Madwari Madwari JF-Expert Member Joined Sep 16, 2014 Posts 1,825 Reaction score 3,085 Nov 4, 2024 Thread starter #41 Syria miaka ya 70s
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Nov 4, 2024 #42 Madwari Madwari said: Syria miaka ya 1970s kabla wapuuzi hawajachukua nchi. π π π π View attachment 3134682 Click to expand... Kwa hapa kwetu ni 2000+
Madwari Madwari said: Syria miaka ya 1970s kabla wapuuzi hawajachukua nchi. π π π π View attachment 3134682 Click to expand... Kwa hapa kwetu ni 2000+
A Abu Miqdad Senior Member Joined Mar 24, 2024 Posts 147 Reaction score 198 Nov 4, 2024 #43 Madwari Madwari said: Ndugu yangu huyo Saudia Marekani ana kambi tano za jeshi nchini mwake na huyo huyo Mmarekani ndiyo anasaidia waisraeli kuna kutoboa hapo ? Kama Saudia anashindwa kumsaidia mpalestina uislamu wa mwarabu utakusaidia kweli ? Click to expand... Nimekuuliza aliyetawala Syria ni nani miaka ya 70 na anayetawala sasa ikiwemo hiyo miaka ya 2000 ni nani? Au kama huelewi ngoja niweke hivi; nitajie kila aliyetawala Syria kuanzia mwaka 1963 mpaka leo.
Madwari Madwari said: Ndugu yangu huyo Saudia Marekani ana kambi tano za jeshi nchini mwake na huyo huyo Mmarekani ndiyo anasaidia waisraeli kuna kutoboa hapo ? Kama Saudia anashindwa kumsaidia mpalestina uislamu wa mwarabu utakusaidia kweli ? Click to expand... Nimekuuliza aliyetawala Syria ni nani miaka ya 70 na anayetawala sasa ikiwemo hiyo miaka ya 2000 ni nani? Au kama huelewi ngoja niweke hivi; nitajie kila aliyetawala Syria kuanzia mwaka 1963 mpaka leo.