SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,805
- 1,876
Kilio kikubwa kwa mafisadi kisicho na waombolezaji - Mtu unalia kimya kimya na kivyako, maana ukipiga kelele itabidi uulizwe nini kimekupata? .... Big up JPM na safu yako
Chadema imehusikaje?Utabakia tu na escrow saivi chadema hawana sera hizi ndio zilikua sera zenu ila saivi ni Zilipendwa
Nchi hiii ina maeneo mengi yanayofaa kwa kilimo; hao unaowaita "majizi" natumaini watakuwa na mitaji ya kwenda kufyeka mapori na kuanzisha kilimo cha biashara; wewe baki ukishangiliaHabari za chini ya kapeti ule usemi wa mzee wa kazi Magufuli kuwa anawaandalia majizi kifo cha mwisho ndani ya serikali sasa umekuwa kweli.
Habari za kuaminika kutoka ndani inasemekana serikali imeyapa mabank makubwa matatu hapa nchinibkufanya kazi ya agent wa serikali ktk kukusanya malipo yote ya serikali ndangu wilaya,miji,mikoa na taasisi zote za serikali.
Wale wahasibu walikuwa wakiandika virisiti fake nakuibia serikali sasa watafute kazi nyingine maana sasa malipo yote sasa yatafanyika bank na serikali itakuwa iki issue receipt tu.
Vile system itafanya itakuwa kama vile Tra inavyokusanya mapato yake kwa sasa ambapo kibank inaitwa tax banking ambapo tra wame link system yao ya malipo na sytem ya bank ambapo mtu akienda bank kulipa anaenda na reeip yenye ref number ambapo sio rahisi kubadilisha figure ie kama unalipa tzs 40,000/= bas teller anapo ingiza ref amount iliopo kwenye karatasi ndio inatokea no edit.
Aina hii ya system ni msumari wa mwisho kwenye jeneza la mafisadi ambapo hawato kuwa na uwezo wakuandika low est nakujilipa ama kufanya udanganyifu.
Inshort tutegeme vifo vingi vya presha maana no eazy money..
Shime Mh Rais.
Povu la Jizi ni kama wimbi la Tsunami.Nchi hiii ina maeneo mengi yanayofaa kwa kilimo; hao unaowaita "majizi" natumaini watakuwa na mitaji ya kwenda kufyeka mapori na kuanzisha kilimo cha biashara; wewe baki ukishangilia
Hela zinazokusanywa na kudhibitiwa mbona hazipunguzi makali ya maisha?Habari za chini ya kapeti ule usemi wa mzee wa kazi Rais Magufuli kuwa anawaandalia majizi kifo cha mwisho ndani ya Serikali sasa umekuwa kweli.
Habari za kuaminika kutoka ndani inasemekana Serikali imeyapa mabank makubwa matatu hapa nchini kufanya kazi ya agent wa Serikali ktk kukusanya malipo yote ya Serikali ndangu wilaya,miji,mikoa na taasisi zote za Serikali.
Wale wahasibu walikuwa wakiandika virisiti fake nakuibia Serikali sasa watafute kazi nyingine maana sasa malipo yote sasa yatafanyika bank na serikali itakuwa iki issue receipt tu.
Vile system itafanya itakuwa kama vile TRA inavyokusanya mapato yake kwa sasa ambapo kibank inaitwa tax banking ambapo tra wame link system yao ya malipo na sytem ya bank ambapo mtu akienda bank kulipa anaenda na reeip yenye ref number ambapo sio rahisi kubadilisha figure ie kama unalipa tzs 40,000/= bas teller anapo ingiza ref amount iliopo kwenye karatasi ndio inatokea no edit.
Aina hii ya system ni msumari wa mwisho kwenye jeneza la mafisadi ambapo hawato kuwa na uwezo wakuandika low est nakujilipa ama kufanya udanganyifu.
Inshort tutegeme vifo vingi vya presha maana no eazy money..
