SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.

Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?

Naombeni majibu.

Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke

Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.

Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.


Mrs Jr.


Inawezekana wanaume wanaochepuka ni wengi kuliko wanawake na moja ya sababu ni kwamba Mwanaume ndiye anayetongoza ingawa sio mara zote. Upande wa pili ni huyo mchepukaji (mwanaume) anachepuka na nani? wakati fulani utakuta anachepuka na mke wa mtu ambaye naye, kwa muktadha huu ni mchepukaji.

Kimsingi kuchepuka ni tabia ya mtu, awe mwanaume au mwanamke. Ndiyo maana kukawa na 'serengeti boys' ama wale vijana wanaolelewa ... wakati mwingine 'walezi' wao ni wake za watu. kadhalika kuna wasichana wanaotembea na waume za watu na hapa wanaume ndo wenye makosa.

Wakati mwingine ugomvi kidogo ndani ya nyumba wengine wanachukulia kama ndo ticket ya kuchepuka ili akapate faraja elsewhere (both mwanaume na mwanamke). Maofisini/sehemu ya kazi wakati mwingine imekuwa ndo meeting point kwa sababu huko kuna watu wanaojali wake/waume za watu kuliko wenzi wao halisi... kuingia kwenye mtego wa kuchepuka inakuwa ni rahisi.

Pesa sio kigezo kwa sababu kuna watu wanacheat (mme na mke kila mtu na ndoa yake) bila kuwa na financial gain kwa upande wowote.

Back to your question...inawezekana hakuna kitu utackachompa mtu mwenye hulka ya kuchepuka akaacha kuchepuka ila MUOMBEE KWA Mwenyezi Mungu ili ambadilishe na kubaki kwenye njia kuu!
 
Mama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
hahahahaha,
 
Inaonekana ulikua vizuri sana kwenye essay mkuu
Inawezekana wanaume wanaochepuka ni wengi kuliko wanawake na moja ya sababu ni kwamba Mwanaume ndiye anayetongoza ingawa sio mara zote. Upande wa pili ni huyo mchepukaji (mwanaume) anachepuka na nani? wakati fulani utakuta anachepuka na mke wa mtu ambaye naye, kwa muktadha huu ni mchepukaji.

Kimsingi kuchepuka ni tabia ya mtu, awe mwanaume au mwanamke. Ndiyo maana kukawa na 'serengeti boys' ama wale vijana wanaolelewa ... wakati mwingine 'walezi' wao ni wake za watu. kadhalika kuna wasichana wanaotembea na waume za watu na hapa wanaume ndo wenye makosa.

Wakati mwingine ugomvi kidogo ndani ya nyumba wengine wanachukulia kama ndo ticket ya kuchepuka ili akapate faraja elsewhere (both mwanaume na mwanamke). Maofisini/sehemu ya kazi wakati mwingine imekuwa ndo meeting point kwa sababu huko kuna watu wanaojali wake/waume za watu kuliko wenzi wao halisi... kuingia kwenye mtego wa kuchepuka inakuwa ni rahisi.

Pesa sio kigezo kwa sababu kuna watu wanacheat (mme na mke kila mtu na ndoa yake) bila kuwa na financial gain kwa upande wowote.

Back to your question...inawezekana hakuna kitu utackachompa mtu mwenye hulka ya kuchepuka akaacha kuchepuka ila MUOMBEE KWA Mwenyezi Mungu ili ambadilishe na kubaki kwenye njia kuu!
 
Kuchepuka ni kama kubadilisha mboga tu.ingawa sometimes unakutana na matembele poli yamepoza kuliko uliyoaacha home.ijapokuwa hotpot lilikuwa linavutia.ila ukianza kula baada ya kumeza tonge la kwanza unatamani hata mikono ukanawie home
ahhahahahah
 
Of course umeongea kama binti mdogo tu, na nitakujibu kama Dada yako tu.

Don't stress yourself over things you cannot control. A man cheats simply because he has chosen to cheat na sio vingine. Usijidanganye hana hela ndo maana ha cheat. Ku cheat ni uamuzi.

Kingine ni kwamba ukishamfunga hivyo, then what? Je, unaelewa impact psychologically kwa mwanamme kutoweza ku erect huku akijua fika hana tatizo jingine?

Je, utahandle vipi trauma ya mwenzio kipindi hiki ambacho anakuwa na stress hizo huku ukijua kabisa kinachoendelea umemfanyia wewe?

Unaelewa kwamba mwanamme wa hivi anakuwa affected hata mishe za kila siku za kumuingizia hela anakuwa hawezi kuzipiga? Mtaishije just because you chose to let your jealousy get out of hand?

Waza mbele kidogo. What if things go wrong iwe akiwa kwako ndo hatapata erection kabisa? Na je, what if you get caught? Not all men are stupid my dear. Don't cross that line.

Plus kuna kesho. Kesho ya Bwana Karma daadeqi, na kuna kesho ya Mungu. Hamad ndo umejitotolea kitoto chako cha kiume.

Deep down utaishije.
Hii ni maneno ya mtu aliyekomaa kwenye ndoa
 
Back
Top Bottom