Syria miaka ya 1970s kabla wapuuzi hawajachukua nchi

Syria miaka ya 1970s kabla wapuuzi hawajachukua nchi

People had normal lives.

Hizi itikadi zinaharibu sana mambo mengi
 
Iran inayokazania dini imezidiwa nini na tanzania isiyokazania dini?
Ndugu yangu Iran aliyekazia dini amewazidi nini wazungu ambao hawaswali mara tano kwa siku na hawaendi kuhiji ? Na bado ndugu zao wairan (wapalestina)kila kukicha wanauliwa kama mbwa na wayahudi ambao wapo hapo toka mwaka 1947. allah yupo wapi ? Kuna umuhimu wa kuswali mara tano kwa siku ? Nisaidie ndugu yangu. Hizi dini tumeletewa labda mwenzangu wewe ni mwarabu.
 
Ndugu yangu Iran aliyekazia dini amewazidi nini wazungu ambao hawaswali mara tano kwa siku na hawaendi kuhiji ? Na bado ndugu zao wairan (wapalestina)kila kukicha wanauliwa kama mbwa na wayahudi ambao wapo hapo toka mwaka 1947. allah yupo wapi ? Kuna umuhimu wa kuswali mara tano kwa siku ? Nisaidie ndugu yangu. Hizi dini tumeletewa labda mwenzangu wewe ni mwarabu.
Piga haoo
 
Nadhani kachanganya na Iran..

Wakati utawala wa Mfalme Shah nchi ilikuwa na taswira ya kimagharibi!
Kipindi cha shah Iran ilikua imeachwa Mbali na Tanzania, mtu yoyote abayetetea utawala wa Shah hajui Historia ya Iran, ni kama Vile mtu aje Tanzania aende Masaki akapige picha kadhaa halafu baada ya Miaka 50 aseme Tanzania ya Zamani ilikua nzuri sana wakati Nchi inanuka umasikini na ukosefu wa Elimu.
 
Ndugu yangu Iran aliyekazia dini amewazidi nini wazungu ambao hawaswali mara tano kwa siku na hawaendi kuhiji ? Na bado ndugu zao wairan (wapalestina)kila kukicha wanauliwa kama mbwa na wayahudi ambao wapo hapo toka mwaka 1947. allah yupo wapi ? Kuna umuhimu wa kuswali mara tano kwa siku ? Nisaidie ndugu yangu. Hizi dini tumeletewa labda mwenzangu wewe ni mwarabu.
Ayatollah wanachukua Nchi asilimia 24 tu ya wanawake ndio walikua wamesoma,
Literacy Rate 76 16.jpg

For comparison Tanzania literacy rate ilikua karibia 90%

Sasa hivi sio Tu wanawake wa Iran wamesoma bali inaongoza Dunia nzima kwa Ratio ya wanawake wanaosoma masomo Ya STEM (science, technology, engineer na mathematics) asilimia 70 ya wasomi wa Iran ni wanawake.

Toka karne hii ya 21 ianze hakuna Nchi iliopiga hatua kisayansi kushinda wao, Wanashika nafasi ya 20 Duniani sasa hivi na uki compare na Ulaya ni zile tu nchi chache za magharibi kama Uingereza, Ufaransa, Ujerumani etc ndio Zimempita Iran ila nchi zote za mashariki ama baadhi za magharibi kama Ubelgiji, Ureno, Romania, Bulgaria, Serbia etc zimeshaachwa Tayari na Iran.

Maendeleo ya Iran na kasi yao ya kukua Kitechnology japo wamewekwa vikwazo yanazitisha nchi nyingi za magharibi hence propaganda, kutumia mazombie wao kama nyie mje kubwabwaja humu.

In reality asilimia 99.999% ya Watanzania wangetamani tuwe kama Iran ya leo.
 
Ndugu yangu Iran aliyekazia dini amewazidi nini wazungu ambao hawaswali mara tano kwa siku na hawaendi kuhiji ? Na bado ndugu zao wairan (wapalestina)kila kukicha wanauliwa kama mbwa na wayahudi ambao wapo hapo toka mwaka 1947. allah yupo wapi ? Kuna umuhimu wa kuswali mara tano kwa siku ? Nisaidie ndugu yangu. Hizi dini tumeletewa labda mwenzangu wewe ni mwarabu.
Kwa nini uwapime na wazungu na si wewe mtanzania au africa?..wasingekua wanaswali,wangewazidi marekani na ulaya?..kinachowafanya wawe nyuma ya marekani ni kuswali?..nyinyi tz/africa hamkomalii dini,mbona mpo nyuma ya wazungu?
 
Kwa nini uwapime na wazungu na si wewe mtanzania au africa?..wasingekua wanaswali,wangewazidi marekani na ulaya?..kinachowafanya wawe nyuma ya marekani ni kuswali?..nyinyi tz/africa hamkomalii dini,mbona mpo nyuma ya wazungu?
Ndio nikuulize kwa nini Mungu wa wazungu ndioana nguvu kuliko Mungu wa Waarabu ?Huko juu nimetuma uthibitisho kuwa wankipunguza kuswali watafanikiwa. Si umeangalia huko juu watu wangapi wamevaa kanzu ? Watu wangapi wamevaa hijabu ?
 
