Sylvia Mulinge back at Safaricom after Tanzania blocks appointment

Kwa hiyo kumbe kuna ka bifu ka chini chini[emoji23]
 

that's your assertion. for our side, no one is thinking to ruin her carrier. this's why, we have zero effects to her if you give bigger salary than Uhuru. hata mkimpa urais sisi hatumo. hayo ni YENU.
 

inabidi ujichunguze kwa unyoofu bila kujipendela wala kujionea, kwa NINI wewe tu.
 
Maybe they are not professionals.
Heri hivyo hawakuja maana wangeua wakenya wengi in the name of treating them. Ile chuki mko nayo dhidi ya wakenya haina kifani.
sasa huyu silvia ambaye kitaaluma ni nutritionist ndo mliona anafaa kuongoza telcom company? nani kawaambia vodacom kuna restaurant?
Sio mulinge pekee aliyekosa sifa wapo mining engeneers kutoka urusi wamekataliwa pia kwa kigezo kilekile cha kukosa sifa
 
that's your assertion. for our side, no one is thinking to ruin her carrier. this's why, we have zero effects to her if you give bigger salary than Uhuru. hata mkimpa urais sisi hatumo. hayo ni YENU.

I bet she was earning more than Uhuru's salary and will continue earning more.
Which makes me continue wondering how "you have finished her".
 
Sijawahi kuona ubaya wa wakenya kufanya kazi tz maana hata sisi kama tutakuwa na elimu nzuri tutawashinda na kuchukua kazi zote
 
I bet she was earning more than Uhuru's salary and will continue earning more.
Which makes me continue wondering how "you have finished her".

Ahaaa haaa haaa
naona inakuuma bro, usiumie MAANA maisha ni popote bro. na hiyo siyo mwisho wa carrier au maisha yake. so broda calm down.
 
Pambaneni na hali zenu
 
Hao ndio wakenya walivyo, wakifanya wao ni sawa ila wakifanya watu wengine utasikia wakilalamika kama a woman in bed, roho mbaya na ubinafsi ndio kinachowasumbua
 
Lakini nanyinyi simliwakataa madaktari kutoka Tanzania kwa kigezo kenya ina madaktari wakutosha, sasa tabu iko wapi?
Hao ndio wakenya walivyo, wakifanya wao ni sawa ila wakifanya watu wengine utasikia wakilalamika kama a woman in bed, roho mbaya na ubinafsi ndio kinachowasumbua
 
Nani asiyejua kuwa ni agent wa serikali ya Kenya? yaani aje kuffanya kazi maalumu ya kudukua mawasiliano yetu? arudi hukohuko na masafari kom yenu sisi tume ngashtuka msee!!
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…