Hapa tuweni wakweli tu, waliolengwa kwenye huo mwavuli wa wahamiaji haramu ni wanyarwanda, tuacheni unafiki.
Kama hakulenga wanyarwanda, kwa nini azungumzie kwenye wahamiaji wengi wanyarwana asiende kuzungumzia mpaka wa Namanga?
Tarehe ya sherehe za kuwakumbuka Mashujaa wetu haikupangwa kufuatia shenanigans ya JK Vs PK........it is so happened kuwa iko hivyo and thats the reality.........Kama Rwandans waliona ni free kuingia na mifugo yao na kuona sisi ni mazuzu.......hatufanyi chochote........who knows.....pengine ndio maana idadi yao ni kubwa.......sisi Watanzania hatukupanga kukaribisha idadi fulani ya wahamiaji haramu........Gees!
Ndio maana JK alivilaumu sana sana vyombo husika vya kusimamia sheria na taratibu za nchi........
....Jamani eehh tumseme JK kwa mengine.......lakini kwa hili suala.....tumpe support zetu.....tena mimi binafsi bado naona amekuwa soft sana kwenye hili suala........hawa wahamiaji haramu wote ilibidi wawekwe Kuzuizini (detention) na mali zao kufilisiwa!........ukikamatwa leo nchi za watu wewe ni mhamiaji haramu....hawakurudishi nyumbani kwako ukachukue vitu vyako......wanakuweka kizuizini....huku unasubiri the next flight......kuna Watanzania wengi tu yamewakuta hayo majanga........acheni hizo
Soma magazeti ya leo. Wanyarwanda 520 wameshaondoka kurudi kwao. Soma Mwananchi. Usibishe hata kwa mambo yaliyo wazi kabisa.
.....Mkuu...hili ndio tatizo la magazeti yetu....pamoja na akzi nzuri waifanyayo....lakini wakti mwingine waandishi na Wahariri wana mapungufu.........angekuwa Mnyarwanda mmoja wangeandika?........regardless of their numbers...wahamiaji haramu wote warudi kwao........au wafuate taratibu na sheria za nchi yetu..........ili kuendelea kuishi nchini.........