SWALI: "Ni akina nani" watakuwa na ujasiri wa kununua mali za Musiba hali wakijua mali hizo zilikopatikana na namna zilivyo patikana?

SWALI: "Ni akina nani" watakuwa na ujasiri wa kununua mali za Musiba hali wakijua mali hizo zilikopatikana na namna zilivyo patikana?

Mr Q

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
18,046
Reaction score
38,598
Tuliangalie jambo hili kwa namna nyingine

Unaweza kudhani itakuwa rahisi watu kujazana mnadani na kununua hizo mali lakini kiuhalisia unaweza shangazwa asipatikane mnunuzi kwa hofu kwamba mali hizo zilipatikana kwa namna isiyo elezeka na kuna uwezekano walio mwezesha kupata mali hizo ndio wanao mpa kiburi yeye asiombe msamaha.

Napatwa na fikra kwamba mnunuzi atakaye jitokeza huwenda akawa amepangwa na musiba mwenyewe na hivyo mali kubaki kwa musiba au kukawepo na uchezewaji wa nyaraka muhimu juu ya mali hizo au zuio la mahakama n.k

Mnakumbuka yaliyo jiri kwa 900 ITAPENDEZA?

msimamo wangu. Musiba awajibishwe kwa ujinga wake l, kiburi chake na kutaka kuona wengine si lolote ktk ardhi ya Tanzania
 
Tuliangalie jambo hili kwa namna nyingine

Unaweza kudhani itakuwa rahisi watu kujazana mnadani na kununua hizo mali lakini kiuhalisia unaweza shangazwa asipatikane mnunuzi kwa hofu kwamba mali hizo zilipatikana kwa namna isiyo elezeka na kuna uwezekano walio mwezesha kupata mali hizo ndio wanao mpa kiburi yeye asiombe msamaha.

Napatwa na fikra kwamba mnunuzi atakaye jitokeza huwenda akawa amepangwa na musiba mwenyewe na hivyo mali kubaki kwa musiba au kukawepo na uchezewaji wa nyaraka muhimu juu ya mali hizo au zuio la mahakama n.k

Mnakumbuka yaliyo jiri kwa 900 ITAPENDEZA?

msimamo wangu. Musiba awajibishwe kwa ujinga wake l, kiburi chake na kutaka kuona wengine si lolote ktk ardhi ya Tanzania
Hata mimi ningekuwa na hela ningenunua maana backup ya Musiba alishakufa na ameoza
 
Tuliangalie jambo hili kwa namna nyingine

Unaweza kudhani itakuwa rahisi watu kujazana mnadani na kununua hizo mali lakini kiuhalisia unaweza shangazwa asipatikane mnunuzi kwa hofu kwamba mali hizo zilipatikana kwa namna isiyo elezeka na kuna uwezekano walio mwezesha kupata mali hizo ndio wanao mpa kiburi yeye asiombe msamaha.

Napatwa na fikra kwamba mnunuzi atakaye jitokeza huwenda akawa amepangwa na musiba mwenyewe na hivyo mali kubaki kwa musiba au kukawepo na uchezewaji wa nyaraka muhimu juu ya mali hizo au zuio la mahakama n.k

Mnakumbuka yaliyo jiri kwa 900 ITAPENDEZA?

msimamo wangu. Musiba awajibishwe kwa ujinga wake l, kiburi chake na kutaka kuona wengine si lolote ktk ardhi ya Tanzania
unajua nyumba zile zilikuwa za nani?
 
msimamo wangu. Musiba awajibishwe kwa ujinga wake l, kiburi chake na kutaka kuona wengine si lolote ktk ardhi ya Tanzania
Afisa kipenyo alipata Mali nyingi namna Ile ndani ya utumishi wa umma???
,nimejiuliza sana swali Hilo nikiwa shamba Leo? Huyo alikuwa anatuimbisha UZALENDO WA MCHONGO, huku babake akimlinda
 
Tuliangalie jambo hili kwa namna nyingine

Unaweza kudhani itakuwa rahisi watu kujazana mnadani na kununua hizo mali lakini kiuhalisia unaweza shangazwa asipatikane mnunuzi kwa hofu kwamba mali hizo zilipatikana kwa namna isiyo elezeka na kuna uwezekano walio mwezesha kupata mali hizo ndio wanao mpa kiburi yeye asiombe msamaha.

Napatwa na fikra kwamba mnunuzi atakaye jitokeza huwenda akawa amepangwa na musiba mwenyewe na hivyo mali kubaki kwa musiba au kukawepo na uchezewaji wa nyaraka muhimu juu ya mali hizo au zuio la mahakama n.k

Mnakumbuka yaliyo jiri kwa 900 ITAPENDEZA?

msimamo wangu. Musiba awajibishwe kwa ujinga wake l, kiburi chake na kutaka kuona wengine si lolote ktk ardhi ya Tanzania

Hakuna tena michezo ya 900m, kuna mbinu za kujua wanunuzi wenye uwezo wa kununua
 
Back
Top Bottom