and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Babu Tale ana CPA usimchukulie poaAssume hao wote wameunda kamati Ya Ukaguzi wa hesabu za serikali (PAC) huku Mwenyekiti wa kamati hio ni Babu tale.
Unapata bunge la kisayansi hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu Tale ana CPA usimchukulie poaAssume hao wote wameunda kamati Ya Ukaguzi wa hesabu za serikali (PAC) huku Mwenyekiti wa kamati hio ni Babu tale.
Unapata bunge la kisayansi hapo.
Labda ukimaanisha Certified Public Actor.Babu Tale ana CPA usimchukulie poa
Kwani wabunge wa cuf mikutano Yao hufanyia mjengo tofauti!?Kingwendu yupo CUF
Kingwendu anagombea ilala.Acha mbwembwe kingwendu amshinde Seleman Jaffo?
Sio mbwembwe kaulize kisaraweAcha mbwembwe kingwendu amshinde Seleman Jaffo?
Imagine....
Hapa Mpoki... Pale Gwajima.... Kule Steve Nyerere...
Acha mbwembwe kingwendu amshinde Seleman Jaffo?
Elimu anayo ya hapa na paleTatizo hana shule,angekuwa na shule hata u DAS au u DED angepata.
Huyu ataziba pengo la rip John Komba!Kumekuchaa kumekuchaa
Ndugulile ameshachukua!Vipi dokta mmemnyima form nini?
Msanii wa uchekeshaji Mpoki amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Kigamboni.
Katika kura za maoni atachuana na Makonda aliyekuwa mkuu wa mkoa wa DSM.
Maendeleo hayana vyama!
======
Mchekeshaji na Mtangazaji,Sylvester Mujuni maarufu kwa jina la Mpoki leo Alhamis 16.7.2020, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.
View attachment 1508593