Sweta la baba yangu lenye historia ya maisha yangu

Sweta la baba yangu lenye historia ya maisha yangu

Wazee wetu walikua na misimamo na wakina mama pia walipata malezi Bora ya ndoa,ndoa ilikua kitu Cha thamani sio Sasa ndoa fashion uliemuoa tayari ashapitiwa na wazee umri wa babako mwanamke dizaini hiyo awezi kukuheshimu.
SAhihi kabisa
 
Mama angu naye alikua mtata sana plus usomi hakutaka kuleta unyonge akapiga chini mtoto na baba yake 😂😂😂


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Alijionea isiwe tabu...kuna muda huwa nahis labda hakunipenda may be ndio maana aka give up on me easly.!!
 
hongera sana mkuu endelea kuwa thamini hao ni ndugu zako pia huyo dada ako usimtupe.mimi pia nimelelewa na mama wakambo nashukuru mpaka nimekua,mama angu nimekuja kumjua baada ya kujitambua ,namheshimu kama mama angu mzazi lakini mapenzi yangu yote yapo kwa mama wakambo coz njaa tulishinda wote, baba angu ni dizain ya baba ako,baada ya kuoa wanawake wawili ,akaona wana anza kumchanganya mara wamroge, akachanganyiwa aka amua achukue uamuzi mgumu,akafukuza wake wote ,tukabaki watoto wa mke mkubwa na mdogo. baadae akaoa mke mwingine ndo tukalelewa na huyu mama mpaka tumekua na kujielewa na watoto wote tumesomeshwa.nakuja kujuana na maza mzazi ana anza kupakaza sumu ohh babayenu mbaya, nikicheki katelekezwa na kazalishwa na wazee wa kihuni.nakuja kusimuliwa na dingi kipindi cha mimba yangu waligombana akataka anywe mafuta ya moto aitoe, nawa shangaa wanao sema nani kama mama, baba wanashindwa kumpa maua yake.nani kama mama ambaye anatupa mtoto chooni,nani kama mama ambaye yuko radh atoe mimba pale anapogombana
 
Nimependa story yako.....ndoa za zamani zilikua na uvumilivu usio kuwa na mfano, sipati picha wanawake sie wa leo nna kichanga ndani baba aje na kichanga kingine dah!!!
Moto lazima uwake tuuu hakuna namna
 
hongera sana mkuu endelea kuwa thamini hao ni ndugu zako pia huyo dada ako usimtupe.mimi pia nimelelewa na mama wakambo nashukuru mpaka nimekua,mama angu nimekuja kumjua baada ya kujitambua ,namheshimu kama mama angu mzazi lakini mapenzi yangu yote yapo kwa mama wakambo coz njaa tulishinda wote, baba angu ni dizain ya baba ako,baada ya kuoa wanawake wawili ,akaona wana anza kumchanganya mara wamroge, akachanganyiwa aka amua achukue uamuzi mgumu,akafukuza wake wote ,tukabaki watoto wa mke mkubwa na mdogo. baadae akaoa mke mwingine ndo tukalelewa na huyu mama mpaka tumekua na kujielewa na watoto wote tumesomeshwa.nakuja kujuana na maza mzazi ana anza kupakaza sumu ohh babayenu mbaya, nikicheki katelekezwa na kazalishwa na wazee wa kihuni.nakuja kusimuliwa na dingi kipindi cha mimba yangu waligombana akataka anywe mafuta ya moto aitoe, nawa shangaa wanao sema nani kama mama, baba wanashindwa kumpa maua yake.nani kama mama ambaye anatupa mtoto chooni,nani kama mama ambaye yuko radh atoe mimba pale anapogombana
Aisee...Hiv kumbe hiz background zetu wengi huwa kwa namnaa moja au nyingine ni rahis kukuta zinaendana endana.Ni ngumu sana kukuta mtu una background history ya peke ako completelly..
Big up mkuu!.
 
Aisee...Hiv kumbe hiz background zetu wengi huwa kwa namnaa moja au nyingine ni rahis kukuta zinaendana endana.Ni ngumu sana kukuta mtu una background history ya peke ako completelly..
Big up mkuu!.
asante mkuu,ndoivo MUNGU ni mwema,kila hali anayopitia mtu ujue kuna mwingine anapitia hali kama hiyo
 
Back
Top Bottom