Swamidwa Habidadi Mkulima Mwenye Ndoto Kubwa Kutoka Burkina Faso

Nakaona insta na sehemu mbalimbali.Nilichogundua ni Gen Z anayetafuta content kupitia kilimo.Ili uweze kupata Mashabiki kwa mtoto wa kike Kuna kitu kinaitwa "meet the men's sexual desires "Ameweza kukonga mioyo ya wanaume wengi kwa wajihi wake(muonekano),chuchuz konzi,ana hips zenye uvungu,kako natural,ila kama ni kulima sizani kama anaweza hata kuamia ndege😁...huku bush wapo wengi tu vijijini mabinti wanalima na wako na maendeleo makubwa tu...sema hii post atakuwa ni yeye au Mtu wake wa karibu amekuja kumpromoti.
 
Nilipomuona nilijua mtu wa Arusha au Manyara kumbe bukinafaso.
Warembo wa Bongo wakianza kilimo watapata utajiri sana maana huyu dada anatrend sana msimu huu.
Sasa ukizingatia FB wanalipa kwa views.
 
Huyu dada uliyomuweka hapo ni mtanzania,ufanye research kabla ya kupost
 
Huyo ni content creator sio mkulima makini , anajipost kila muda yaani simuelewi kabisa .
 
Huyu kule twitter kuna mbongo anawapiga watu kwa kutumia picha zake anajiita Reyna farm co Ltd πŸ˜ƒ alafu hapo umetupiga, shamba hekta 6 bado amegawa kwa mazao mbalimbali alafu eti mahindi gunia 10,000 mchele gunia 8,000? Sijui na mazao mengine? Eti anamiliki BMW4 , mercedez.. umejuaje? πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Huyo ni mbongo acheni kumuuza mara m south mara Burkina faso,,,Yan hayo ma parody ya south na Burkina Faso yamejua kutuibia mtu wetu,,na wabongo nao wanafata mkumbo tu Burkina Faso ,south Africa wanaongea Kiswahili toka lini ?
Hata mim nimeshangaa hayo magunia ya mpunga aliyotumia hapo ni ya kibongo
 
Tunae istagram kule mtu wa huko kaskazini marangu sijui, haha ni mpambanaji lakini sio kama mleta maana alipoainisha hapa, amedanganya pakubwaa mno
 
Mweke hapa tumwone mkuu.
 
Huyo ni content creator sio mkulima makini , anajipost kila muda yaani simuelewi kabisa .
Anatumika kutakatisha pesa za wakubwa tu,no kweli lakini sio kwa mtaji huo alionao sasa!

Kuna watu nyuma yake,ni SAWA na wale madem wanaojenga magorofa makubwa hapa town!
 
Anatumika kutakatisha pesa za wakubwa tu,no kweli lakini sio kwa mtaji huo alionao sasa!

Kuna watu nyuma yake,ni SAWA na wale madem wanaojenga magorofa makubwa hapa town!
Ni kama anaishi kwao huko ila kutwa anapiga picha mashambani , sasa angalia nguo zake ndio utajua kama ni mkulima kweli au mzugaji .
 
Kwamba kwenye hekta 6 humohumo kavuna gunia 10,000 za mahindi, gunia 8,000 za mchele, gunia 5,000 za karanga.
Na kwenye hekta 6 hizohizo bado kuna nafasi ya kilimo cha mazao ya viwandani. Na bado ana mifugo.

Unatuchukuliaje mzee
Ni muongo wa kutupwa

Heka sita ununue magari yote hayo fix tupu
 
Huyu dada uliyomuweka hapo ni mtanzania,ufanye research kabla ya kupost
Daa nilitaka kushangaa hata mimi huwa namuona kama mbongo. Ila picha zake zimetapakaa dunia nzima kwa sasa. Sio ajabu kesho ukaambiwa ni mkenya aliyekimbilia texas kujitafutia kipato kwenye mashamba huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…