SWALI: Nani ni Malkia wa Nguvu kwako huku JF?!

Sema umejua kutunyoosha na hilo jina Julius.
 
Sema umejua kutunyoosha na hilo jina Julius.

Hahahaaaa

Hivi, kama kweli ningekuwa naitwa Julius ningejianika hivi JF? Ningeweka rehani faragha ya familia yangu?

Halafu unajua kingine nini? Nimesoma Shaaban Robert.

Kuna Julius Magembe aliyewahi kusoma hapo? Hahahahahaaa.

Ila uzuri watu wengi niliosoma nao hawapo kabisa JF na ndo maana najidai sana. La sivyo wangekuwa washanitaja.

Ila usijali....wewe nitakuonyesha passport yangu kabisa....
 
Sawa babe nasubiria kuona jina lako maana na mie nimeshangaa tu we kuitwa Julius [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…