SWALI: Wapenzi (X) ulioachana nao wanajaa kwenye gari gani?

Du nafkiri Scania ya dar express na wengine watakosa seat ila at least bila tera
 
Hivi umeanza kutumia vilevi lini?[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kilevi kimoja kinaitwa Methanol huwa nabusti kidogo kabla sijaanza kuhudumia watanzania maana bila kuwa mchangamfu na jasiri kazi haiendi...
 
Kuna kilevi kimoja kinaitwa Methanol huwa nabusti kidogo kabla sijaanza kuhudumia watanzania maana bila kuwa mchangamfu na jasiri kazi haiendi...
Hahahaha na kweli kwa hizo mishee zenu lazima mbust[emoji23][emoji23][emoji23]na vidonge vya valium
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…