Shime Mh Rais.
awamu hii wameshikwa pabaya.Habari za chini ya kapeti ule usemi wa mzee wa kazi Rais Magufuli kuwa anawaandalia majizi kifo cha mwisho ndani ya Serikali sasa umekuwa kweli.
Habari za kuaminika kutoka ndani inasemekana Serikali imeyapa mabank makubwa matatu hapa nchini kufanya kazi ya agent wa Serikali ktk kukusanya malipo yote ya Serikali ndangu wilaya,miji,mikoa na taasisi zote za Serikali.
Wale wahasibu walikuwa wakiandika virisiti fake nakuibia Serikali sasa watafute kazi nyingine maana sasa malipo yote sasa yatafanyika bank na serikali itakuwa iki issue receipt tu.
Vile system itafanya itakuwa kama vile TRA inavyokusanya mapato yake kwa sasa ambapo kibank inaitwa tax banking ambapo tra wame link system yao ya malipo na sytem ya bank ambapo mtu akienda bank kulipa anaenda na reeip yenye ref number ambapo sio rahisi kubadilisha figure ie kama unalipa tzs 40,000/= bas teller anapo ingiza ref amount iliopo kwenye karatasi ndio inatokea no edit.
Aina hii ya system ni msumari wa mwisho kwenye jeneza la mafisadi ambapo hawato kuwa na uwezo wakuandika low est nakujilipa ama kufanya udanganyifu.
Inshort tutegeme vifo vingi vya presha maana no eazy money..
Shime Mh Rais.
Povu la Majizi ni Kama wimbi la Tsunami.Hela zinazokusanywa na kudhibitiwa mbona hazipunguzi makali ya maisha?
Unaweza kudhani napenda serikali iibiwe la hasha! sipendi niibiwe! kibaya zaidi huku nakejeliwa.
Hizo tutatoa keshi kama tulivyosonba zile za Escrow kwenye maboksi, lumbesa na mifuko ya sandarusi. Kupitisha bank noma si umeona wale waliosomba kupitia akaunti zao walivyoumbuka? Mpaka wachungaji wa kondoo wa Bwana wameaibika. Eti walisema ni sadaka sasa wanakabidhi serikalini. Hivi sadaka huwa inarudishwa? Hata kama ni ya jambazi ikienda madhabahuni imeenda Mola ndiye atakayeamua. Kwahoyo hizi za shughulia za kununua macouncillors na za kazi za wasiojulikana itakuwa keshi bin keshi. Yule mwingine tulimpitishia benki wajanja wakaziblock na kuibebaNa zile chapaa za wale madiwani wa Arusha zitapita huko!!
"wasiojulikana" mnaanza kujulikana.Na ndio maana MAJIZI kwa kutumia mwamvuli wa siasa yamehamia mitandaoni kutukana na kukejeli jitihada za Serikali Kuu.
Viva Tanzania.....A luta Continua.
Na misukule mnaanza kuweweseka."wasiojulikana" mnaanza kujulikana.
Kama ambavyo albadiri inavyowashugulikieni mubashara.Na misukule mnaanza kuweweseka.
Ugumu wa maisha utapambana nao mwenyewe ulikuwa unataka serikali ikuwekee pesa mfukoni serikali itakuwekea umeme, barabara, maji, hospital na miundombinu mingine hayo mengine ni juu yakoHela zinazokusanywa na kudhibitiwa mbona hazipunguzi makali ya maisha?
Unaweza kudhani napenda serikali iibiwe la hasha! sipendi niibiwe! kibaya zaidi huku nakejeliwa.
Ni kweli raia wa tanzania ni majizi wakubwa isipokuwa magufuli sio mwizi.Povu la Majizi ni Kama wimbi la Tsunami.
Ubarikiwe mbaraka wa isabela (jezebel)Ugumu wa maisha utapambana nao mwenyewe ulikuwa unataka serikali ikuwekee pesa mfukoni serikali itakuwekea umeme, barabara, maji, hospital na miundombinu mingine hayo mengine ni juu yako