababu ya kuwa anatoka Msoga au mtu wa pwani! Kuna watu walimpinga Magufuli kwa sababu hawakukubaliana naye na of course hakuna aliyesema wanampinga kwa sababu ni Msukuma (sic) au kwa sababu anatoka Chato! Hakupingwa kwa sababu ya asili yake.

Ndugu zangu, kila Mzanzibari ni Mtanzania japo si kila Mtanzania ni Mzanzibari. Kila Mngoni (raia wa Tanzania) ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mngoni. Tukielewa hili tutaweza kujenga hoja za kupinga bila kuonekana ni wakabila mambo leo!
Mkuu kuwa muwazi, au kuna agenda unaificha!

Vilio vyote vya waTz kwa sasa umesikia kuna mtu anazitaja sababu kuwa zinasababishwa na Uzanzibari wa Rais?

Kwa hiyo ufisadi wa kina Mwinyi hadi Magufuli, kwako ndiyo shamba darasa unalotumia kuunga mkono ufisadi wa Serikali ya Rais Samia?

Katika waandishi wabobezi na ninao waheshimu sana katika Jf ni pamoja na wewe Mzee Mwanakijiji, imekuwaje leo, kuna nini kimekupata!

Nashindwa kujizuia kuamini mzee aliyekula chumvi nyingi namna hiyo leo kugeuka kuwa chawa!

Yawezekana bwana, dunia hii ni duara, lolote laweza kutokea na kwa muda wowote.

Maana mtu anaweza kubadili dini siku zake za mwisho akiwa hoi mahututi kitandani akipambania uhai na mauti, ama kutoa maagizo ya ujenzi wa nyumba yake wakati huo kaburi lake likichimbwa!
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Tanzania imewahi kukumbwa na kashfa kubwa tu zilizokuwa zinahusisha mali ya asili au mali ya umma (Hakuna mali ya serikali). Kashfa kubwa zaidi ambazo zilizizima katika taifa letu zilianza miaka mingi nyuma lakini hakuna ambayo iligusa akili na fikra za Watanzania kama ujio wa kashfa ya kuuzwa kwa eneo la mbuga ya Ngorongoro kwa wawindaji kutoka Dubai. Ngorongoro imekuwa ni mtego mkubwa kwa watawala wetu; mtego ambao ni jaribu ambalo hawawezi kulishinda. Hili nitakuja kulizungumzia baadaye inshallah.

Hayo yalifanyika wakati wa Mwinyi. Lakini baadaye yake akaja Mkapa na Kikwete. Hawa ni watu kutoka bara. Ukisikiliza watu wanavyozungumza leo utadhani kuwa wakati wa Mkapa na Kikwete hakukuwahi kutokea kashfa kubwa zilizohusisha mali za umma na mali asili. Na inawezekana tuna vijana wanaoingia mitandaoni siku hizi na kukuta kuna kashfa na wanadhani zimeanza leo. Niwakumbushe tu kashfa kadhaa nyingine:

  • Kashfa ya Sukari
  • Kashfa ya Meremeta
  • Kashfa ya Deep Green Finance
  • Kashfa ya Richmond
  • Kashfa ya Dowans
  • Kashfa ya EPA (escrow account) (humu kulikuwa na mambo ya Daud Balali - tushamsahau)
  • Kashfa ya CIS
  • Kashfa ya Kuuzwa Mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira
-Kashfa ya Ununuzi wa Rada
- Kashfa ya Ununuzi wa Airbus 320


Hizi ni chache tu; na zimetokea wakati wa "marais wa bara". Ufisadi ni ufisadi tu; haujalizi anayeufanya anatokea wapi. Tusimpinge au kupinga sera za Rais Samia sababu ya Uzanzibari wake. Hatukumpinga Mkapa sababu ya kabila lake au sehemu anayotoka; alijiuzia Kiwira!!! Kikwete hakupingwa sababu ya kuwa anatoka Msoga au mtu wa pwani! Kuna watu walimpinga Magufuli kwa sababu hawakukubaliana naye na of course hakuna aliyesema wanampinga kwa sababu ni Msukuma (sic) au kwa sababu anatoka Chato! Hakupingwa kwa sababu ya asili yake.

