Sweden: Nakala ya Quran yachomwa moto na kudhihakiwa mbele ya Kasri la Mfalme

Sweden: Nakala ya Quran yachomwa moto na kudhihakiwa mbele ya Kasri la Mfalme

Mimi si Mkamilifu sana ila nasema toka ya Moyoni hao Wasweeden watapata Majanga ya asili mpk wachakae ni suala la muda tuh.
Kudhihaki dini/Imani ya mtu ni jambo baya sana aisee. 😭 😭

Tena nahisi hilo Kasri litapigwa tetemeko/Kimbunga and the likes lote litabomoka na kutatokea vifo vingi sana vya wananchi na maelfu ya wananchi watapoteza sehemu za makazi.

Siyo jambo zuri kukashifu/kudhalilisha dini/iman ya mtu.

NOTE: Mod Hii comment msiifute hakika itatupa ushahidi huko mbeleni ni Nini Mungu alifanya kwa Sweeden baada ya Maovu yao ya kudhihaki dini ya Uislam kwa kuchana vitabu vyao.

Wallau Allam🙏🙏🙏🙏
Relax...!
Naona umekuwa na hasira kuliko Mungu wako😅
Huyo Mungu Anaweza akaamua kuwasamehe na maisha yakaendelea...Usimpangie.
 
Kama ni nakala yako halafu akaja mtu kuichoma basi huo utakuwa ni wizi na itahesabika ni kosa

Lakini kama umenunua nakala yako na ukaichoma, hiyo haiwezi kuwa kosa na wala hakuwezi kuwa na adhabu.
 
Mimi si Mkamilifu sana ila nasema toka ya Moyoni hao Wasweeden watapata Majanga ya asili mpk wachakae ni suala la muda tuh.
Kudhihaki dini/Imani ya mtu ni jambo baya sana aisee. [emoji24] [emoji24]

Tena nahisi hilo Kasri litapigwa tetemeko/Kimbunga and the likes lote litabomoka na kutatokea vifo vingi sana vya wananchi na maelfu ya wananchi watapoteza sehemu za makazi.

Siyo jambo zuri kukashifu/kudhalilisha dini/iman ya mtu.

NOTE: Mod Hii comment msiifute hakika itatupa ushahidi huko mbeleni ni Nini Mungu alifanya kwa Sweeden baada ya Maovu yao ya kudhihaki dini ya Uislam kwa kuchana vitabu vyao.

Wallau Allam[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Kama laana na Albadir zingekua zinafanya kazi. Basi bush na Tony blear wangeshakua vichaa kwa hizo Albadir walizo somewa na waarabu.
 
Hapo zamani za kale, uchapishaji wa nakala za vitabu ilikuwa ni issue ngumu inayohitaji muda na mali. Waliandika Kwa mkono wenye kitabu chao walidhani Dunia haita badirika kiteknologia wakaweka masharti makali ya kutisha watu kukiogopa kitabu na wengine wamemeza hivyo hivyo Hadi Karne ya Sasa ya maendeleo kitechologia. Hata wachome vyote Quruan haita potea kamwe katika ulimwengu huu wa digitalization na kuna watu wamekimeza hicho kitabu chote.

Hakuna haja ya makasiriko wawaache tu mwisho wataona ujinga. Zaidi waweke nguvu kwenye kuprint kopi nyingi zaidi na wazigawe bure au app zaidi
 
Quran so ndio ina roga watu wawe machozi mwenye Aya ya albadili? Mzungu harogeki
 
Mimi si Mkamilifu sana ila nasema toka ya Moyoni hao Wasweeden watapata Majanga ya asili mpk wachakae ni suala la muda tuh.
Kudhihaki dini/Imani ya mtu ni jambo baya sana aisee. 😭 😭

Tena nahisi hilo Kasri litapigwa tetemeko/Kimbunga and the likes lote litabomoka na kutatokea vifo vingi sana vya wananchi na maelfu ya wananchi watapoteza sehemu za makazi.

Siyo jambo zuri kukashifu/kudhalilisha dini/iman ya mtu.

NOTE: Mod Hii comment msiifute hakika itatupa ushahidi huko mbeleni ni Nini Mungu alifanya kwa Sweeden baada ya Maovu yao ya kudhihaki dini ya Uislam kwa kuchana vitabu vyao.

Wallau Allam🙏🙏🙏🙏
Uturuki mji ulisawazishwa na tetemeko na wenyewe walichoma quran
 
JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????
 
Waislamu kwenye issue kama hizi Huwa nawashangaa sana, Kuna jamaa nimelionyesha hii habar eti limekasirika linataka kulia aisee!!
 
Hao ni njaa na matamanio ndio yanayowaponza. Lengo lao wakishafanya hivyo na wakishaharibu wanapata kigezo cha kupata kibali cha ukimbizi huko Sweden wakiegemea sababu ya kutishiwa kuuawa.
Tayari mmoja ana uraia toka 2021 na mwingine ana permanent resident mkuu. Wairaq wakorofi sana
 
baadhi ya watu wanapenda namna waislam wana act kama kunguru so wanapenda kuwachezea.

kwa sisi watu wa mtaani kuna dhana kwamba ukipewa jina la utani ukalichukia lazima likunate,kila mtu ataendelea kukuita,ila ukicheka ukakausha ndio linafia hapo hapo.

kuchana kitabu cha dini,hakuna athali zozote kwa mchanaji,mwenye nacho(mungu),waumini wa kitabu hisika,wala watazamaji,kile ni kitabu tu,kinaweza hata kuchambiwa.
zaidi tu mchanaji anatakiwa ahurumiwe kwa kukosa busara.
Kabisa mkuu!
 
Mimi si Mkamilifu sana ila nasema toka ya Moyoni hao Wasweeden watapata Majanga ya asili mpk wachakae ni suala la muda tuh.
Kudhihaki dini/Imani ya mtu ni jambo baya sana aisee. 😭 😭

Tena nahisi hilo Kasri litapigwa tetemeko/Kimbunga and the likes lote litabomoka na kutatokea vifo vingi sana vya wananchi na maelfu ya wananchi watapoteza sehemu za makazi.

Siyo jambo zuri kukashifu/kudhalilisha dini/iman ya mtu.

NOTE: Mod Hii comment msiifute hakika itatupa ushahidi huko mbeleni ni Nini Mungu alifanya kwa Sweeden baada ya Maovu yao ya kudhihaki dini ya Uislam kwa kuchana vitabu vyao.

Wallau Allam🙏🙏🙏🙏
Iliwahi kutokea wapi
 
Back
Top Bottom