Sweden kuwafukuza kwa nguvu watu wenye asili ya Iraq

Sweden kuwafukuza kwa nguvu watu wenye asili ya Iraq

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
IMG_20241010_005052.jpg
Sweden leo itatuma ndege pamoja yenye watu wenye asili ya Iraq Kwenda Iraq ambao WATAFUKUZWA KWA NGUVU (deportation) kutoka Sweden hadi Iraq. Baadhi ya Wairaq ambao watafukuzwa leo wamekuwa wakiishi Uswidi kwa miaka 17.

Sweden imechukua hatua hizi baada ya kuona watoto wao wanabakwa kila siku , mashambulizi ya kigaidi na uchomaji wa makanisa yao ya asili ukiendelea kutokana na hawa wahamiaji haramu! Pili baadhi ya nchi 53 za Afrika zimeongezewa mashart kupata visa Kwenda Sweden, isipokuwa nchi Tatu Tu, Rais wa Tanzania , Botswana na Kenya ndo mashart yamebaki yale Yale Je, unaunga mkono hatua hii kutoka Uswidi?
 
Mtu unatoka Nchini kwako unaenda kwenye Nchi ya watu Makafiri wenye ranch za nguruwe kila kona na supermarket zilizojaa hizo Haram, Bar kila kona na kila aina ya kilevi kipo, Viwanda vya kurekodi Pornograph, Night Clubs n.k unaacha kwenda kwenye nchi zenye Waislam zinazoongozwa na Sharia za Kiislam 🤣🤣🤣

Mbaya zaidi, unapeleka sheria na tamaduni zako kuanzia mavazi n.k 🤣🤣

Ukiondolewa Unalalamika na kulialia

Si Mrudi Iraq? Si kuna Lebanon, Egypt, Saudi Arabia, Oman na Yemen?

Mnatafuta nini kwa Wagalatia??
 
View attachment 3120461Sweden leo itatuma ndege pamoja yenye watu wenye asili ya Iraq Kwenda Iraq ambao WATAFUKUZWA KWA NGUVU (deportation) kutoka Sweden hadi Iraq. Baadhi ya Wairaq ambao watafukuzwa leo wamekuwa wakiishi Uswidi kwa miaka 17.

Sweden imechukua hatua hizi baada ya kuona watoto wao wanabakwa kila siku , mashambulizi ya kigaidi na uchomaji wa makanisa yao ya asili ukiendelea kutokana na hawa wahamiaji haramu! Pili baadhi ya nchi 53 za Afrika zimeongezewa mashart kupata visa Kwenda Sweden, isipokuwa nchi Tatu Tu, Rais wa Tanzania , Botswana na Kenya ndo mashart yamebaki yale Yale Je, unaunga mkono hatua hii kutoka Uswidi?
unaweza kutuletea ushahidi wa kuchomwa kanisa moja tu huko Sweden ?? ninavyofahamu makanisa yanauzwa kwa waislamu huko sweden hayana watu


Source ya habari yako tafadhali au chuki zimewazidi ??
 
Mtu unatoka Nchini kwako unaenda kwenye Nchi ya Makafiri wenye ranch za nguruwe kila kona na supermarket zilizojaa hizo Haram, Bar kila kona na kila aina ya kilevi kipo, Viwanda vya kurekodi Pornograph, Night Clubs n.k unaacha kwenda kwenye nchi zenye Waislam zinazoongozwa na Sharia za Kiislam 🤣🤣🤣

Mbaya zaidi, unapeleka sheria na tamaduni zako kuanzia mavazi n.k 🤣🤣

Ukiondolewa Unalalamika na kulialia

Si Mrudi Iraq? Si kuna Lebanon, Egypt, Saudi Arabia, Oman na Yemen?

Mnatafuta nini kwa Wagalatia??

Nchi ipi ni ya wagalitia ??

Wewe tumekuzoea

Makanisa yanauzwa Sweden na kugeuzwa misiskiti
 
unaweza kutuletea ushahidi wa kuchomwa kanisa moja tu huko Sweden ?? ninavyofahamu makanisa yanauzwa kwa waislamu huko sweden hayana watu


Source ya habari yako tafadhali au chuki zimewazidi ??
Hapo Zanzibar tu tumeshuhudia makanisa yakichomwa, au napo tuna chuki kusema mnachoma makanisa na kuwapiga wasiotii imani yenu?
 
Wakaanza kudai na shuleni menu zibadilishwe, nguruwe wasiwepo kwenye menu.

Wakaulizwa Mnataka tufuate utamaduni wenu?
Juzi wamezingua Canada, wakaanza kudai kitimoto iondolewe katika orodha ya vyakula mashuleni. Serikali ikawajibu wawe na nidhamu na tamaduni na taratibu za watu. Kama wameukuta huo utaratibu wana wajibu wa kuufuata, kama hawawezi wanaweza wakaondoka.
 
Back
Top Bottom