SWALI: Wapenzi (X) ulioachana nao wanajaa kwenye gari gani?

SWALI: Wapenzi (X) ulioachana nao wanajaa kwenye gari gani?

Hivi mtu wa one night stand
Unamkumbukaje!?
hahah.. umenikumbusha kipindi hicho cha kusoma enzi za new maisha club

ilikuwa jtatu nimeingia class sasa kuna demu hatusomi naye same course ila hyo module tushare akawa ananiangalia sana

ikabidi niwaulize mshkaji "oya jacob yule demu wa procure mbona anatuchek sana unamjua nini?"

jacob akasema we msenge kweli kwani yule demu humkumbuki juzi uliondoka naye maisha club 😂😂😂
 
Kiufupi mm nikisema niwatafutie usafiri max zangu nahisi nafaaa kukodi bus zotee za ABOOD BUS SERVICE za kutoka Dar -Moroo ndo watatoshaa.


Nyongeza :

Wenye mapovu na msiojua yani Demiss ni kama Gigy money sijuagi kusema uongo mtanisamehe jamani walokolee wa Jf sawaaa eeeh.


Demiss (Single girl)
Location: Family bar Tegeta kibaoni.
Reli ya kati
 
Ma-Mister Misifa NAWAKUMBUSHA tu kuwa Suleiman ni mbabe wenu kwa orodha ya kufaidi wanawake wengi maana alimwomba Mungu tu hekima lakini alizidishiwa kila aina ya raha ambapo tangu dunia iumbwe hata itakapoharibika haitatokea kamwe Mwanaume aliyefaidi starehe kama Suleiman.

TUMWOMBE MUNGU HEKIMA SANA ILI TUZIDISHIWE VINGINE VIZURI ZAIDI KATIKA MAISHA YETU.
 
Demiss nyuzi gani sasa hivi ila kumbuka wengine sio Ex bana
Hili swali linafaa mtu anaulizwa halaf kafungwa kile kifaa cha kinaonyesha unasema ukweli au uongo
Walete na kifaa wakikufunga ukiulizwa swali kianze kuhesabu chenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu watazimia na pressure ndo ukute mchumba kakufunga hicho kitufeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ex kama watano tu katika maisha yangu, kwa hiyo hata cab ya six seater inatosha,wengine wote niliowala nawachukulia kama Malaya,mkesha wa xmas tu nimekesha na malaya wawili wa rangi tofauti ninachokumbuka ni pesa niliyoliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom