Nakupa nyama leo! (NYAMA) siogopi sangoma wala nini.Lazima nikutafute mzinzi mwenzang
Wifi umekua upepo ama kitu gani??Kiufupi mm nikisema niwatafutie usafiri max zangu nahisi nafaaa kukodi bus zotee za ABOOD BUS SERVICE za kutoka Dar -Moroo ndo watatoshaa.
Nyongeza :
Wenye mapovu na msiojua yani Demiss ni kama Gigy money sijuagi kusema uongo mtanisamehe jamani walokolee wa Jf sawaaa eeeh.
Demiss (Single girl)
Location: Family bar Tegeta kibaoni.
Nyama huli kwani?Hiyo nyama mbn kama siielewi
ukweli upi sasa??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]muongo wewe
Anhaaaa..Siyo mafinga Mapinga bagamoyo road