Swaumu yanitesa!

Swaumu yanitesa!

Wakuu mabibi na Mabwana!<br />
<br />
Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku Zenji hata Migahawa inafunguliwa baada ya futuru. Inshallah nitarudi baada ya mfungo kwisha.<br />
<br />
Karibuni Zenji
<br />
<br />
umenikumbusha mbali sana,mambo yakutwa kobe,hii niliiexperience sana tanga digo land kule horohoro,duga,zingibari,moa,mwakijembe,mtimbwani,maramba nk,walituita makobe sisi ambao hatujafunga.jioni unaletewaBEMBE na binti wa kidigo kolekole wa kukaanga au sewa,mkono wa tembo,mababuji na vibibi plus tambi,chai ya iliki na uji wa pilipili,we acha mambo ya mfungo,ukigonga futari unafidia na mchana,baada ya futari ni msururu wa watu kwenda pwani(wangwani)kujisaidia no choo hapo ni mwendo wa kujisaidia kwenye mikoko,kutawaza baharini,pwani nomaaaaa!
 
<br />
<br />
umenikumbusha mbali sana,mambo yakutwa kobe,hii niliiexperience sana tanga digo land kule horohoro,duga,zingibari,moa,mwakijembe,mtimbwani,maramba nk,walituita makobe sisi ambao hatujafunga.jioni unaletewaBEMBE na binti wa kidigo kolekole wa kukaanga au sewa,mkono wa tembo,mababuji na vibibi plus tambi,chai ya iliki na uji wa pilipili,we acha mambo ya mfungo,ukigonga futari unafidia na mchana,baada ya futari ni msururu wa watu kwenda pwani(wangwani)kujisaidia no choo hapo ni mwendo wa kujisaidia kwenye mikoko,kutawaza baharini,pwani nomaaaaa!

Hahahahah hata Ugunja ni hivyo!
 
Hahahahah hata Ugunja ni hivyo!
<br />
<br />
we acha tu!tuliteseka sana tulipopata nyumba yenye choo tulimshukuru mungu,ilipokuwa inafika jion wenyeji wenyewe wadigo hawatumii choo wanadai kuna majini,wengine hata kama kwao choo kipo hakitumii wanadai raha kunya baharini,wasiokuwa na vyoo wakiambiwa wajenge wanadai hawana hela za kuchezea,hawawezi kuyajengea mavi nyumba,yaani digo ni tabu tupu,nafikiri shule nayo ni tatizo asilimia kubwa watu hawajenda shule wengi ni wavuvi.
 
Back
Top Bottom