Ndugu zangu, kila Mzanzibari ni Mtanzania japo si kila Mtanzania ni Mzanzibari. Kila Mngoni (raia wa Tanzania) ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mngoni. Tukielewa hili tutaweza kujenga hoja za kupinga bila kuonekana ni wakabila mambo leo!
Na mbwa ni mtanzania au sio mtanzania?
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Tanzania imewahi kukumbwa na kashfa kubwa tu zilizokuwa zinahusisha mali ya asili au mali ya umma (Hakuna mali ya serikali). Kashfa kubwa zaidi ambazo zilizizima katika taifa letu zilianza miaka mingi nyuma lakini hakuna ambayo iligusa akili na fikra za Watanzania kama ujio wa kashfa ya kuuzwa kwa eneo la mbuga ya Ngorongoro kwa wawindaji kutoka Dubai. Ngorongoro imekuwa ni mtego mkubwa kwa watawala wetu; mtego ambao ni jaribu ambalo hawawezi kulishinda. Hili nitakuja kulizungumzia baadaye inshallah.

Hayo yalifanyika wakati wa Mwinyi. Lakini baadaye yake akaja Mkapa na Kikwete. Hawa ni watu kutoka bara. Ukisikiliza watu wanavyozungumza leo utadhani kuwa wakati wa Mkapa na Kikwete hakukuwahi kutokea kashfa kubwa zilizohusisha mali za umma na mali asili. Na inawezekana tuna vijana wanaoingia mitandaoni siku hizi na kukuta kuna kashfa na wanadhani zimeanza leo. Niwakumbushe tu kashfa kadhaa nyingine:

  • Kashfa ya Sukari
  • Kashfa ya Meremeta
  • Kashfa ya Deep Green Finance
  • Kashfa ya Richmond
  • Kashfa ya Dowans
  • Kashfa ya EPA (escrow account) (humu kulikuwa na mambo ya Daud Balali - tushamsahau)
  • Kashfa ya CIS
  • Kashfa ya Kuuzwa Mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira
-Kashfa ya Ununuzi wa Rada
- Kashfa ya Ununuzi wa Airbus 320


Hizi ni chache tu; na zimetokea wakati wa "marais wa bara". Ufisadi ni ufisadi tu; haujalizi anayeufanya anatokea wapi. Tusimpinge au kupinga sera za Rais Samia sababu ya Uzanzibari wake. Hatukumpinga Mkapa sababu ya kabila lake au sehemu anayotoka; alijiuzia Kiwira!!! Kikwete hakupingwa sababu ya kuwa anatoka Msoga au mtu wa pwani! Kuna watu walimpinga Magufuli kwa sababu hawakukubaliana naye na of course hakuna aliyesema wanampinga kwa sababu ni Msukuma (sic) au kwa sababu anatoka Chato! Hakupingwa kwa sababu ya asili yake.

Ndugu zangu, kila Mzanzibari ni Mtanzania japo si kila Mtanzania ni Mzanzibari. Kila Mngoni (raia wa Tanzania) ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mngoni. Tukielewa hili tutaweza kujenga hoja za kupinga bila kuonekana ni wakabila mambo leo!
Baelezee baelezee !
Wengi humu vijana wanadhani hii migogoro imeanzia kipindi cha Mama 😆🤣🤦🏽‍♂️

Hatari sana !
 
Mkuu kuwa muwazi, au kuna agenda unaificha!

Vilio vyote vya waTz kwa sasa umesikia kuna mtu anazitaja sababu kuwa zinasababishwa na Uzanzibari wa Rais?

Kwa hiyo ufisadi wa kina Mwinyi hadi Magufuli, kwako ndiyo shamba darasa unalotumia kuunga mkono ufisadi wa Rais Samia?

Katika waandishi wabobezi na ninao waheshimu sana katika Jf ni pamoja na wewe Mzee Mwanakijiji, imekuwaje leo, kuna nini kimekupata!

Nashindwa kujizuia kuamini mzee aliyekula chumvi nyingi namna hiyo leo kugeuka kuwa chawa!

Yawezekana bwana, dunia hii ni duara, lolote laweza kutokea na kwa muda wowote.

Maana mtu anaweza kubadili dini akiwa hoi mahututi kitandani ama ama kutoa maagizo ya ujenzi wa nyumba yake wakati huo kaburi lake likichimbwa!
Mmmh !
 
