Swali muhimu kwa Jamila Mbaruku wa TRC kuhusu ukaguzi wa tiketi

Swali muhimu kwa Jamila Mbaruku wa TRC kuhusu ukaguzi wa tiketi

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Nilikuona kwenye kituo kimoja cha runinga nchini ukisema eti TAKUKURU Imegundua uwepo wa abiria wanaokata tiketi ya shilingi elfu moja kwenda Luvu(Ruvu) lakini wanaitumia kwenda Morogoro!

Swali langu kwako, ndani ya treni wamo wafanyakazi wengi wa TRC wakiwemo mashosti, je, ni vipi shirika limeshindwa kuajiri wakaguzi wa tiketi?

Pili, vituo vya njiani huwa havipewi orodha ya abiria watakaoshuka kwenye vituo vyao ili nao wauze tiketi kulingana na abiria watakaoshuka hapo?

Inakuwaje TRC inauza tiketi nyingi za masafa mafupi ambazo abiria wake hawateremki mpaka TAKUKURU ije TRC ndani ya treni na kuwaambia eti abiria masafa mafupi hawateremki!

Ni wazi TRC imewaajiri viongozi na wafanyakazi wasio na ujuzi na uwezo wa kufikiri.

Nina uhakika yote yanayoendelea stesheni na ndani ya treni mnayajua na lazima yana maslahi kwenu, vinginevyo yasingekuwepo.
 
Nilikuona kwenye kituo kimoja cha runinga nchini ukisema eti TAKUKURU! Imegundua uwepo wa abiria wanaokata tikiti ya shilingi elfu moja kwenda Luvu(Ruvu) lakini wanaitumia kwenda Morogoro! Swali langu kwako, ndani ya treni wamo waganyakazi wengi wa TRC wakiwemo mashosti, je, ni vipi shirika limeshindwa kuajiri wakaguzi wa tikiti? Pili, vituo vya njiani huwa havipewi orodha ya abiria watakaoshuka kwenye vituo vyao ili nao wauze tikiti kulingana na abiria watakao shuka hapo? Inakuwaje TRC inauza tikiti nyingi za masafa mafupi ambazo abiria wake hawateremki mpaka TAKUKURU ije TRC ndani ya treni na kuwaambia eti abiria masafa mafupi hawateremki! Ni wazi TRC imewajiri viongozi na wafanyakazi wasio na ujuzi na uwezo wa kufikiri. Ninauhakika yote yanayoendelea stesheni na ndani ya treni mnayajua na lazima yanamaslahi kwenu, vinginevyo yasingekuwepo.
Bahati yao,Magu hayupo. TRC ingeajiri upya
 
Nilikuona kwenye kituo kimoja cha runinga nchini ukisema eti TAKUKURU! Imegundua uwepo wa abiria wanaokata tikiti ya shilingi elfu moja kwenda Luvu(Ruvu) lakini wanaitumia kwenda Morogoro! Swali langu kwako, ndani ya treni wamo waganyakazi wengi wa TRC wakiwemo mashosti, je, ni vipi shirika limeshindwa kuajiri wakaguzi wa tikiti? Pili, vituo vya njiani huwa havipewi orodha ya abiria watakaoshuka kwenye vituo vyao ili nao wauze tikiti kulingana na abiria watakao shuka hapo? Inakuwaje TRC inauza tikiti nyingi za masafa mafupi ambazo abiria wake hawateremki mpaka TAKUKURU ije TRC ndani ya treni na kuwaambia eti abiria masafa mafupi hawateremki! Ni wazi TRC imewajiri viongozi na wafanyakazi wasio na ujuzi na uwezo wa kufikiri. Ninauhakika yote yanayoendelea stesheni na ndani ya treni mnayajua na lazima yanamaslahi kwenu, vinginevyo yasingekuwepo.
Hivi wanatakiwa kukagua tiketi au tikiti?!
 
