SWALI: Wapenzi (X) ulioachana nao wanajaa kwenye gari gani?

SWALI: Wapenzi (X) ulioachana nao wanajaa kwenye gari gani?

Demiss nyuzi gani sasa hivi ila kumbuka wengine sio Ex bana
Hili swali linafaa mtu anaulizwa halaf kafungwa kile kifaa cha kinaonyesha unasema ukweli au uongo
Walete na kifaa wakikufunga ukiulizwa swali kianze kuhesabu chenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah

Mkuu wangu kitambo sana

Au mi ndo nmebadilisha jukwaa

Maana siku hizi nmekodi chumba jukwaa la kule chini [emoji2]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kodi yake ikoje mkuu na mimi nijichekeche hapa kabla mwaka haujaisha maana mipango mipya sitaki kuivuruga.

nipo mkuu ubusy wa kusaka tonge ndio umekuwa kikwazo kujumuika na wanazengo humu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kodi yake ikoje mkuu na mimi nijichekeche hapa kabla mwaka haujaisha maana mipango mipya sitaki kuivuruga.

nipo mkuu ubusy wa kusaka tonge ndio umekuwa kikwazo kujumuika na wanazengo humu
Hata mm mkuu

Daah likizo ndo inaisha leo saa 12

Saa 2 tuna lecture
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kodi yake ikoje mkuu na mimi nijichekeche hapa kabla mwaka haujaisha maana mipango mipya sitaki kuivuruga.

nipo mkuu ubusy wa kusaka tonge ndio umekuwa kikwazo kujumuika na wanazengo humu
Bonyeza reli mkuu
 
Ex kama watano tu katika maisha yangu, kwa hiyo hata cab ya six seater inatosha,wengine wote niliowala nawachukulia kama Malaya,mkesha wa xmas tu nimekesha na malaya wawili wa rangi tofauti ninachokumbuka ni pesa niliyoliwa.
 
Back
Top Bottom