Matumbwela
Senior Member
- Oct 23, 2010
- 124
- 88
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?
Naombeni majibu.
Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke
Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.
Mrs Jr.
Inawezekana wanaume wanaochepuka ni wengi kuliko wanawake na moja ya sababu ni kwamba Mwanaume ndiye anayetongoza ingawa sio mara zote. Upande wa pili ni huyo mchepukaji (mwanaume) anachepuka na nani? wakati fulani utakuta anachepuka na mke wa mtu ambaye naye, kwa muktadha huu ni mchepukaji.
Kimsingi kuchepuka ni tabia ya mtu, awe mwanaume au mwanamke. Ndiyo maana kukawa na 'serengeti boys' ama wale vijana wanaolelewa ... wakati mwingine 'walezi' wao ni wake za watu. kadhalika kuna wasichana wanaotembea na waume za watu na hapa wanaume ndo wenye makosa.
Wakati mwingine ugomvi kidogo ndani ya nyumba wengine wanachukulia kama ndo ticket ya kuchepuka ili akapate faraja elsewhere (both mwanaume na mwanamke). Maofisini/sehemu ya kazi wakati mwingine imekuwa ndo meeting point kwa sababu huko kuna watu wanaojali wake/waume za watu kuliko wenzi wao halisi... kuingia kwenye mtego wa kuchepuka inakuwa ni rahisi.
Pesa sio kigezo kwa sababu kuna watu wanacheat (mme na mke kila mtu na ndoa yake) bila kuwa na financial gain kwa upande wowote.
Back to your question...inawezekana hakuna kitu utackachompa mtu mwenye hulka ya kuchepuka akaacha kuchepuka ila MUOMBEE KWA Mwenyezi Mungu ili ambadilishe na kubaki kwenye njia kuu!