Unataka kutetea kitu gani?
Huenda anataka kusema kuwa tatizo sio ubara ama uvisiwani bali uchama. Japokuwa mimi nasema matatizo yote yaaanzia kwa wananchi ( the majority) na kuishia hapo hapo kwa wananchi ... maana vyama ni function ya wananchi ... as long as wananchi hawana uelewa wa kutosha wa civic rights , hata chama gani kitawale , nothing spectacular will happen. Tuendelee kusubiria
 
Kwako wewe wizi wa Mali za umma na kashfa na ubadhirifu ni mambo yapasayo kuzoeleka sio🤔
 
Kipindi kile alipoteza Stan Katabaro.

Sijui kipindi hiki wamejipanga kumpoteza nani tena.
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Tanzania imewahi kukumbwa na kashfa kubwa tu zilizokuwa zinahusisha mali ya asili au mali ya umma (Hakuna mali ya serikali). Kashfa kubwa zaidi ambazo zilizizima katika taifa letu zilianza miaka mingi nyuma lakini hakuna ambayo iligusa akili na fikra za Watanzania kama ujio wa kashfa ya kuuzwa kwa eneo la mbuga ya Ngorongoro kwa wawindaji kutoka Dubai. Ngorongoro imekuwa ni mtego mkubwa kwa watawala wetu; mtego ambao ni jaribu ambalo hawawezi kulishinda. Hili nitakuja kulizungumzia baadaye inshallah.

Hayo yalifanyika wakati wa Mwinyi. Lakini baadaye yake akaja Mkapa na Kikwete. Hawa ni watu kutoka bara. Ukisikiliza watu wanavyozungumza leo utadhani kuwa wakati wa Mkapa na Kikwete hakukuwahi kutokea kashfa kubwa zilizohusisha mali za umma na mali asili. Na inawezekana tuna vijana wanaoingia mitandaoni siku hizi na kukuta kuna kashfa na wanadhani zimeanza leo. Niwakumbushe tu kashfa kadhaa nyingine:

  • Kashfa ya Sukari
  • Kashfa ya Meremeta
  • Kashfa ya Deep Green Finance
  • Kashfa ya Richmond
  • Kashfa ya Dowans
  • Kashfa ya EPA (escrow account) (humu kulikuwa na mambo ya Daud Balali - tushamsahau)
  • Kashfa ya CIS
  • Kashfa ya Kuuzwa Mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira
-Kashfa ya Ununuzi wa Rada
- Kashfa ya Ununuzi wa Airbus 320


Hizi ni chache tu; na zimetokea wakati wa "marais wa bara". Ufisadi ni ufisadi tu; haujalizi anayeufanya anatokea wapi. Tusimpinge au kupinga sera za Rais Samia sababu ya Uzanzibari wake. Hatukumpinga Mkapa sababu ya kabila lake au sehemu anayotoka; alijiuzia Kiwira!!! Kikwete hakupingwa sababu ya kuwa anatoka Msoga au mtu wa pwani! Kuna watu walimpinga Magufuli kwa sababu hawakukubaliana naye na of course hakuna aliyesema wanampinga kwa sababu ni Msukuma (sic) au kwa sababu anatoka Chato! Hakupingwa kwa sababu ya asili yake.

Ndugu zangu, kila Mzanzibari ni Mtanzania japo si kila Mtanzania ni Mzanzibari. Kila Mngoni (raia wa Tanzania) ni Mtanzania japo siyo kila Mtanzania ni Mngoni. Tukielewa hili tutaweza kujenga hoja za kupinga bila kuonekana ni wakabila mambo leo!
Ufisadi ni ufisadi kweli lakini ufisadi wa kuuza sehemu ya nchi kwa wageni ni sawa na uhaini. Ni kuuza nchi kama chief Mangungo wa Msowero alivyofanya kwa Carl Peters. Wanaofanya hivi hawatakiwi kuchekewa bali kuchukuliwa hatua
 
Kuna tofauti kubwa sana, kashfa za Mwinyi na Samia zinagusa power ya utaifa, sovereignty, unawapa wageni eneo la square km 1500 wageni na kuondoa wananchi. Hizo kashfa zingine zinaongeleka. Hii inagusa moja kwa moja utaifa.
I second you...hakuna taifa lolote linalostawi bila ustawi wa watu wa taifa husika. Kuhamisha kwa nguvu watu wa taifa lako ili kupisha wageni wawekeze ni uzwazwa na yeyote anayrlitazama hili kwa jicho la husda basi ni mzandiki.
 
Back
Top Bottom