Yaani denda? Ustaadhi nimefunga mwenzio
Yaani denda? Ustaadhi nimefunga mwenzio
Umeshaharibu swaumu tayari..............
Sawa sawa niko hapa Juba karibia na kitongoji kimoja kinaitwa ToritUnajua ODM alinambia uko huku nikajua ananipiga changa la macho nikadharau ngoja niku PM tukutane aisee dah!!!!
Kuasidiana kwenye mapenzi ni muhimu sana! Mzenji amefunga hakipikiki kitu imenibidi nifunge
<br />Wakuu mabibi na Mabwana!<br />
<br />
Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku Zenji hata Migahawa inafunguliwa baada ya futuru. Inshallah nitarudi baada ya mfungo kwisha.<br />
<br />
Karibuni Zenji
<br />
<br />
umenikumbusha mbali sana,mambo yakutwa kobe,hii niliiexperience sana tanga digo land kule horohoro,duga,zingibari,moa,mwakijembe,mtimbwani,maramba nk,walituita makobe sisi ambao hatujafunga.jioni unaletewaBEMBE na binti wa kidigo kolekole wa kukaanga au sewa,mkono wa tembo,mababuji na vibibi plus tambi,chai ya iliki na uji wa pilipili,we acha mambo ya mfungo,ukigonga futari unafidia na mchana,baada ya futari ni msururu wa watu kwenda pwani(wangwani)kujisaidia no choo hapo ni mwendo wa kujisaidia kwenye mikoko,kutawaza baharini,pwani nomaaaaa!
Usimtishe Rev Bana
Tafadhali bibie kwani wewe mtoto wa sheikh?
Hahaha!!!Angalia avatar utapata jibu
Simtishi angalia huo ushungi wangu utapata majibu
Sawa sawa niko hapa Juba karibia na kitongoji kimoja kinaitwa Torit
DA kwa hiyo wewe ni Ustadhat? ha ha ha sasa South Sudan wafanya nini
Kazi ndugu yangu si unajua kutafuta tena. Yah mie ni Ustaadhat
<br />Hahahahah hata Ugunja ni hivyo!
Inshalah nakutakia Ramadhan Kareem
funga swaumu bana!