Umenena vyema mkuu. Ni kuwe Gate scanner kila Station full stop, ila swali ni je Station za TRC zote zina uzio?..aliyekata Tiketi ya Ruvu, akaendelea mpaka Moro, anatakiwa azuiliwe kutoka kituoni mpaka atakapolipa nauli yote.
..Kwa maana nyingine, tiketi ya Ruvu ukiitumia kutoka Moro inatakiwa igome kusomeka. Na ili isomeke inabidi ukailipie nauli kamili.
..TRC wanatakiwa wabunge mifumo sahihi ya kuingia na kutoka ktk stesheni za Sgr.
..Wadanganyifu wanatakiwa wakamatwe wakati wanajaribu kutoka vituoni. Hakuna haja ya kuajiri wakaguzi wa tiketi wanaopata kwenye mabehewa.
Ahaa haaaah wewe ni mstaarabu sana. Keep it up mkuu. Grace and Glory shall speak for you.Jibu liko ndani ya mabano, mwanzoni nilimkosoa lakini baadae nikajiona mimi ndio mjinga na yeye yuko sawa.
Ndugu zetu wa Zanzibar nao wakati wa koloni wao wa mwanzo ni Waarabu ambao soko waliliita Al souk Sasa iweje waliite Marikiti, (Market) lugha ya Mkoloni wa Kiingereza ambaye aikuja baadaye sana. Ina maana soko liliitwaje kabla ya influence ya Kiingereza kuja? Pamoja na hilo neno shule ambalo ni Kijerumani (schule) wao wakaja na neno skuli (School).Sawa, siwezi kukukatalia: Ukiendea Zanzibar Soko wanaliita Marikiti (Market in English) Bongo Soko tunaliita Soko inatokana na neno Kiarabu (Al Souk) tamka Alsuuk.
Tena walipishwe nauli mara mbili yake kama adhabu siku nyingine wasirudie.Naam, Wachina ndo wanafanya hivyo kwenye high speed train zao.
Kama umekata kituo cha mbele ukashuka kabla hamna tatizo, lqkini kama umekata kituo cha nyuma ukashuka mbele ukifika huko ticket inagoma kuscan ili utoke na unalipishwa kwa uhuni huo
Hupigwa faini na kulipishwa nauli kamili.Tena walipishwe nauli mara mbili yake kama adhabu siku nyingine wasirudie.
Hivi kuna tikiti na tikiti maji eh?Kwenye kiswahili hakuna tiket kuna tikiti na hizo tikiti ziko aina mbili, moja inaliwa nyingine karatasi.
Hapana, kuna tikiti na tikitimaji, hili ni tofauti na tikiti maji.Hivi kuna tikiti na tikiti maji eh?
Tuwe wakweli jaman wahudumu wa ndani wanajitahidi kuhudumia. Mara chache nimewaona wakichat.Ajira za vimemo,
Unaweza kuta mhudumu badala ya kukagua tiketi yuko anachati umbea wa shilole na asha buheti.
capitalise K 😎Jifunze kiswahili usitumie kiswahili cha mazoea.
Zanzibar ni kweli kabisa ilitawaliwa na Mwarabu lakini pia ilikuwa Protectorate chini ya Mwingereza tangu mwaka 1890 kama sikosei. Hivyo Wazanzibar utakuta wameadopt lugha zote mbili kwa wakati mmoja mfano mzuri:Ndugu zetu wa Zanzibar nao wakati wa koloni wao wa mwanzo ni Waarabu ambao soko waliliita Al souk Sasa iweje waliite Marikiti, (Market) lugha ya Mkoloni wa Kiingereza ambaye aikuja baadaye sana. Ina maana soko liliitwaje kabla ya influence ya Kiingereza kuja? Pamoja na hilo neno shule ambalo ni Kijerumani (schule) wao wakaja na neno skuli (School).
Ni kawaida treni kuwa na TT(mkaguzi wa tikiti) na polisi ndani ya teni, treni ni sawa na kijiji hivyo wahalifu wamo na mahabusi pia imo.
Hao wawili hufanya kazi pamoja, TT akikukuta hauna tikiti anakukabidhi kwa polisi ambae anakupeleka mahabusu ya ndani ya treni...Polisi ni sawa kuwa nao.
..lakini mkaguzi wa tickets ni kuongeza gharama zisizo za lazima.
Hao wawili hufanya kazi pamoja, TT akikukuta hauna tikiti anakukabidhi kwa polisi ambae anakupeleka mahabusu ya ndani ya treni.