Bahati mbaya nimekuona kiazi ambaye haujielewi.....Bahati mbaya sana huwa sifanyi argument na Idiots ka nyie,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mbaya nimekuona kiazi ambaye haujielewi.....Bahati mbaya sana huwa sifanyi argument na Idiots ka nyie,
Wewe ni mjinga mjinga mmoja tu unayejiona unajua Mambo kumbe ni mshamba tu....Bahati mbaya sana huwa sifanyi argument na Idiots ka nyie,
Wewe jamaa ukubali tu..umezidiwa ujuzi..Ni ngumu kujua kila kituWewe uelewa wako ni mdogo na nasema hivyo kwa sababu haujanielewa nliandika nn.
Kwani nikuulize hao FBI hawana intelligence analysts au hapo vipi. Kwa hiyo kwa sababu wana maintelligence analysts Basi tubadilishe maana ya kwamba ile ni intelligence service.
Kingine wewe unataka kuleta ligi tu nani amekwambia FBI hawafanyi kazi overseas.
Yaani ufananishe FBI na CID hapo ndo umenichekesha kwa kweli yaani hii ndo inapima wasomi Kama wewe uwezo wao kifikiria na kung'amua Mambo duh.
Halafu kingine uwe unaelewa kwanza kabla ya kujibu.....mm nlimaanisha wakikuhisi ni threat kwa taifa lao ndo watakushughulikia Sasa hapo kwenye kuelewa wewe huyo mhusika atakuwa wapi waliyemhisi is up to you.
Kutokana CIA wanavyofanya kazi nahisi unajua.Kama haujaelewa basi sio ligi hii kwamba tunashindania mbuzi au nn sijui!!!
Nani aliyekwambia analewa kila kitu??Wewe jamaa ukubali tu..umezidiwa ujuzi..Ni ngumu kujua kila kitu
Kuzidiwa ipo lakini sio kuongopewa.....Wewe jamaa ukubali tu..umezidiwa ujuzi..Ni ngumu kujua kila kitu
Hapana, FBI ipo chini ya Department of Justice, wakati CIA ipo chini ya Director of National Intelligence, ambayo ni cabinet level office; haiko chini ya wizara yoyote.Wote hao wapo chini ya Homeland Security...Director wa hii taasisi ndio ana organise reports zote za mashirika mengine kwa ajili ya briefing kwa Rais daily
Counter intelligence ni jukumu la FBI pia, hivyo hufanyika sirini.Mada yake iko sahihi ila ametumia maneneo hayo vibaya; hata ukiwauliza wataalum wa kiswahili watakafufafanunia. Ujasusi ni zaidi ya kupeleleza; ujasusi hufanyika kisiri sana wakati upelelezi hufanyika hadharani tu. Ni vivyo hivyo, CIA hufanya kazi zake gizani wakati FBI hufanya hadharani tu.
Ndani ya FBI kuna section ya intelligence inaitwa Intelligence Branch IB ambayo ndiyo inashughulikia kuzuia uharifu kabla haujafanyika.Counter intelligence ni jukumu la FBI pia, hivyo hufanyika sirini.
Hata kukamata majasusi kutoka nchi hasimu na hata nchi washirika (counter intelligence) ni kazi ya FBI pia, hapo FBI ina act kama intelligence agency ila ni 'domestic intelligence'.Ndani ya FBI kuna section ya intelligence inaitwa Intelligence Branch IB ambayo ndiyo inashughulikia kuzuia uharifu kabla haujafanyika.
SAS je?Kama Wewe ni mfuatiliaji wa Mambo Mbali mbali, Bila shaka Lazima umewahi Kukutanana Na Majina Kama SWAT, CIA au FBI Wakati Tukipiga Stori za Uongo na Ukweli vijiweni. Sasa Leo Nataka Uzijue Kiundani Taasisi hizi.
1. SWAT
Ni Kifupi Cha Special Weapons and Tactics.
Na ilianzishwa Rasmi Mwaka 1964 (Hii ni Kwa Marekani lakini)
SWAT ni kikundi Maalum cha polisi kwa ajili ya kupamba na Matukio yanayohitaji Kutumia Silaha au Mbinu Maalum
Kwa mfano; matukio ya Utekaji na ujambazi, https://t.co/Qcu5ZZ8wUT
2. CIA
Ni Kifupi Cha “Central Intelligence Agency”. Hili ni shirika la upelelezi la serikali ya Marekani, inayohusika na kukusanya, usindikaji, na kuchambua habari za usalama wa kitaifa kutoka duniani kote. https://t.co/utdhNVpbT3. Liliundwa rasmi September 18, 1947. makao Yake Makuu Yako Pale Langley, Virginia. Limejikita zaidi Katika Msauala Ya Kijasusi Ya USA Kwa Ndani Na Nje ya USA. Kwa Mujibu wa Vyanzo mbalimbali, CIA inatajwa Kama Shirika Bora La Kijasusi duniani Huku “Mossad”La Israel Likifuata. https://t.co/UZE3be22VR
3. FBI (Federal Bureau of Investigation)
Shirika la Ujasusi la Shirikisho la Marekani.
Ilianzishwa July 26 1908,Inakadiliwa Kuwa na Wafanyakazi Takribani 35,000 na Bajeti yake kwa mwaka ni
US$9,748,829,000. https://t.co/azEvACoF0e. FBI NA CIA yote ni Kama Mashirika Ya Kujasusi, lakini Tofauti Iliyopo Ni Kwamba,
FBI imejikita katika masuala ya kipelelezi yanayoihusu Marekani Kama Taifa lakini (Domestically) ila CIA ipo Ki Dunia Zaidi. FBI inafanya kazi chini Ya Idara Ya Masuala Ya Haki Ya Marekani.