Syria miaka ya 1970s kabla wapuuzi hawajachukua nchi

Syria miaka ya 1970s kabla wapuuzi hawajachukua nchi

Syria miaka ya 70s
1730715886336.png

1730715900367.png

1730715910742.png

1730715919643.png

1730715931561.png

1730715950962.png

1730715959707.png

1730715968634.png

1730715983017.png
 
Ndugu yangu huyo Saudia Marekani ana kambi tano za jeshi nchini mwake na huyo huyo Mmarekani ndiyo anasaidia waisraeli kuna kutoboa hapo ? Kama Saudia anashindwa kumsaidia mpalestina uislamu wa mwarabu utakusaidia kweli ?

Nimekuuliza aliyetawala Syria ni nani miaka ya 70 na anayetawala sasa ikiwemo hiyo miaka ya 2000 ni nani?

Au kama huelewi ngoja niweke hivi; nitajie kila aliyetawala Syria kuanzia mwaka 1963 mpaka leo.
 
Back
Top Bottom