Syria miaka ya 1970s kabla wapuuzi hawajachukua nchi

Syria miaka ya 1970s kabla wapuuzi hawajachukua nchi

Maelezo yake hayajakamilika
Maana Baathists wanaitawala Syria tokea mwaka 1963. Na Hafez Al Assad kawa rais kuanzia mwaka 1971 mpaka kifo chake mwaka 2000. Alipokufa Hafez, Abdul-Halim Khaddam akawa rais wa mpito kwa mwezi mmoja, kisha Bashar Al Assad, mwanae Hafiz, akachaguliwa kuwa rais na ndio rais tokea Julai 2000 mpaka leo.
 
Hata Somalia ni hivyo hivyo na lazima ufunike mpaka macho, na nasikia wanalipa 2 taxes kwa serikali na Al- Shabab
 
Hawa ni watu ambao hawana kazi, wana udini na chuki muda wote kiasi kwamba muda wote anawaza udini tu. Watu wa aina hii hata uwezo wao wa kufikiri na akili huwa wa chini.
Sio udini, mnaonyeshwa udini na ukabila unavyoweza kuwarudisha stone age
 
Hawa ni watu ambao hawana kazi, wana udini na chuki muda wote kiasi kwamba muda wote anawaza udini tu. Watu wa aina hii hata uwezo wao wa kufikiri na akili huwa wa chini.
Sure bro
 
Kwani wakati huo Syria ilikuwa inatawaliwa na nani na sasa wanatawala nani?
Kipindi hicho Syria ilikuwa ni nchi yenye viongozi wanaoheshimu dini zote na kuwatreat raia wake wote kwa usawa. Viongozi walikuwa wana-focus na mambo muhimu siyo kulazimishana kuvaa hijabu na kanzu.
 
Kipindi hicho Syria ilikuwa ni nchi yenye viongozi wanaoheshimu dini zote na kuwatreat raia wake wote kwa usawa. Viongozi walikuwa wana-focus na mambo muhimu siyo kulazimishana kuvaa hijabu na kanzu.
Ni mtawala gani wa Syria tokea mwaka 1963 kalazimisha watu kuvaa hijab na kanzu? Unajua kuwa baathists ni masekula kabisa? Unajua kuwa akina Assad mbali na kuwa ni baathists ni ma Nusayri ambao sio Waislam? Nina mashaka na uelewa wako kuhusiana na akina Assad na baathists kwa ujumla. Japo najua wewe ni Islamophobe humu. Na umekurupuka kuleta uzi huu kwa ujinga ili uushambulie Uislam lakini ndio hivyo huelewi mambo.
 
Ni mtawala gani wa Syria tokea mwaka 1963 kalazimisha watu kuvaa hijab na kanzu? Unajua kuwa baathists ni masekula kabisa? Unajua kuwa akina Assad mbali na kuwa ni baathists ni ma Nusayri ambao sio Waislam? Nina mashaka na uelewa wako kuhusiana na akina Assad na baathists kwa ujumla. Japo najua wewe ni Islamophobe humu. Na umekurupuka kuleta uzi huu kwa ujinga ili uushambulie Uislam lakini ndio hivyo huelewi mambo.
Ndugu yangu naomba unileteee video ya syria 2003 kabla haujaaniita islamophobe. Mimi sichukii uislamu bali yliyeleta uislamu afrika. Hizi dini sio zetu labda wewe mwenzangu Mwarabu .
 
Ni mtawala gani wa Syria tokea mwaka 1963 kalazimisha watu kuvaa hijab na kanzu? Unajua kuwa baathists ni masekula kabisa? Unajua kuwa akina Assad mbali na kuwa ni baathists ni ma Nusayri ambao sio Waislam? Nina mashaka na uelewa wako kuhusiana na akina Assad na baathists kwa ujumla. Japo najua wewe ni Islamophobe humu. Na umekurupuka kuleta uzi huu kwa ujinga ili uushambulie Uislam lakini ndio hivyo huelewi mambo.
Nakuletea nyingine wanawake wakiandamana kupinga sera ya kulazimishwa kuvaa hijab ya Ayatollah Khomeini Iran 1979 . Tatizo mnakazia vitu visivyo na umuhimu ndio maana hamuendelei.
1730554518500.png
 
Back
Top Bottom