Kuna jamaa nilimsikia mahali anasema kiongozi wa UAE anaharibu ile nchi since amelegeza baadhi ya sheria ili ziwape favoe watu wa imani zote.

Kuna baadhi ya waumini wanaamini ukiamua kuongoza nchi yako kwa amani na upendo basi wewe hufai.

Furaha yao ni kuona nchi ina migogoro kama Iran, Syria, Yemen na wengine wengi tu.

Saudi Arabia taratibu anaukimbia huu mtego.
 
Nakuletea nyingine wanawake wakiandamana kupinga sera ya kulazimishwa kuvaa hijab ya Ayatollah Khomeini Iran 1979 . Tatizo mnakazia vitu visivyo na umuhimu ndio maana hamuendelei.View attachment 3141564
Mara Syria, mara Iran. Au hujui tofauti ya hizo nchi? Au ndio unataka kubishana? Nakuona unaruka ruka tu. Vitu kama huelewi kaa kimya au uliza. Ila ndio hivyo chuki dhidi ya Uislam zinakusukuma na mambo yenyewe hata huelewi.
 
Mara Syria, mara Iran. Au hujui tofauti ya hizo nchi? Au ndio unataka kubishana? Nakuona unaruka ruka tu. Vitu kama huelewi kaa kimya au uliza. Ila ndio hivyo chuki dhidi ya Uislam zinakusukuma na mambo yenyewe hata huelewi.
Siyo chuki ndugu yangu naongea ukweli. Naomba uniambie mwarabu ameifanyia nini Tanzania zaidi ya kujenga misikiti na visima vya maji kwa ajili ya kutawadhia ?
 
Siyo chuki ndugu yangu naongea ukweli. Naomba uniambie mwarabu ameifanyia nini Tanzania zaidi ya kujenga misikiti na visima vya maji kwa ajili ya kutawadhia ?
Tumeshatoka Syria na Iran tunakuja Tanzania sasa sio? Huoni kwamba huna cha kusimamia mpaka unaruka ruka? Unaulizwa kuhusu Syria, mada umeanzisha mwenyewe unarukia waarabu wameisaidia nini Tanzania? Komaa katika uzi wako, usiruke ruke. Usiurefushe uzi wako kwa hoja zisizohusiana.

Nilikuuliza miaka ya 70 Syria ilitawaliwa na nani na sasa inatawaliwa na nani?
 
Tumeshatoka Syria na Iran tunakuja Tanzania sasa sio? Huoni kwamba huna cha kusimamia mpaka unaruka ruka? Unaulizwa kuhusu Syria, mada umeanzisha mwenyewe unarukia waarabu wameisaidia nini Tanzania? Komaa katika uzi wako, usiruke ruke. Usiurefushe uzi wako kwa hoja zisizohusiana.

Nilikuuliza miaka ya 70 Syria ilitawaliwa na nani na sasa inatawaliwa na nani?
Nimekuambia niletee picha ya Syria za miaka ya 2000 upo kimya
 
Hawa ni watu ambao hawana kazi, wana udini na chuki muda wote kiasi kwamba muda wote anawaza udini tu. Watu wa aina hii hata uwezo wao wa kufikiri na akili huwa wa chini.
Unamuongelea Ustaadh Abubakar Chalamila?
 
Kuna jamaa nilimsikia mahali anasema kiongozi wa UAE anaharibu ile nchi since amelegeza baadhi ya sheria ili ziwape favoe watu wa imani zote.

Kuna baadhi ya waumini wanaamini ukiamua kuongoza nchi yako kwa amani na upendo basi wewe hufai.

Furaha yao ni kuona nchi ina migogoro kama Iran, Syria, Yemen na wengine wengi tu.

Saudi Arabia taratibu anaukimbia huu mtego.
Saudi Arabia kabla haija"kimbia mtego" kama unavyodai na UAE kabla "hawajalegeza sheria" kama unavyodai walikuwa na vita gani na umasikini wao unaulinganisha/ungeulinganisha na nchi gani katika nchi za duniani?



Allah azilinde nchi zote za Kiislam ikiwemo Saudia na UAE na awaongoze watawala wake. Na azipe amani zilizoondokewa na amani.
 
Saudi Arabia kabla haija"kimbia mtego" kama unavyodai na UAE kabla "hawajalegeza sheria" kama unavyodai walikuwa na vita gani na umasikini wao unaulinganisha/ungeulinganisha na nchi gani katika nchi za duniani?



Allah azilinde nchi zote za Kiislam ikiwemo Saudia na UAE na awaongoze watawala wake. Na azipe amani zilizoondokewa na amani.
Ndugu yangu huyo Saudia Marekani ana kambi tano za jeshi nchini mwake na huyo huyo Mmarekani ndiyo anasaidia waisraeli kuna kutoboa hapo ? Kama Saudia anashindwa kumsaidia mpalestina uislamu wa mwarabu utakusaidia kweli ?
 
Back
Top Bottom