Umetisha mkuuuKaachiwa uchawi anapaa tu utashangaa kesho yupo shinyanga
hahah.. kuna watu kiboko aseeTena kuna watu watajaza treni tatu au tano
hahah.. umenikumbusha kipindi hicho cha kusoma enzi za new maisha clubHivi mtu wa one night stand
Unamkumbukaje!?
Usichekee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Reli ya katiKiufupi mm nikisema niwatafutie usafiri max zangu nahisi nafaaa kukodi bus zotee za ABOOD BUS SERVICE za kutoka Dar -Moroo ndo watatoshaa.
Nyongeza :
Wenye mapovu na msiojua yani Demiss ni kama Gigy money sijuagi kusema uongo mtanisamehe jamani walokolee wa Jf sawaaa eeeh.
Demiss (Single girl)
Location: Family bar Tegeta kibaoni.
Kuna watu watazimia na pressure ndo ukute mchumba kakufunga hicho kitufeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Demiss nyuzi gani sasa hivi ila kumbuka wengine sio Ex bana
Hili swali linafaa mtu anaulizwa halaf kafungwa kile kifaa cha kinaonyesha unasema ukweli au uongo
Walete na kifaa wakikufunga ukiulizwa swali kianze kuhesabu chenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ex kama watano tu katika maisha yangu, kwa hiyo hata cab ya six seater inatosha,wengine wote niliowala nawachukulia kama Malaya,mkesha wa xmas tu nimekesha na malaya wawili wa rangi tofauti ninachokumbuka ni pesa niliyoliwa.