Nilikuona kwenye kituo kimoja cha runinga nchini ukisema eti TAKUKURU! Imegundua uwepo wa abiria wanaokata tikiti ya shilingi elfu moja kwenda Luvu(Ruvu) lakini wanaitumia kwenda Morogoro! Swali langu kwako, ndani ya treni wamo waganyakazi wengi wa TRC wakiwemo mashosti, je, ni vipi shirika limeshindwa kuajiri wakaguzi wa tikiti? Pili, vituo vya njiani huwa havipewi orodha ya abiria watakaoshuka kwenye vituo vyao ili nao wauze tikiti kulingana na abiria watakao shuka hapo? Inakuwaje TRC inauza tikiti nyingi za masafa mafupi ambazo abiria wake hawateremki mpaka TAKUKURU ije TRC ndani ya treni na kuwaambia eti abiria masafa mafupi hawateremki! Ni wazi TRC imewajiri viongozi na wafanyakazi wasio na ujuzi na uwezo wa kufikiri. Ninauhakika yote yanayoendelea stesheni na ndani ya treni mnayajua na lazima yanamaslahi kwenu, vinginevyo yasingekuwepo.
😂😂 dah, hvi kumbe sio tiket ni tikiti 😂😂😂
 
..aliyekata Tiketi ya Ruvu, akaendelea mpaka Moro, anatakiwa azuiliwe kutoka kituoni mpaka atakapolipa nauli yote.

..Kwa maana nyingine, tiketi ya Ruvu ukiitumia kutoka Moro inatakiwa igome kusomeka. Na ili isomeke inabidi ukailipie nauli kamili.

..TRC wanatakiwa wabunge mifumo sahihi ya kuingia na kutoka ktk stesheni za Sgr.

..Wadanganyifu wanatakiwa wakamatwe wakati wanajaribu kutoka vituoni. Hakuna haja ya kuajiri wakaguzi wa tiketi wanaopata kwenye mabehewa.
 
..aliyekata Tiketi ya Ruvu, akaendelea mpaka Moro, anatakiwa azuiliwe kutoka kituoni mpaka atakapolipa nauli yote.

..Kwa maana nyingine, tiketi ya Ruvu ukiitumia kutoka Moro inatakiwa igome kusomeka. Na ili isomeke inabidi ukailipie nauli kamili.

..TRC wanatakiwa wabunge mifumo sahihi ya kuingia na kutoka ktk stesheni za Sgr.

..Wadanganyifu wanatakiwa wakamatwe wakati wanajaribu kutoka vituoni. Hakuna haja ya kuajiri wakaguzi wa tiketi wanaopata kwenye mabehewa.
Naam, Wachina ndo wanafanya hivyo kwenye high speed train zao.

Kama umekata kituo cha mbele ukashuka kabla hamna tatizo, lqkini kama umekata kituo cha nyuma ukashuka mbele ukifika huko ticket inagoma kuscan ili utoke na unalipishwa kwa uhuni huo
 
Ungejiuliza kwanini Ruvu imo ndani ya (), Jamila alitamka Luvu mimi nimeweka Ruvu wewe unatusahihisha wote yaani wa Luvu na Ruvu! Angalau ungeweka maoni basi.
Huyo Jamila ni nani asiyejua tofauti ya Ruvu na Luvu??
Mkutanishe na bibi kifimbo cheza FaizaFoxy amkaze ulimi
 
..aliyekata Tiketi ya Ruvu, akaendelea mpaka Moro, anatakiwa azuiliwe kutoka kituoni mpaka atakapolipa nauli yote.

..Kwa maana nyingine, tiketi ya Ruvu ukiitumia kutoka Moro inatakiwa igome kusomeka. Na ili isomeke inabidi ukailipie nauli kamili.

..TRC wanatakiwa wabunge mifumo sahihi ya kuingia na kutoka ktk stesheni za Sgr.

..Wadanganyifu wanatakiwa wakamatwe wakati wanajaribu kutoka vituoni. Hakuna haja ya kuajiri wakaguzi wa tiketi wanaopata kwenye mabehewa.
Ni kawaida treni kuwa na TT(mkaguzi wa tikiti) na polisi ndani ya teni, treni ni sawa na kijiji hivyo wahalifu wamo na mahabusi pia imo.
 
Huo huo supu tosha kwako. Usiempenda umemsikia tena jina eh
Upumbafu ni kama kifo, unawaumiza walio karibu nawe huku wewe hujijui
Magu nani bnana!! Mbona ndiye aliyeharibu mfumo mzuri wa malipo uliokuwepo kwenyeUDART?? kwa kuwatoa selcom na kuwapa ttcl? Wakatoka kwenye tiketi za ku scan wakarudi kwenye tiketi za vishina?? Hii nchi....
Huyu ni miongoni mwa mazwazwa (think tank) tulio nao hapa jukwaani. Tumzoee
 
Back
Top Bottom