SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

Mgeni karudishwa kwa stage hahahaha hii hatari, Jamaa hata kumpamba mgeni hawawezi
 
Hii show ya hawa vijana wanairudia tena, kiruuuuu wameishiwa!
 
Huyu jamaa ni host mzuri kwa vipindi vya Tv ila huku bado sijamuelewaaa....hivi haiwezekani kubadilisha.maana.
 
Kwakweli ata kama tunawaita wanaume na wanawake wa dar ila kuna vitu mnafaidi sana. Yani live macho kwa macho mnaonana na shahazadi mstapha mtu ambaye ananinyima usingizi kila siku nakaa kwenye tv ili nimuone yeye? Watu wa daa leo mmekaa naye kwenye viti kweli? Mwakani naamia dar.
 
Back
Top Bottom